Kubenea wa MWANAHALISI amenunuliwa na mafisadi?

Kubenea wa MWANAHALISI amenunuliwa na mafisadi?

Ahsante Mkuu kwa kunielewa. Nilipoanzisha hoja hii baadhi ya wanaJF waliishia kunitupia madongo tu bila kutafakari. Sikufanya hivyo kwa kumchukia Kubenea ila kwa sababu mimi ni shabiki wake wa miaka mingi. Sasa nasadiki yote waliyonieleza maana yamejitokeza kwa asilimia 100 kwenye toleo la sasa la MwanaHalisi. Mkono wa Rostam, Lowassa na watu wasio na itikadi ndani na nje ya CCM unaonekana bayana!

Kamaudouilton, nimewahi kusoma upuuzi humu JF lakini huu wa kwako ni babu kubwa. Posti kama hii ya kwako kuna sehemu zake, sana sana kule FB kwa akina Nape, Jakaya na mafisadi wengine .

Wewe kuileta hapa JF ni kutukosea adabu, soma tena hiyo habari kwa makini kama mtu mwenye uelewa - Kubenea anajua fika kwamba hakuna ufisadi bila baraka za Kiongozi Mkuu wa serikali ambaye ndiye pia kiongozi Mkuu wa chama tawala.

Haya madai ya wasaidizi kumwangusha Kikwete anayewateua yamepitwa na wakati, huwezi kuongelea Rostamu, Lowassa na Chenge usimtaje bosi na mshiriki wao Mkuu Kikwete.

Huo mkakati wa kujaribu kumtenga Kikwete na kashfa lukuki zinazoiandama taifa mwenye akili katu hawezi kuzikubali na mbinu hiyo kamwe haitafanikiwa, siyo humu JF.
 
Hongera mtoa taarifa hizi (Kamaudoulton) nyeti ambazo zina harufu ya ukweli sina sintokuwa na mashaka na taarifa hizi kwani kuna taarifa mashirika ya pensheni za hivi karibuni haswa ppf juu madudu yake lakini Kubenea hakuweza kuandika kabisa nondo za wana jf mpaka magazeti mengi mfano mwananchi, habari leo na mengine mengi walito taarifa kwa mwananchi juu madudu ya shirika hilo lakini mwanaHalisi likakaa kimya ndipo nikajua kweli kubenea amekuwa siyo tunaye mfahamu. Tayari ameshaanza kupokea mirungula.
Si uanzishe gazeti lako uandike hayo ambayo Kubenea ameyaacha? Mbona unataka kumpangia mambo ya kuandika kwenye gazeti lake?
 
Porokwa kapewa pesa kala mwenyewe wakati sisi ndio tuliomfanyia kampeni na kumlinda hapa mjini Arusha akiwa anaishi kwa mifuko yetu? Basi hafai maana yeye ndiye aliyetumwa kuanzisha ccj hapa Arusha akawaingiza watu fulani hasara ya ajabu kabisa, baada ya kuutosa ubunge akatutoroka kabisa, tutamkamata na siri zake tunazo maana sisi ndio tuliombeba.

Kwa hiyo ushshidi wa Porokwa ni wa kweli kabisa kwa mujibu wa maelezo yako.
 
Hatukatazwi Kupenda mtu/kitu lakini ni vizuri sana kuruhusu Bongo zetu kuwaza 'Kinyume cha Mambo' (Mohamed Said Abdullah akimtumia Bwana Msa).

Nimeisoma thread hii na kugundua kuwa Watanzania wengi hawako tayari kufikiri kinyume na kile wanachopenda kufikiri.
Nimegundua kuwa watanzania wengi wanapenda kupata mtu wa kuwapigania vita vyao lakini wao wenyewe wanabaki kuwa Wapambanaji wa kwenye Keyboard tu.

Nimegundua kuwa Watanzania wengi hawataki kusikia mawazo mbadala (nasisitiza, mawazo mbadala) kumhusu yule waliyemteua kuwa mpiganaji vita wao.

Watanzania wengi hawaamini katika msemo wa 'Everyone has his/her Price'.. Kila Mtu ana Bei Yake.
Kuna member ametoa uchambuzi mzuri sana kuhusiana na mabadiliko ya Vichwa vya Habari vya Mwanahalisi. Ni wachache sana wamechangia kuhusu hili.

Imetolewa hoja kuwa tusubiri Mwanahalisi tuone Kichwa cha habari. Nimelinunua na kichwa kikuu cha habari kinasema 'Sitta, Mwakyembe, Lowassa Watoswe'

Inawezekana kikawa kichwa cha habari cha kawaida na kinachoweza kutumika kushinda hoja ya mwanzilishi wa thread, lakini unaposoma habari yenyewe na kukuta aslimia kubwa ya content ya habari yenyewe (karibuni 90%) inahusu zaidi tuhuma za Sitta na Mwakyembe za kuwa waanzilishi wa CCJ na uwezekano wao wa kufukuzwa kwenye Chama na habari/majina ya Lowassa/Rostam/Chenge yametajwa kwenye paragraph MOJA tu kati ya karibuni Paragraph 40 za habari hiyo huku majina ya Sitta na Mwakyembe yakitajwa almost kila baada ta Pragraph moja ni lazima tuzipe nafasi akili zetu ya kuanza kujiuliza...!

Sitta, Mwakyembe wametajwa sana kwa sababu wao ni waanzilishi wa CCJ. Rostam, Chenge, Lowassa hiyo haikuwa issue yao. Yao ni ufisadi tu!
 
