Kuanzisha Shule ya Msingi na Sekondari: Utaratibu wa Kiserikali, Ushauri, Changamoto na Faida

Kuanzisha Shule ya Msingi na Sekondari: Utaratibu wa Kiserikali, Ushauri, Changamoto na Faida

nilikuwa na ndoto kama hii kipindi niko Olevel mpaka chou ya kuwa na shule yangu binafsi ila kwa sasa nimejikita kwenye kilimo na ufugaji na kwa kweli imenifanya niheshimike
Safi sana mkuu, banafsi suala la Kilimo ni moja ya malengo makuu makubwa niliyo nayo. Hongera sana mkuu kwa hatua kubwa hiyo, maana unaposema 'Umeheshimika maana yake ni kubwa sana, kwa mtu anayejua"

Hongera sana.
 
Safi sana mkuu, banafsi suala la Kilimo ni moja ya malengo makuu makubwa niliyo nayo. Hongera sana mkuu kwa hatua kubwa hiyo, maana unaposema 'Umeheshimika maana yake ni kubwa sana, kwa mtu anayejua"
Hongera sana.
Kabisa, niko mbali sana kaka...
 
Hongera sana mkuu, ndiyo ndoto yangu na mimi siku moja kuwa na shule yangu. Namuomba Mungu anisaidie.
 
Ili uweze anzisha shule vigezo vikubwa kwangu vinavyonipa shida ni

-hati, ofa ya kiwanja chenye ukubwa wa ekari 3 na 1/2 kwa mjini na 7 na nusu kwa kijijini.

-uthibitisho wa uwezo wa fedha ktk akaunti yako, (zaidi ya m.62).

Vingine vyote kwangu naona rahisi.

Wazo zuri mkuu, mimi mwakani nimeapa lazima nianze mchakato mnamo mwezi aprili. Kila la heri nawe pia
 
Nilikuwa na ndoto kama hii kipindi niko Olevel mpaka chou ya kuwa na shule yangu binafsi ila kwa sasa nimejikita kwenye kilimo na ufugaji na kwa kweli imenifanya niheshimike.
mkuu samahani ningependa kufahamu kilimo chako unakifanyaje
 
Habari zenu wana-Jamiiforum,
*HISTORIA FUPI*
Nimekuwa na ndoto ya kuanzisha biashara ya kudumu (Ya kitaasisi) kwa muda mrefu sana, na ndoto hii ilianza tangu nikiwa kidato cha sita miaka ya 2000.

Moja ya vitu ambavyo nimewahi kujaribu na kwa sehemu flani nilifika hatua flani ambayo si ya kuita mafanikio, la hasha lakini mchakato (Process) ni kama ifuatavyo;

1. 2009-Nikiwa nimeajiriwa, niliweza kuanzisha NGO pamoja na rafiki na family friend, wakati huo yeye akiwa bado chuoni (Mwenye ndoto za kisiasa pia). Tuliweza kufanya usajili na kupata ofisi maeneo ya Mwanza, tukapata site sehemu ambayo ingetumika kama Project site kulingana na lengo na mipango ya NGO. Hii hatukuweza kwenda mbali sana baada ya rafiki yangu kufanikiwa kupata ubunge na kujikita kwenye siasa, huku mimi nikiwa bado kazini.

2. 2011-Nikiwa na huyu bwana tena, wakati huo akiwa Mbunge, tulianzisha kampuni na malengo makubw aikiwa ni kuingia kwenye biashara mbalimbali ikiwa ni pamoja na kilimo na ufugaji. Tuliweza kununua ekari 100 maeneo ya Mkuranga kwa lengo kufanya kilomo na ufugaji wa kisasa kabisa. Pia tukiwa na usajili wa kampuni, tuliweza kupata ofisi maeneo ya Mkumbusho, kulipia na kufanya designing-Hii nayo haikuwezekana ikaishia njiani.

3. 2015- Niliamua kufungua kampuni yangu binafsi na mke wangu, tulikamilisha usajiri na hatua zote, tulipata frem ya biashara, na tulianza biashara ya Huduma za fedha na baada vipozodi ambalo mpaka sasa linaendelea, ingawa huduma za fedha (M-PESA, TIGO NA HALOPESA) tumesitisha kwa muda. Malengo makubwa ni kuweza kufanya biashara na ofisi binafsi kama NGO na serikali na tunampango wa kujisajili GPSAA ili kuweza kupata fursa hizo.

