Kubadilisha gia angani kwa NECTA na maajabu Kemobos

Kama mtihani ni mmoja tayari hapo wameshashindanishwa.
Mmoja kutoka kemebos kapata one ya 7.
Mwingine kutoka Nachimeru SS kapata three ya 23.
Mwenye one tayari ana advantage dhidi ya huyo mwenye three.

Kilichofanyika ni kuficha tuu tusione udhaifu, ila udhaifu upo.
 
IST, ISM, Agakhan, Academic, FK, HOPAC lini umesikia zikitangaza wanafunzi bora?
 
Si ndio hapo sasa...Ilboru, Kibaha, Tabora Boyz ilikuwa inazikimbiza hizi shule za private...wakubali tu sasa hivi wamekuwa wazembe
Hujaona matokeo ya hizo shule tajwa?
 
Wenzenu kina nani?
 
Sina muda wa kubishana na small minded people, watu wasiohoji....wew kiswahili unajua?au unafikiri kujua kiswahili ndo kuelimika? Hiv ni mhaya au muhaya? Hebu jifunze nawe kuandika kiswahili au unawaza mimi hapa ninayetoa hoja nikiwa huru ni maskini[emoji23]

So unatumia stendi ya mkoa kupima umaskini[emoji23] na unakataa ubora wa makazi huko vijijini...
 
wezi wakubwa wa mitihani.

hizi shule zipo kibiashara zaidi na hivyo wapo tayari kufanya vyovyote vile ili mradi tu washike top 10 ndio maana wanllalama eti kisa hawajatangazwa!! upuuzi mtupu!
Wamelipa vipindi ili kuonesha kilichofanyika si sahihi
 
Kwa mzazi anayejua kusoma na kuandika hahitaji NECTA kujua shule bora. kwani zile wanazolipa 78M ada ya mwaka hua zinatangazwa na NECTA? Mnashindana form 4 na form 6 then watoto mnawarunika UDOM sawa na wale waliopata daraja la 3.
Wanaolalamika ni wamiliki wa shule, wanafunzi
 
Ndo maamuzi yametoka. Na Kuanzia 2024 Serikali itakuwa na English Medium zake kwa bei ya kawaida,
Hivi hii imeshapitishwa mkuu ama bado. Hebu usiniambie. Hilo suala namie nilikuwa naliwaza mno. Ujue ntt inabidi azoee lugha akiwa mdogo so anakuwa nayo baadaye iyo Hali inakuwa Ile automatic kwake kuongea bila ya kuwaza
 
Nchi zilizoendelea zimefuta mitihani ya machujio zamani sana

USA ukianza la kwanza hakuna mchujo wowote mpaka unafika HIGH SCHOOL.

hata kama kilaza namna gani una uhakika wa kufika high school
Hawa wetu wakiachiwa waende tutaandaa janga kubwa.

Marekani grading ipo vizuri tu.

Mitihani inafanyika kawaida
 
Ilboru na Kibaha zimejaribujaribu, ila kemebos moto mwingine kabisa
Hizo shule wanafunzi hawasimamiwi kama kemebos, kemebos hadi muda wa kuoga mbapangiwa.

Kibaha iko open, ni rahisi mtu kwenda mail moja kufanya mambo yake
 
Hivi hii imeshapitishwa mkuu ama bado. Hebu usiniambie. Hilo suala namie nilikuwa naliwaza mno. Ujue ntt inabidi azoee lugha akiwa mdogo so anakuwa nayo baadaye iyo Hali inakuwa Ile automatic kwake kuongea bila ya kuwaza
Kila halmashauri itatenga shule kadhaa za English medium za kulipia.
 
Kumbe unaajenda yako ya kuitangaza hiyo kemobos.. Tv na redio si zipo shida wapi
 
Nchi nyingi zilizoendelea hakunaga cha kutangaza sijui best student or school. Wanaamini kila mwanafunzi ana uwezo tofauti ,so kuwashindanisha haina tija. Halafu huwezi wapima wanafunzi kwa mtihani mmoja tu.
 
Pia kuna shule za ndugu wale huwa zinashika mkia tangu zianzishwe ni aibu tupu. Wanaajiri walimu wenye itikadi yao hata kama ni empty set vichwani mwao. Kwa huu mtindo mpya wa kutotaja shule bora kutaficha udhaifu wa shule za hao ndugu
Kama wewe upeleki watoto wako kwenye shule za hao ndugu unawashwa washwa na nini?
 
Cha ajabu sasa, mtaani wanatoboa akina diamond, hamonize, ali kiba, fei toto😂😂,
Huku hao wanaofaulu wakienda kufanya kazi serikalini, na wengi kuishia kuishi kwa kula milungula🤷‍♂️
Huu huwa ni upotoshaji ukichukua middle class yote Tanzania utagundua waliosema ni wengi kuliko wasiosoma na walio chini ya Pato la Dola 1 kwa siku utakuta Zaidi ya 70% Wana elimu ndogo yaani la saba mpaka iliteracy!!

Sample ya Harmonize mmoja tu kati ya illiterates million 10 inakua outlier tu sio hali halisi. Embu niambie nani ana PhD hii Tanzania alafu anaishi chini ya dollar 1 kwa siku? Then nitafutie wote ambao hawajasoma niambie wangapi wanaishi juu ya dollar kwa siku?

Takwimu za ILO ziko wazi kabisa kwa umaskini una correlation na elimu so usipotoshe wengine wakidhani ukiwa hujasoma basi utatoboa kama harmonize!!!
 
Hivi hawa watu mwishowe wanaishiaga wap?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…