Kubeba ujauzito na kupata mtoto hakumfanyi mwanaume akupende

Kubeba ujauzito na kupata mtoto hakumfanyi mwanaume akupende

Kuna msemo sijui niliukuta twitter au humu ,kwamba mwanaume huitaji kitu kimoja kwa wanawake wengi na mwanamke anahitaji vitu vingi kwa mwanaume mmoja.
 
KUBEBA MIMBA NA KUZAA HAKUMFANYI MWANAUME AKUPENDE!

Anaandika, Robert Heriel

Nawakumbusha Dada zangu, Binti zangu. Usije ukajikoroga na kujichanganya, mimba na mtoto haibadilishi chochote katika mioyo yetu Sisi wanaume. Kama hatukupendi ni hatukupendi tuu!

Kuna jinga moja litasema kama haumpendi binti WA Watu Kwa nini umtongoze? Ukiona MTU yeyote anauliza swali Hilo ujue ni mwendawazimu, mjinga na ambaye hatumii Akili zake vizuri.

Mimi kukutongoza sio kigezo wala sababu ya kukupenda, ni tamaa zangu tuu ndio zinataka nizishibishe, nichape mzigo Roho itulie.

Binti zangu, dada zangu. Sisi tunavyowatongoza haimaanishi tunawapenda. Tunataka Jambo moja tuu nalo ni kuwatumia tuu. Usije ukajiloga ukajibebesha mimba Kwa lengo la Kutaka tuwapende.

Nataka niwaambie kuwa Wanawake tunawaona ni Wazuri pale tunapokuwa na tamaa ya ngono juu Yao. Tukishawalala na kuwatumia Kwa kweli tunajutia, ni kama macho yetu yanafunguliwa, ule uzuri wote unayeyuka. Hatuoni tena uzuri wao. Nazungumzia Wanawake tusiowapenda.

Ndio maana tukishalala na Wanawake tukitoka tunaweza tusiwatafute kwenye simu wala kujibu meseji mpaka siku tatu au wiki Kabisa. Ni mpaka hamu ya ngono irejee tena.

Jukumu la mimba lipo Kwa MWANAMKE. Wewe Binti na dada ndiye mwenye uamuzi wa kubeba MIMBA. Na elewa kuwa kama kijana hajakuoa au ni Mume WA MTU huyo usimbebee mimba.

Tumeelewana nafikiri

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam


"Mimi kukutongoza sio kigezo wala sababu ya kukupenda, ni tamaa zangu tuu ndio zinataka nizishibishe, nichape mzigo Roho itulie"

Inawezekana andiko lako lina usahihi, lakini, sidhani kama wanaume wote wana tabia ya kihuni kama yako unayosema hapo juu.

Mimi sina kumbukumbu kabla ya kuoa, kutongoza au kufuata mwanamke ambaye simpendi, lazima nilimpenda.

Na baada ya kuoa, sikumbuki ni lini nimetongoza mwanamke kwa sababu tu nataka lala naye, na simpendi kabisa, wanawake walionivutia baada ya kuoa (nina miaka 18 ya ndoa), wawili,

Wote nimekaa nao mda sana kazini mpaka upendo uka develope, nililala na mmoja alikuwa ajaolewa, mwingine sikulala naye maana alikuwa kaolewa.

Kwa tabia yako ya hovyo uliyosema hapo juu, sidhani kama hawa dada wana sababu ya kusikiliza ushauri wa mwanaume wa hovyo

(Samahan lakinu Comred).
 
"Mimi kukutongoza sio kigezo wala sababu ya kukupenda, ni tamaa zangu tuu ndio zinataka nizishibishe, nichape mzigo Roho itulie"

Inawezekana andiko lako lina usahihi, lakini, sidhani kama wanaume wote wana tabia ya kihuni kama yako unayosema hapo juu.

Mimi sina kumbukumbu kabla ya kuoa, kutongoza au kufuata mwanamke ambaye simpendi, lazima nilimpenda.

Na baada ya kuoa, sikumbuki ni lini nimetongoza mwanamke kwa sababu tu nataka lala naye, na simpendi kabisa, wanawake walionivutia baada ya kuoa (nina miaka 18 ya ndoa), wawili,

Wote nimekaa nao mda sana kazini mpaka upendo uka develope, nililala na mmoja alikuwa ajaolewa, mwingine sikulala naye maana alikuwa kaolewa.