4. 2015- Niliweza kununua ekari 5 za Shamba maeneo ya Bagamoyo,lengo kuu ikiwa ni kilimo na ufugaji wa kisasa, lakini ambacho kilinikwambisha ni upatikanaji wa maji. Nilipeleka wataalamu wa ku-drill kisima, maji yapo 130m, na gharama ilipaswa kuwa 10,540,000/= Nikashindwa kwa kuwa budget yangu ilikuwa ni only 5m.

5. 2017- Niliweza kununua maeneo kadhaa Dodoma, maeneo mawili tofauti kuna ekari 1 kila eneo, na eneo lingine lina ekari 2. Eneo la ekari 2 na 1 yote yapo nje ya mji kidogo umbali wa 12km toka Dodoma Mjini. Eneo la ekari moja tayari limepimwa kwa ajili ya makazi, bado tunasubiri hati kutolewa.

SHULE KWENYE ENEO LA EKARI 2
Ushauri wenu wana-Jamii.
Kwakuwa Dodoma unakuwa Makao mkuu wa nchi na kwa kukuwa, shughuli nyingi za serikali zimehamia huko, na kwakuwa projection inaonyesha kutakuwa na ongezeko la watu na mahitaji kuongezeka, ikiwa ni pamoja na taasisi za kifedha na shule, kwa kuamini wafanyakazi na wafanyabiashara wakazi na wahamiaji wanalo hitaji hili kwa sababu ya watoto wao.

Na kwakuwa maisha bado yanaendelea na hitaji la shule kwa kikazi ni muhimu sana. Na kwakuwa pia Eneo lipo karibu na barabara kuu ambayo TARURA wapo kwenye mpango wa kui-upgrade kwenye kiwango cha Changarawe na baadae Lami, na kwa kuwa Halimashauri tayari eneo moja yaaani upnde mmoja wa eneo lote umekamika utaraibu wa upimaji, na eneo linalofuata ni eneo ambalo ninazo hizo ekari 2. Na kwakuwa eneo la ekari 2 na hilo la ekari 1 (ambalo upimaji tayari umkamilika), ni maeneo ya makazi tayari, na huduma zote muhimu kama umeme, maji na barabara vipo, na kwakuwa mke wangu kitaaluma ni mwalimu na HR pia (Kwa kuwa amefanya mastaers ya HR-UDBS), na kwakuwa mimi pia ni Administrator mzuri na mwenye uzoefu wa kuongoza watu kwa zaidi ya miaka 13 ambayo nimekuwa kazini.

Hivyo basi nafikiri kuanzisha shule mahali hapo linaweza kuwa ni wazo sahihi sana, ingawa sina uzoefu, sina taarifa za kutosha, wala sijui gharama zipi zitakutakiwa kuweza kufanya hii project to success, hata kama return on investment siitarajii kuipata in less than 5 years, lakini nahitaji kufanya hili kwa kupata msaada wenu.
Naombeni ushauri, mawazo na njia sahihi ya kuwea kulifanya hili.

NB:
Nmeshalifanyia utafiti eneo, bado Halimashauri hawajalipangia matumizi,(Hakuna TP), hivyo niliongea na mtaaramu mmoja wa masuala ya upimaji (Kampuni binafsi), wamenishauri kuweza kulipima na kuweza kupata viwaja. Na gharama ya kufanya hivyo tayari ameshanipati. Hii inatokana na ukweli kwamba kwa kufanya hivyo itanisaidia hata Halimashauri watakapokuja kufanya upimaji maana yake watakuta tayari eneo langu limeshapimwa na hivyo halitapata changamoto yoyote.
Shule nyingi zimefeli kipindi hiki cha magu.Ila shule ni uwekezaji endelevu.Cha msingi lazima uwe na business plan nzuri, team nzuri utafikia lengo.Eneo ni dogo, hutakuwa na eneo la viwanja na kota za wafanyakazi.Ukitaka kufanikiwa Fanya yale ambayo wengine hawafanyi.

