Kubadilisha gia angani kwa NECTA na maajabu Kemobos

Umeshusha tuhuma pasipokuwa na msingi wa ushahidi. Suala la kutoa matokeo bila kutangaza nafasi za shule kitaifa ni matokeo ya utafiti uliofanywa kwa miaka Sasa.

Njoo kivingine lkn walio wengi tunalipongeza baraza kwa uamuzi huu.
 
Wizi tu wa mithani.
Kama wana akili hivyo mbona ni muda mrefu hatujaona wakifanya lolote kwa taifa zaidi ya wizi tu kwenye mabenki na miradi mikubwa ya serikali!

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Ukijua maana ya marketing utaondoa huu ujinga hapa. Fungua hii link https://www.facebook.com/ uone mwenzio anavyobeba wanafunzi wake toka mikoani kila wakifunga na kufungua shule.
Unaumwa sio bure!! Yale matokeo yanatoka walikuwa wanazungushwa kushangalia sio kubeba wanafunzi kwenda likizo rejea ile video ya mwaka Jana.
 
Kwamba wahaya hawana sifa labda huwajui...kila kabila tabia zao zinafanana.
 
Alipie tangazo
 
Ushamba toka hapa!!! Kwa sifa Nan asiyewajua ...mbona takwimu za umaskini zikotoka hawashangilii
 
Unajua ada ya FEZA

Haya hiyo M5 unaichukuliaje hafu uje umshindanishe na elimu bure shule za kata kwa kifupi Necta wako sahihi wizi wa mitihani utapungua sana
Kwa nini unasema ELIMU BURE? Sema elimu inayogharimiwa na serikali kwa asilimia 70 (majengo, fenicha, mishahara ya walimu nk) na asilimia 30 mzazi (uniforms, madaftari, Nauli, chakula nk)
 
Cha ajabu sasa, mtaani wanatoboa akina diamond, hamonize, ali kiba, fei toto[emoji23][emoji23],
Huku hao wanaofaulu wakienda kufanya kazi serikalini, na wengi kuishia kuishi kwa kula milungula[emoji2369]
Hoja ya kindezi sana hii jombaaa hivi kwenye watanzania 61 milioni tumeambiwa vijana ni almost 70 % (nearly 43 milioni) hao wakina Diamond, Harmonize etc ni wangapi?? Mimi hapa niki reflect mates wangu kuanzia form 4, form 6 na chuo zaidi ya asilimia 80 wanaendesha maisha yao vizuri tuu kama waajiriwa serikalini, sekta binafsi na nje ya nchi. Wengine kwa elimu yao wamejiajiri na kuajiri wengine (kuna ambao ni madaktari wakubwa, kuna ambao wana mashule nk). Majority ya walioshia darasa la saba wameishia kuwa wakulima, ni wachache sana walioishia std 7 wametoboa na kuwa na maisha ya middle class...
 
Wewe toa ushamba hapo ni wahaya ndo wanakaa kusifia iyo shule behind mkoa wa Kagera ni maskini ..kama hujui jaribu hata kusoma na kufautailia njoo uone status zao huku wanavyojinadi.
 
Hapo shuleni wewe ni mkuu wa shule, mtaaluma au ndio mwenye shule?
 
CCM wanataka kuendelea kutawala watu wajinga ,wanakwepa majukumu Yao waachie ngazi
 
Wewe toa ushamba hapo ni wahaya ndo wanakaa kusifia iyo shule behind mkoa wa Kagera ni maskini ..kama hujui jaribu hata kusoma na kufautailia njoo uone status zao huku wanavyojinadi.
Sasa Tanzania Kuna mkoa husiokuwa maskini....

Mkoa gani huo watu wake wana maendeleo hata kujilinganisha na nchi za dunia ya kwanza...

Tanzania sijaona mkoa unaoweza kusema umeendelea sana hadi waone kagera ni maskini...yote yale yale tu...bora hata huko Bukoba vijijini kuna nyumba bora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…