Kubali au kataa lakini page ya Mange Kimambi ya instagram ndio talk of the town kwa sasa

Mange tofauti yake na Gigy ni ndogo sana, wote ni watafuta attention kwa kila njia.

Anachofanya mbona muhuni yeyote anaweza, kujificha na kutukana wenzako ukiwa ndani ya chumba nani anashindwa, aje huku awe anafanya press conf ya hizo harakati zake ndio tumuone kweli Mwanaharakati.
 
Zari ondoa hapo sio Mtanzania

Baada ya hapo mie ndio maarufu🙂
 
mkulu mwenyew na mawaziri wake wanamchunguliaga akipost kitu tu wanakanusha fasta
 
Tatizo lake hapendi challenge, ukiwa against nae kidogo tu, block itakuhusu.

Ana Bahati mbaya linapokuja suala la matumizi ya akili.
 
Nakubaliana na wewe ila sikukuu na wewe karibu Kamachumu
 
Kama wewe ndiye wamekutuma kuzima hasira za wananchi, basis ccm wamebakiza makopo, unaandika uharo tu hakuna point hata moja.
 
Mkuu, Instagram unatumia jina gani ili ni-Mtag halafu niwaache Mutagiane.
 
Hivi Chadema wameridhika kabisa kumpa Mange kimambi umbea wa kuandika Instagram? HawaoniChama kinadhalilika?
Hawaoni. Ndio maana wameambulia kata moja ingawa Mange aliwalisha matango pori kuwa kwenye mikutano ya kampeni ya CCM watu walikuwa hawaji kabisa. Ha ha ha, na Chadema wakaingia mkenge.
 
Mange kaza uzi, myanachama ya "Frastration" inalia huku. Hata wanaharakati dhidi ya ukoloni Afrika walijificha nje ya nchi na mwishowe ushindi ulipatikana. Eh Mungu wa mbinguni angamiza mdudu ccm
 
Laana watapata chadema walio tangaza kwenye Media kuwa Wana uwezo wa kumtibu TL hata kwa kuuza Figo. wafuatwe watoe Fedha Kama walivyoahidi.
Yaani mi ccm yote in "frastration" kama top wao. Poleni sana
Kumbe na wewe ni follower wa Mange[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ccm wote lazima wapitie page ya Mange kila baada ya dakika kumi, misumali inawachoma balaa.
 
Ccm walifanya kampeni za kisayansi ndo mana walishinda kata nyingi...
Sayansi ya kutumia polisi na mapanga kuwakandamiza watu... Kweli ccm n wanasayansi
Ushindi usio na furaha kwa waliopiga hizo kura zinazoaminisha wananchi tumeshinda ni laana huko tuendako kwani hawatakubali kuendelea kuonekana na majonzi ya Msiba kwani ndo tunakoelekea .Ushindi upatikane waliochagua wawe na furaha
 
kimambi sio afisa habari,ccm leave the ground open
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…