Mfano shule nyingi hazijawekeza katika matumizi ya teknolojia, shule nyingi hazitoi michezo na Sana'a kwa uzuri kabisa.Fanya kitu ambacho kititofautisha shule yako na nyingine.

Jambo lingine uwe focused. Don't be like technician entrepreneur. Unafanya mambo mengi hafu huyaendelezi.komaa na jambo moja likifanikiwa baadae diversify(This is a principle)
 
Nilikuwa na ndoto kama hii kipindi niko Olevel mpaka chou ya kuwa na shule yangu binafsi ila kwa sasa nimejikita kwenye kilimo na ufugaji na kwa kweli imenifanya niheshimike.
Hongera Sana! Kwa kupata mafanikio kupitia kilimo na ufugaji, labda nasi ungetupa walau A,B,C unalima nn na unafuga nn? Na umewezaje kutoboa tundu kupitia kilimo na ufugaji?

Nasubiria mrejesho kwa furaha kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm sio mahiri saana kwenye kujadili humu ila leo imenibidi nichangie mawili matatu kwa kuwa umegusa kunako.

Binafsi nafanya kazi kwenye taasisis ya kielimu ambayo kazi yake kubwa ni kuendesha mashule na kuanzisha mashule. Na npo dodoma miaka miwili sasa nikiwa kama mratibu wa kanda ya kati wa taasisi hiyo.

Kwa Dodoma hapa tuna project ya ujenzi wa shule wa eneo flani hapa hapa dodoma mjini.

USHAURI WANGU JUU YA WAZO LAKO
1. Kwa eneo lako hilo ni dogo kulingana na vaigezo vya serikali ni vema utafute eneo kubwa zaidi kuanzia hekari 3 mpaka 7. (Tatu kwa mjini na 7 kwa nje ya mji)

2. Kwa uzoefu ulioelezea hapo naona ni bora ungeanza kukodisha shule kwa kuingia mkataba wa kisheria wa uendeshaji wa shule, ili kidgo kidgo uweze kukusanya mtaji kwa ajili ya ujenzi wako binafsi (binafsi taasisi yangu inaendesha shule zaidi ya 30 ila inamiliki shule 1 tu. Ila ina waajiriwa zaidi ya 200)

3. Watu wengi kwa sasa wanashindwa kuendesha kwa changamoto kadhaa wa kadhaa kwa hiyo huo uzoefu ulio nao nahic bado hutoshi. Coz kwa mfano taasisi imeweka waratibu kila mkoa kwa ajili ya kutangaza shule kukusanya wanafunzi.

4. Kuna mbinu nyingi za kupata wanafunzi, kuimarisha matokeo, kupunguza matumizi katika shule ambapo ni tofauti kabisa sehemu au kampuni nyingne.

5. Yaani hr wa kampuni nyingne kuna uwezekano mkubwa akaferi endapo akiingia shuleni. Na hata mwalim wa kawaida, kwenye kuendesha shule binafsi kwenye zama hzi anaweza akaferi kama hana skills na machachari ya kusavaivu kwenye tasnia.

MENGI ZAIDI PM TUNAWEZA KUJUZANA.
 
Habari yako mkuu,

Mm sio mahiri saana kwenye kujadili humu ila leo imenibidi nichangie mawili matatu kwa kuwa umegusa kunako. Binafsi nafanya kazi kwenye taasisis ya kielimu ambayo kazi yake kubwa ni kuendesha mashule na kuanzisha mashule.

Na nipo Dodoma miaka miwili sasa nikiwa kama mratibu wa kanda ya kati wa taasisi hiyo. Kwa Dodoma hapa tuna project ya ujenzi wa shule wa eneo flani hapa hapa Dodoma mjini.

USHAURI WANGU JUU YA WAZO LAKO.
1. Kwa eneo lako hilo ni dogo kulingana na vaigezo vya serikali ni vema utafute eneo kubwa zaidi kuanzia hekari 3 mpaka 7. (Tatu kwa mjini na 7 kwa nje ya mji)

2. Kwa uzoefu ulioelezea hapo naona ni bora ungeanza kukodisha shule kwa kuingia mkataba wa kisheria wa uendeshaji wa shule, ili kidgo kidgo uweze kukusanya mtaji kwa ajili ya ujenzi wako binafsi (binafsi taasisi yangu inaendesha shule zaidi ya 20 ila inamiliki shule 1 tu. Ila ina waajiri zaidi ya 200)

3. Watu wengi kwa sasa wanashindwa kuendesha kwa changamoto kadhaa wa kadhaa kwa hiyo huo uzoefu ulio nao nahic bado hutoshi. Coz kwa mfano taasisi imeweka waratibu kila mkoa kwa ajili ya kutangaza shule kukusanya wanafunzi.

