Abdulmanafi
New Member
- May 17, 2024
- 1
- 2
Jamii inauhitaji mkubwa wa kujua SHERIA mbalimbali muhimu. Kutojua SHERIA sio sababu ya mtu kujitetea dhidi ya shitaka lolote linalomkabili mbele ya mahakama, hivyo kunauhitaji mkubwa kwa jamaii kujua SHERIA.
Pia kupitia ufundishaji huo wa SHERIA mashureni, utawawezesha pia watoto kujua haki zao na mbinu sahihi za wao katika kujikinga na kujilinda dhidi ya unyanyasaji zidi Yao endapo tu watajua na kuzitambua SHERIA zinazowahusu. Pia tutaweza kupunguza kiasi Cha ualifu kwa kua watu watajua kipi SHERIA chakataza na kipi Cha ruhusu kwani nchi yetu yaongozwa na sheria.
Mfumo mpya wa ufundishaji uanzishwe mashureni katika SOMO Hilo la SHERIA kwa kuzingatia zile sheria muhimu tu kwa jamii kwani ni vigumu kufundishwa Kila sheria kwa ufasaa. Zizingatiwe tu zile sheria muhimu kama haki za binadamu, katiba na uongozi kwa ujumla KUANZIA chini MPAKA juu, sheria za mazingira, makosa ya jinai na madai pia, sheria za miradhi, baadhi ya sheria za ndoa na zinginezo muhimu kwa jamii kuzifahamu.
Kujua huko sheria kutasaidia pia kuchochea hamu kwa vijana kushiriki katika chaguzi za uongozi mbalimbali na hata kushiriki katika mahamuzi mbalimbali katika jamii, pia itasaidia kuongeza uzalendo zidi ya nchi yao. Unyanyasaji pia wa kijinsia utapungua, kwani kupitia sheria za haki za binadamu zitawasaidia kujua njia za kutafuta utetezi zidi ya unyanyasaji huo.
Pia kupitia ufundishaji huo wa SHERIA mashureni, utawawezesha pia watoto kujua haki zao na mbinu sahihi za wao katika kujikinga na kujilinda dhidi ya unyanyasaji zidi Yao endapo tu watajua na kuzitambua SHERIA zinazowahusu. Pia tutaweza kupunguza kiasi Cha ualifu kwa kua watu watajua kipi SHERIA chakataza na kipi Cha ruhusu kwani nchi yetu yaongozwa na sheria.
Mfumo mpya wa ufundishaji uanzishwe mashureni katika SOMO Hilo la SHERIA kwa kuzingatia zile sheria muhimu tu kwa jamii kwani ni vigumu kufundishwa Kila sheria kwa ufasaa. Zizingatiwe tu zile sheria muhimu kama haki za binadamu, katiba na uongozi kwa ujumla KUANZIA chini MPAKA juu, sheria za mazingira, makosa ya jinai na madai pia, sheria za miradhi, baadhi ya sheria za ndoa na zinginezo muhimu kwa jamii kuzifahamu.
Kujua huko sheria kutasaidia pia kuchochea hamu kwa vijana kushiriki katika chaguzi za uongozi mbalimbali na hata kushiriki katika mahamuzi mbalimbali katika jamii, pia itasaidia kuongeza uzalendo zidi ya nchi yao. Unyanyasaji pia wa kijinsia utapungua, kwani kupitia sheria za haki za binadamu zitawasaidia kujua njia za kutafuta utetezi zidi ya unyanyasaji huo.
Upvote
3