Kubeba ujauzito na kupata mtoto hakumfanyi mwanaume akupende

Kubeba ujauzito na kupata mtoto hakumfanyi mwanaume akupende

Ndo hivyo,,mtu hadi anamvulia nguo mtu asiyempenda si ndo uchizi wenyewe huo๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
hapo sawa, hata mie nashangaa inakuwaje mtu humpendi huna feeling naye unavua nguo mbele zake.. mambo yanafikirisha sanaa.. ujue tuna machizi wengi sana ๐Ÿ˜…๐Ÿซฃ
 
Kwamba kila unayelala/ninayelala nae lazima upendo uhusike? Kwa mtazamo wangu na kwa lifestyle ya sasa watu wanawekana sana tu bila kuwa na hisia zozote.
Aisee ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚,,, kwamba ndo genye zimezidi sikuizi au๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Sex imekuwa very cheap kwa sasa, ni rahisi sana kuipata so watu wanachukulia advantage. Yaani naweza kutuma sms tatu saivi, mbili zikanipa uhakika wa ndani ya 1hr nakula tunda๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Ila kuna watu mna ujasiri jamani๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ,,mna hisia za karibu sijui niseme maana๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Vizuri,, wachache sana wana msimamo kama wako๐Ÿ˜Œ
kutianar kwenye kunanoga kama mnapenda na kila mtu ana feeling hapo hata kumkojoza key ni kama kuperuzi page za jf . tu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ anaweza kojoaaa hadi akaishiwa nguvu.. sasa hivi wadada hawakojoi sio kwanba wanakutana na vibamia, issue ni kwamba wanatiwar na watu wasio na hisia nao kwasababu ya njaa au mahitaji yao ya kipesa.. ila huwezi tiwar na mtu mwenye hisia nae usikojoe hadi uchoke
 
Bas mnawapenda, no matter what.
ni kweli unachosema, mpaka unalala na mtu lazima kuna vihisia fulani....

lakini ambaye tunampenda kweli lazima kuwe na utofauti, inatuchukua mda ila hua tunagundua kwamba huyu ni wa tofauti....

sema sasa ukiniambia nitofautishe wakumtamani tunamuonaje na wakumpenda tunamuonaje nashindwa. Inatokea tu....
 
Nataka niwaambie kuwa Wanawake tunawaona ni Wazuri pale tunapokuwa na tamaa ya ngono juu Yao. Tukishawalala na kuwatumia Kwa kweli tunajutia, ni kama macho yetu yanafunguliwa, ule uzuri wote unayeyuka. Hatuoni tena uzuri wao. Nazungumzia Wanawake tusiowapenda.
Na kwa kuongezea hapo Mtibeli ni kuwa wengine tunawatamani sana wakiwa wamevaa nguo wakishavua tu hamu inaanza kupungua ukiangalia maumbile na mwonekano wake.

Ila kwa kuwa maji ukishayavulia lazima uyaoge tunachakata mbususu baada ya hapo hauna tena hamu naye. Imeisha hiyoo!
 
Back
Top Bottom