Kubagua Mwanza na Mbeya AFCON haikubaliki

Kimsingi akili Yako ni finyu kama funza ndio maana huwezi nielewa.
Mbona nakuelewa sana tu. Wewe ni Effin Bigoted, Racist twaat. Wewe ni kibaraka,Wakala na Dalali wa Mabeberu.

Nakuelewa sana ndio, maana naweza kukudadavua na kuingia kwenye bongo lako dhalimu kama funza!

Ngoja funza akung'ate ng'ate....ng'amu!
 
Hili wazo hawakulifikiria kabisaa.
 
Arusha choka mbaya,nikifikaga Stendi yake ya Mabus nawaza Nipo kakonkoo....Arusha ni senta iliyochangamka mji unanika Bangiii
Stand sio hoja. Arusha huwezi kufananisha na Mwanza. Arusha ndio kitovu cha utalii nchi hii. Hata nilipokuwa USA ukiuliza mzungu kuhusu Tanzania anaitaja Arusha, Dar na Zanzibar kwingine hamjulikani.
 
Leo umeandika madini yaliyigusa moyo na mifupa yangu, kila muda nakaa natafakari hivi Mwanza tuliikosea nini hawamu hii, Mwanza ni ya pili kwa population, ni ya pili kwa mapato ghafi yaani GDP, pia ni jiji la pili kwa ukubwa, ukiangalia kijiografia ni jiji lililopakana na maji mikubwa kama kigali, kampala, Nairobi n.k.. Kushindwa kupewa nafasi ya kuandaa haya mashindano naona ni chuki ya wazi ukiacha dar Mwanza ndio mkoa wenye mashabiki wengi wa mpira, bali wamejisaulisha kupeleka mashindano kwenye miji yao pendwa ya Dar, arusha, Zanzibar na Dodoma basi wangetenga hata pesa kwaajili ya ujenzi wa viwanja vya kisasa kwenye miji mingine kama Mwanza na Mbeya

Uchaguzi ukikaribia hawa mbuzi kutwa nzima kujipendekeza kanda ya ziwa, miradi ya kimataifa inapelekwa kwenye mikoa pendwa Mwanza na Mbeya inapelekewa miradi ya kilocal kams ujenzi wa vyoo na madarasa, miradi mikubwa ujenzi wa arena, international conference tunaisikia tu...Hawataki miji yetu ipate miradi ya kimataifa, leo wanasema ingepelekwa Mwanza lakini hakuna miundombinu ya barabara mara hakuna mahotel kwahiyo barabara hazijengwi ili miradi mikubwa ikija iwe sababu......
 
Stand sio hoja. Arusha huwezi kufananisha na Mwanza. Arusha ndio kitovu cha utalii nchi hii. Hata nilipokuwa USA ukiuliza mzungu kuhusu Tanzania anaitaja Arusha, Dar na Zanzibar kwingine hamjulikani.
Iliibuka from no where na kuanza kujulikana?
 
Ilijaaliwa na alieumba dunia. Mwanza na Mbeya pia kuna stahili hivi vitu ila hebu wekezeni kwenye miuondombinu wezeshi kwanza.
Ilijaaliwa nini wakati ni Juhudi za makusudi za upendeleo wa wazi wazi?

Hiyo miundombinu ni kazi ya nani kuwekeza?
 
Arusha ni mji bora na uliondelea kuliko mwanza. na ni mji wenye infrastructures bora kuliko Mwanza na mbeya combined.
Mimi nilitamani iwe Arusha, Dar na Zanzibar. Hiyo mikoa mingine imekaa kushoto.
Dodoma imekaa kushoto sana na umasikini ni kkubwa
 
hawafanyi ukarabati weee kima wanajenga uwanja mpya
Huo uwanja mpya unajengwa wapi kwanini mnakuwa waongo sana, washindwe kujenga kwenye miji yao pendwa wajenge Mwanza.
 
Stand sio hoja. Arusha huwezi kufananisha na Mwanza. Arusha ndio kitovu cha utalii nchi hii. Hata nilipokuwa USA ukiuliza mzungu kuhusu Tanzania anaitaja Arusha, Dar na Zanzibar kwingine hamjulikani.
Mnaonaje kama arusha, dar na zanzibar mkiwa na nchi yenu pamoja na pwani na mkaachana na sisi mikoa yakina kajamba nani tuunde serikali yetu.
 
Mnaonaje kama arusha, dar na zanzibar mkiwa na nchi yenu pamoja na pwani na mkaachana na sisi mikoa yakina kajamba nani tuunde serikali yetu.
Nyie sindio wapuuzi ambao mnachagua CCM kila siku kwa kupewa sahani ya ubwabwa na kofia?
 
Ya mwendazake ilidharau sana kanda ya kaskazini. Ndio maana SGR ikaelekezewa kwenu huko wakati hamna chochote.
Ulitaka sgr ipite arusha ikafanye nini, au iwe inachukua watalii kutoka dar na kupeleka arusha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…