Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakayepinga hili ni yeye, ila ndio ukweli wenyewe.KUBEBA MIMBA NA KUZAA HAKUMFANYI MWANAUME AKUPENDE!
Anaandika, Robert Heriel
Nawakumbusha Dada zangu, Binti zangu. Usije ukajikoroga na kujichanganya, mimba na mtoto haibadilishi chochote katika mioyo yetu Sisi wanaume. Kama hatukupendi ni hatukupendi tuu!
Kuna jinga moja litasema kama haumpendi binti WA Watu Kwa nini umtongoze? Ukiona MTU yeyote anauliza swali Hilo ujue ni mwendawazimu, mjinga na ambaye hatumii Akili zake vizuri.
Mimi kukutongoza sio kigezo wala sababu ya kukupenda, ni tamaa zangu tuu ndio zinataka nizishibishe, nichape mzigo Roho itulie.
Binti zangu, dada zangu. Sisi tunavyowatongoza haimaanishi tunawapenda. Tunataka Jambo moja tuu nalo ni kuwatumia tuu. Usije ukajiloga ukajibebesha mimba Kwa lengo la Kutaka tuwapende.
Nataka niwaambie kuwa Wanawake tunawaona ni Wazuri pale tunapokuwa na tamaa ya ngono juu Yao. Tukishawalala na kuwatumia Kwa kweli tunajutia, ni kama macho yetu yanafunguliwa, ule uzuri wote unayeyuka. Hatuoni tena uzuri wao. Nazungumzia Wanawake tusiowapenda.
Ndio maana tukishalala na Wanawake tukitoka tunaweza tusiwatafute kwenye simu wala kujibu meseji mpaka siku tatu au wiki Kabisa. Ni mpaka hamu ya ngono irejee tena.
Jukumu la mimba lipo Kwa MWANAMKE. Wewe Binti na dada ndiye mwenye uamuzi wa kubeba MIMBA. Na elewa kuwa kama kijana hajakuoa au ni Mume WA MTU huyo usimbebee mimba.
Tumeelewana nafikiri
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kwa hiyo aliyetuumba anapoelekeza tufanya Jambo ambalo haliwezekani anatuonea?
Pamoja na yote hayo kuna ujinga mwingi sana kwenye eneo linaloitwa MAPENZI yaani mtu anadanganywa na anajua kuwa anadanganywa na bado atafanya ya kufanywa na ndio maana kuna vitoto na watu waliozaliwa bila makusudio we are all shit..
Mkuu ila kumbukeni hao wafalme na manabii mnaowatumia kama mifano kwenye kuoa wake wengi, baadhi pia waliua watu wengi katika Utawala wao na Mungu akazidi kuwabariki, lakini hakuna sehemu aliposema muue sababu hao nao waliuaNdio maana akatoa uwanja muoe Wake Wengi. Kwa nini useme anakuonea Wakati unauwezo wa kuoa wake hata Mia moja
Mkuu ila kumbukeni hao wafalme na manabii mnaowatumia kama mifano kwenye kuoa wake wengi, baadhi pia waliua watu wengi katika Utawala wao na Mungu akazidi kuwabariki, lakini hakuna sehemu aliposema muue sababu hao nao waliua
Ukweli
Ukiona mwanamke amekuruhusu mwanaume umpe ujazito basi huyo anakupenda
Ukiona mwanaume amempa ujazito mwanamke Kuna mawili
1 Either tamaa ya kwenda kavukavu kupata raha
2 Ni mke wake na hivyo ana malengo naye na anampenda.
Kwahiyo wanawake muwe makini Sana huu mchezo wa kutaka kumwagiwa ndani.
Sasa kumbe unajua kuna mambo yanaruhusiwa kufanywa na baadhi ya watu tu na si kila mtu, vivyo hivyo kwenye hilo suala lenu la uzinzi mnapowatolea mifano hao manabii wenu mkumbuke kuwa Mungu aliwaruhusu wao tu na ilikuwa kwa sababu maalum, tena na wenyewe baada ya kufanya hayo wakajikuta wanamkosea wakamchukiza akawapa adhabu hivyo ninyi wengine kaeni tu kwenye maandiko kwamba uzinzi na uasherati ni dhambiUkishakuwa Mfalme au Rais kuua ni Jambo la kawaida Kabisa.
Ilimradi Uue Kwa HAKI.
Hapa tunazungumzia tamaa za Sisi wanaume. Ni Jambo ambalo lipo tuu