4. Kuna mbinu nyingi za kupata wanafunzi, kuimarisha matokeo, kupunguza matumizi katika shule ambapo ni tofauti kabisa sehemu au kampuni nyingne.

5. Yaani hr wa kampuni nyingne kuna uwezekano mkubwa akaferi endapo akiingia shuleni. Na hata mwalim wa kawaida, kwenye kuendesha shule binafsi kwenye zama hzi anaweza akaferi kama hana skills na machachari ya kusavaivu kwenye tasnia.

MENGI ZAIDI PM TUNAWEZA KUJUZANA
 
Ulikwamia wapi kwenye NGO? Kupitia huko ungepata uzoefu mzuri wa kuanzisha na kusimamia hiyo Shule.
 
Wazo ni zuri, kuhusu shule eneo ulilonalo halitoshi! Waza kupanua eneo! In any school planning enough land is the first to consider.
 
Mkuu anzisha nursery school, then ndo uende kwenye primary au sec. Nursery zinalipa sana. Umechelewa tena. Usitake kusimamisha shule kwa siku moja. Hata Rome haijajengwa kwa siku moja.
 
Habari yako mkuu,

Mm sio mahiri saana kwenye kujadili humu ila leo imenibidi nichangie mawili matatu kwa kuwa umegusa kunako.

Binafsi nafanya kazi kwenye taasisis ya kielimu ambayo kazi yake kubwa ni kuendesha mashule na kuanzisha mashule.

Na npo dodoma miaka miwili sasa nikiwa kama mratibu wa kanda ya kati wa taasisi hiyo.

Kwa dodoma hapa tuna project ya ujenzi wa shule wa eneo flani hapa hapa dodoma mjini.

USHAURI WANGU JUU YA WAZO LAKO.

1. Kwa eneo lako hilo ni dogo kulingana na vaigezo vya serikali ni vema utafute eneo kubwa zaidi kuanzia hekari 3 mpaka 7. (Tatu kwa mjini na 7 kwa nje ya mji)

2. Kwa uzoefu ulioelezea hapo naona ni bora ungeanza kukodisha shule kwa kuingia mkataba wa kisheria wa uendeshaji wa shule, ili kidgo kidgo uweze kukusanya mtaji kwa ajili ya ujenzi wako binafsi (binafsi taasisi yangu inaendesha shule zaidi ya 20 ila inamiliki shule 1 tu. Ila ina waajiri zaidi ya 200)

3. Watu wengi kwa sasa wanashindwa kuendesha kwa changamoto kadhaa wa kadhaa kwa hiyo huo uzoefu ulio nao nahic bado hutoshi. Coz kwa mfano taasisi imeweka waratibu kila mkoa kwa ajili ya kutangaza shule kukusanya wanafunzi.

4. Kuna mbinu nyingi za kupata wanafunzi, kuimarisha matokeo, kupunguza matumizi katika shule ambapo ni tofauti kabisa sehemu au kampuni nyingne.

5. Yaani hr wa kampuni nyingne kuna uwezekano mkubwa akaferi endapo akiingia shuleni. Na hata mwalim wa kawaida, kwenye kuendesha shule binafsi kwenye zama hzi anaweza akaferi kama hana skills na machachari ya kusavaivu kwenye tasnia.

MENGI ZAIDI PM TUNAWEZA KUJUZANA
Daaah hizi mada nazikuta huku zinanihamasisha sana hii ni baada ya Mimi kutamani kumiliki shule yangu binafsi. Jamani, mtu asaidie ilitufikie wapi na tuanzie wapi.
 
MKUU ULISHAANZISHA SHULE AU CHUO?

USHAURI WANGU,

Kama bado hujaanzisha shule au chuo...nakupa.ushauri huu.Anzisha shule ya ufundi na michezo(sijui itaitwaje) ila mawazo yangu natamani iwe shule itakayofundisha ufundi aina zote,kuendeleza vipaji vya watoto wenye vipaji vyote...hasa uimbaji,michezo aina zote...football,netball, volleyball, swimming.. n.k..

