Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Kweli maisha hayataki userious🤣🤣🤣😅😅 nashangaa watu wanavyotumia nguvu mingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli maisha hayataki userious🤣🤣🤣😅😅 nashangaa watu wanavyotumia nguvu mingi
Unafanyaje mkuu😀😀😀 noma sana alooNdo iko hivyo sijui kwanini,,,, yani me napenda mtu niende nae taratiiibu ila nikishaanza kumfeel jamani hua nakua kama chizi 😃😃😃,, nikiskia sauti yake tu me nalowana🤣🤣🤣🙈
Basi tu ndo niko hivyo 😃😃Unafanyaje mkuu😀😀😀 noma sana aloo
Usitake kuyadindia maisha ishi nayo tu 😅Hii clip ilinichekesha sana, jifanye ununda na maisha uone.😀
Huo utakuwa upendo wa kweli, ambao wengi wetu kwa sasa hatuna. Mdada hadi apige dompo ndio mzuka upande.Basi tu ndo niko hivyo 😃😃
Jamani 😃😃🤣🤣🤣🙌Huo utakuwa upendo wa kweli, ambao wengi wetu kwa sasa hatuna. Mdada hadi apige dompo ndio mzuka upande.
Tafuta, tua kidogo relax and enjoy utaona tu mambo yanajipa 😊😀😅😅 kwanza utakuta unajichosha buree tuu
💯🤝Ndio maana tukishalala na Wanawake tukitoka tunaweza tusiwatafute kwenye simu wala kujibu meseji mpaka siku tatu au wiki Kabisa. Ni mpaka hamu ya ngono irejee tena
Hiyo kwenda naye taratibu huku unampiga vizinga au vepeee? 😝Ndo iko hivyo sijui kwanini,,,, yani me napenda mtu niende nae taratiiibu ila nikishaanza kumfeel jamani hua nakua kama chizi 😃😃😃,, nikiskia sauti yake tu me nalowana🤣🤣🤣🙈
Mnawapendaaa, yaan hadi inatokea unamtongozaa ushampenda, hakuna cha kumtamani wala nn hapa.
Ubebe nyote mkiwa mmeridhia/ mmepanga!!
Huyu tunayempenda hata tukimcheat upendo wetu uko palepaleKwa uelewa wako upendo unagawanyika?
Wanaume tunakuwa na Mwanamke mmoja ambaye ndiye tunampenda kindakindaki.
Wengine ni tamaa tuu.
Yeah ni raha sana;Alafu mwanaume AKUPENDE.
Hakuna Raha Mwanamke utaacha kuona
Hapana😃😃😃,,, mnawaza vizinga tu mda wote waone🤣🤣🤣Hiyo kwenda naye taratibu huku unampiga vizinga au vepeee? 😝
🤣🤣🤣 vinatuumiza sana hivyo wenzenuHapana😃😃😃,,, mnawaza vizinga tu mda wote waone🤣🤣🤣
Usiyempenda analika vizuri tu muhimu abdala asimameila napo kuzaa na mtu usie mpenda ni uchizi mwingine huo😅😅
Kumla mtu usie mpenda pia ni aina ya uchizi mwingine
Kumvulia nguo mtu usie mpenda ni aina ya wehu pia 😅
😂😂😂😂🤣🤣🤣 vinatuumiza sana hivyo wenzenu
Ulishindwa kubeba ya smati?Ubebe nyote mkiwa mmeridhia/ mmepanga!!