Kwa tabia yako ya hovyo uliyosema hapo juu, sidhani kama hawa dada wana sababu ya kusikiliza ushauri wa mwanaume wa hovyo

(Samahan lakinu Comred).

Hapa tunazungumzia wanaume na tabia zao. Ninyi ambao ni wachache msio na tabia hizo nilizo zitaja sidhani kama hii mada inawahusu Sana.

Wanaume tunatamaa hiyo Ipo hivyo Dunia nzima. Wanaume wasio na tamaa ni aidha wanamatatizo ya Akili, Saikolojia, mwili au wanaroho nyingine nafsini mwao.
 
Hapa tunazungumzia wanaume na tabia zao. Ninyi ambao ni wachache msio na tabia hizo nilizo zitaja sidhani kama hii mada inawahusu Sana.

Wanaume tunatamaa hiyo Ipo hivyo Dunia nzima. Wanaume wasio na tamaa ni aidha wanamatatizo ya Akili, Saikolojia, mwili au wanaroho nyingine nafsini mwao.


Wewe ni Mkristo? Biblia, author - Neno la Mungu, na Kristo ambaye ni Mungu lifanyika mwili 100%, na akathibitisha kwamba inawezekana.

Anatutaka tuishi hivyo, na anategemea, tunaweza kuwa wadhaifu, ila sidhani ni sawa kwa namna ulivyohubiri huo udhifu, hasa mtu mwenye ushawishi kama wewe.
 
"Mimi kukutongoza sio kigezo wala sababu ya kukupenda, ni tamaa zangu tuu ndio zinataka nizishibishe, nichape mzigo Roho itulie"

Inawezekana andiko lako lina usahihi, lakini, sidhani kama wanaume wote wana tabia ya kihuni kama yako unayosema hapo juu.

Mimi sina kumbukumbu kabla ya kuoa, kutongoza au kufuata mwanamke ambaye simpendi, lazima nilimpenda.

Na baada ya kuoa, sikumbuki ni lini nimetongoza mwanamke kwa sababu tu nataka lala naye, na simpendi kabisa, wanawake walionivutia baada ya kuoa (nina miaka 18 ya ndoa), wawili,

Wote nimekaa nao mda sana kazini mpaka upendo uka develope, nililala na mmoja alikuwa ajaolewa, mwingine sikulala naye maana alikuwa kaolewa.

Kwa tabia yako ya hovyo uliyosema hapo juu, sidhani kama hawa dada wana sababu ya kusikiliza ushauri wa mwanaume wa hovyo

(Samahan lakinu Comred).
Kwa hiyo baada ya kuoa umechepuka, tena na mwanamke mmoja tu!!
 
Wewe ni Mkristo? Biblia, author - Neno la Mungu, na Kristo ambaye ni Mungu lifanyika mwili 100%, na akathibitisha kwamba inawezekana.

Anatutaka tuishi hivyo, na anategemea, tunaweza kuwa wadhaifu, ila sidhani ni sawa kwa namna ulivyohubiri huo udhifu, hasa mtu mwenye ushawishi kama wewe.

Si hubiri udhaifu. Mimi nazungumzia uhalisia. Ninyi ndio mnafanya Ukristo uonekane ni unafiki.

Hiyo Biblia yenyewe Kina Ibrahim, Yakobo, Daudi, Suleiman n.k wengi wao walikuwa na Wanawake wengi unataka Mimi nisemeje Mkuu?

Wanaume tumeumbwa na tamaa, na kupitia tamaa hiyo ndio inawafanya Wanawake nafasi Yao ionekane
 
Si hubiri udhaifu. Mimi nazungumzia uhalisia. Ninyi ndio mnafanya Ukristo uonekane ni unafiki.

Hiyo Biblia yenyewe Kina Ibrahim, Yakobo, Daudi, Suleiman n.k wengi wao walikuwa na Wanawake wengi unataka Mimi nisemeje Mkuu?

Wanaume tumeumbwa na tamaa, na kupitia tamaa hiyo ndio inawafanya Wanawake nafasi Yao ionekane


Kwa hiyo aliyetuumba anapoelekeza tufanya Jambo ambalo haliwezekani anatuonea?
 
Back
Top Bottom