Yaani chuo kiwe na uwezo wa kuchukua watoto wote walioshindwa kusoma secondary zao hizi rasmi,wewe chukua fundisha umeme,fundisha udereva,n.k

Mfumo wake uwe kama VETA,Ila sasa chuo chako,kiende zaidi ya chuo cha VETA,naamini ukienda na proposal nzuri serikalini wanakukubalia kukupa kibali cha kufungua chuo cha namna hiyo.

Vingenevyo kama unafungua chuo cha ualimu,sijui secondary,vitu ambavyo jamii imeshaanza kuona havina msaada tena Kwenye maisha halisi...,utawika miaka michache harafu chuo kitakuja kukosa watu.

Huo ndo ukweli mkuu nimekwambia,achana na mawazo hayo ya chuo,shule,sijui...nini...wewe fungua shule ya ufundi na michezo,iwe ya tofauti Tanzania nzima...,inafundisha ufundi wa kila aina,pia michezo aina zote ambazo mtoto anaweza.

Utasaidia sana Taifa letu,na watoto wetu,sasa mtoto kiswahili anapata F,history F,maths F, harafu bado mzazi unatumia gharama tena aanze kurudia sijui masomo apate credits,huko anakoenda ataenda kufanya nini?

Kumbe mtoto alikuwa ni mwanariadha,mwan a masumbwi,mcheza Mpira mahiri,mwimbaji mahiri? Hivi hawa akina rashid matumula,Filbert bayi,samatta,mwakinyo,akina tenga,sade manara,diamond, alikiba,ladyjeey dee,ray kigosi,Stephen kanumba(r.i.p) tungewapata wapi? Bila juhudi zao na kudra tu za mwenyezi Mungu?

Tumekariri vitu vile vile miaka nenda rudi ,havitusaidii ila bado tu tunavifanya...tunaona mfumo wa elimu yetu umekaa vibaya...ila bado tunakomaa nao tu.watu kama nyie wenye maono ya kutoa huduma kubwa hizi za shule ,chuo Kwenye jamii.lazima mje na mawazo mbadala kabisa kuokoa Taifa letu.

Nawasilisha.
Asante
 
Aisee
MKUU ULISHAANZISHA SHULE AU CHUO?

USHAURI WANGU,

Kama bado hujaanzisha shule au chuo...nakupa.ushauri huu.Anzisha shule ya ufundi na michezo(sijui itaitwaje) ila mawazo yangu natamani iwe shule itakayofundisha ufundi aina zote,kuendeleza vipaji vya watoto wenye vipaji vyote...hasa uimbaji,michezo aina zote...football,netball, volleyball, swimming.. n.k..

Yaani chuo kiwe na uwezo wa kuchukua watoto wote walioshindwa kusoma secondary zao hizi rasmi,wewe chukua fundisha umeme,fundisha udereva,n.k

Mfumo wake uwe kama VETA,Ila sasa chuo chako,kiende zaidi ya chuo cha VETA,naamini ukienda na proposal nzuri serikalini wanakukubalia kukupa kibali cha kufungua chuo cha namna hiyo.

Vingenevyo kama unafungua chuo cha ualimu,sijui secondary,vitu ambavyo jamii imeshaanza kuona havina msaada tena Kwenye maisha halisi...,utawika miaka michache harafu chuo kitakuja kukosa watu.

Huo ndo ukweli mkuu nimekwambia,achana na mawazo hayo ya chuo,shule,sijui...nini...wewe fungua shule ya ufundi na michezo,iwe ya tofauti Tanzania nzima...,inafundisha ufundi wa kila aina,pia michezo aina zote ambazo mtoto anaweza.

Utasaidia sana Taifa letu,na watoto wetu,sasa mtoto kiswahili anapata F,history F,maths F, harafu bado mzazi unatumia gharama tena aanze kurudia sijui masomo apate credits,huko anakoenda ataenda kufanya nini?

Kumbe mtoto alikuwa ni mwanariadha,mwan a masumbwi,mcheza Mpira mahiri,mwimbaji mahiri? Hivi hawa akina rashid matumula,Filbert bayi,samatta,mwakinyo,akina tenga,sade manara,diamond, alikiba,ladyjeey dee,ray kigosi,Stephen kanumba(r.i.p) tungewapata wapi? Bila juhudi zao na kudra tu za mwenyezi Mungu?

Tumekariri vitu vile vile miaka nenda rudi ,havitusaidii ila bado tu tunavifanya...tunaona mfumo wa elimu yetu umekaa vibaya...ila bado tunakomaa nao tu.watu kama nyie wenye maono ya kutoa huduma kubwa hizi za shule ,chuo Kwenye jamii.lazima mje na mawazo mbadala kabisa kuokoa Taifa letu.

Nawasilisha.
Asante
 
MKUU ULISHAANZISHA SHULE AU CHUO?

USHAURI WANGU,

Kama bado hujaanzisha shule au chuo...nakupa.ushauri huu.Anzisha shule ya ufundi na michezo(sijui itaitwaje) ila mawazo yangu natamani iwe shule itakayofundisha ufundi aina zote,kuendeleza vipaji vya watoto wenye vipaji vyote...hasa uimbaji,michezo aina zote...football,netball, volleyball, swimming.. n.k..

Yaani chuo kiwe na uwezo wa kuchukua watoto wote walioshindwa kusoma secondary zao hizi rasmi,wewe chukua fundisha umeme,fundisha udereva,n.k

Mfumo wake uwe kama VETA,Ila sasa chuo chako,kiende zaidi ya chuo cha VETA,naamini ukienda na proposal nzuri serikalini wanakukubalia kukupa kibali cha kufungua chuo cha namna hiyo.

Vingenevyo kama unafungua chuo cha ualimu,sijui secondary,vitu ambavyo jamii imeshaanza kuona havina msaada tena Kwenye maisha halisi...,utawika miaka michache harafu chuo kitakuja kukosa watu.

Huo ndo ukweli mkuu nimekwambia,achana na mawazo hayo ya chuo,shule,sijui...nini...wewe fungua shule ya ufundi na michezo,iwe ya tofauti Tanzania nzima...,inafundisha ufundi wa kila aina,pia michezo aina zote ambazo mtoto anaweza.

Utasaidia sana Taifa letu,na watoto wetu,sasa mtoto kiswahili anapata F,history F,maths F, harafu bado mzazi unatumia gharama tena aanze kurudia sijui masomo apate credits,huko anakoenda ataenda kufanya nini?

Kumbe mtoto alikuwa ni mwanariadha,mwan a masumbwi,mcheza Mpira mahiri,mwimbaji mahiri? Hivi hawa akina rashid matumula,Filbert bayi,samatta,mwakinyo,akina tenga,sade manara,diamond, alikiba,ladyjeey dee,ray kigosi,Stephen kanumba(r.i.p) tungewapata wapi? Bila juhudi zao na kudra tu za mwenyezi Mungu?

Tumekariri vitu vile vile miaka nenda rudi ,havitusaidii ila bado tu tunavifanya...tunaona mfumo wa elimu yetu umekaa vibaya...ila bado tunakomaa nao tu.watu kama nyie wenye maono ya kutoa huduma kubwa hizi za shule ,chuo Kwenye jamii.lazima mje na mawazo mbadala kabisa kuokoa Taifa letu.

Nawasilisha.
Asante
HIYO YA KUFUNGUA CHUO CHA UFUNDI NAKUKUBALIA KWA ASILIMIA ZOTE.
LAKINI HIYO YA KUANZISHA MICHEZO HAINA MAANA KABISA,KWA SABABU WATANZANIA HATUNA HUO UTAMADUNI WA KUSOMEA MICHEZO,HAKUNA MZAZI ATAMLIPIA MTOTO WAKE ADA KWA AJILI YA KWENDA KUCHEZA.
WACHEZAJI WOTE WAKUBWA KAMA AKINA SAMATTA WALIANZIA KUCHEZA MTAANI TU HADI WAKAONEKANA NA CLUB KUBWA.
HIYO YA CHUO CHA UFUNDI NI RAHISI KUTOBOA KWA SABABU VIJANA KARIBU WOTE WALIOFELI SHULE KIMBILIO LAO HUWA NI UFUNDI.
 
Back
Top Bottom