Jamani, unajua kununuliwa mtu ni mpango wa muda mrefu na hufanyika kwa siri sana, tumpe muda mtoa mada, naamini alichosema kitajulikana kama ni kweli au hapana. Tetesi kutoka kwa walio karibu sana na "mshutumiwa" zinalandana kwa kiasi kikubwa na alichosema mtoa mada. BUT, time will tell!
 
Hatukatazwi Kupenda mtu/kitu lakini ni vizuri sana kuruhusu Bongo zetu kuwaza 'Kinyume cha Mambo' (Mohamed Said Abdullah akimtumia Bwana Msa).

Nimeisoma thread hii na kugundua kuwa Watanzania wengi hawako tayari kufikiri kinyume na kile wanachopenda kufikiri.
Nimegundua kuwa watanzania wengi wanapenda kupata mtu wa kuwapigania vita vyao lakini wao wenyewe wanabaki kuwa Wapambanaji wa kwenye Keyboard tu.

Nimegundua kuwa Watanzania wengi hawataki kusikia mawazo mbadala (nasisitiza, mawazo mbadala) kumhusu yule waliyemteua kuwa mpiganaji vita wao.

Watanzania wengi hawaamini katika msemo wa 'Everyone has his/her Price'.. Kila Mtu ana Bei Yake.
Kuna member ametoa uchambuzi mzuri sana kuhusiana na mabadiliko ya Vichwa vya Habari vya Mwanahalisi. Ni wachache sana wamechangia kuhusu hili.

Imetolewa hoja kuwa tusubiri Mwanahalisi tuone Kichwa cha habari. Nimelinunua na kichwa kikuu cha habari kinasema 'Sitta, Mwakyembe, Lowassa Watoswe'

Inawezekana kikawa kichwa cha habari cha kawaida na kinachoweza kutumika kushinda hoja ya mwanzilishi wa thread, lakini unaposoma habari yenyewe na kukuta aslimia kubwa ya content ya habari yenyewe (karibuni 90%) inahusu zaidi tuhuma za Sitta na Mwakyembe za kuwa waanzilishi wa CCJ na uwezekano wao wa kufukuzwa kwenye Chama na habari/majina ya Lowassa/Rostam/Chenge yametajwa kwenye paragraph MOJA tu kati ya karibuni Paragraph 40 za habari hiyo huku majina ya Sitta na Mwakyembe yakitajwa almost kila baada ta Pragraph moja ni lazima tuzipe nafasi akili zetu ya kuanza kujiuliza...!

Kwa kuwa CCM ni wazuri sana katika kutengeneza na kuuza propaganda zenye lengo la kuudanganya umma, mpambanaji wa ukweli dhidi ya ufisadi ni lazima awe makini kuhakikisha makundi mbali mbali yenye lengo la kutumia vita dhidi ya ufisadi kutimiza malengo yake ya kushinda na kupata tiketi ya kugombea uraisi 2015 hayafanikiwi. Kimisingi watu wote ndani ya CCM hawana moral authority ya kupambana dhidi ya ufisadi. Hii inathibitishwa na wajumbe wa vikao muhimu kama CC na NEC kushindwa kupasua jipu kuwa magamba yaanze kuvuliwa kuanzia kichwani (kwa JK) badala ya katika kiwiliwili kwa akina RACHEL kwa kuwa mnufaikaji mkuu wa ufisadi ni Jk kwa kutumia fedha zitokana zo na ufisadi kuingia madarakani 2005.

Kama ambavyo Baba wa Taiafa alivyotabiri kuwa "Dhambi ya Ubaguzi" haiishi, Kiwete na mapacha watatu waliunda mtandao ambao uliwahusiaha Sitta na wenzake kama wanachama waandamizi, maana halisi ya kuunda matandao ilikuwa ni kuwabagua wanaCCM wengine waliokuwa na sifa ya kugombea urais 2005. Yaliyowapata wagombea wengine wa uraisi ndani ya CCM 2005 sote tunayajua.

Baada ya lengo la mtandao huo kufanikiwa, kumuingiza JK madarakani 2005, wanamtandao walianza kutafunwa na dhambi ya ubaguzi kwani hawakuwabaki wamoja kama ambavyo walifikiri wao ni wamoja dhidi ya wanaCCM wengine. Kila mmmoja akaanza kumpiga vita mwenzie kama sehemu ya kujitayarisha kugombea urais 2015.

Spika Sitta akatumia madaraka ya uspika kummaliza Lowassa kama ambavyo waliwamaliza wagombea urais wengine wa mwaka 2005 ndani ya CCM, alikufanikisha lengo hilo akatumia kashfa ya RICHMOND. Wakati Spika Sitaa akitumia madaraka yake kummaliza Lowassa; katika kipindi cha miaka mitano ya uongozi wake ndani ya bunge wapinzani walifanya jitihada kubwa kujaribu kuhakikisha kashfa zingine kama vile EPA, MEREMETA, RADA, Ufisadi katika madini na raslimali zingine za taifa n.k vijnaadiliwa bungeni. Lakini kwa kuwa kashfa hizo zilikuwa haziwahusu watu ambao walikuwa wakitishia nafasi ya Sitta kugombea uraisi 2015 ndani ya CCM, Spika Sitta hakufanya jitihada zozote kuhakiksha hoja za wapinzani zinasikilizwa na kujadiliwa bungeni. Matokeo yake nchi na watanzania vimepoteza fedha nyingi sana. Mfano hai ni kitendo cjh Spika Sitta kukubali hoja za Waziri Mkuu Pinda kukwepa kujibu hoja kuhus ufisadi wa MEREMETA akidai kuwa inahusu usalama wa taifa kila mwaka kwa kipindi cha miaka mitano. Je ni fedha kiasi gani watanzania tumepotea katiak ufisdi huo?

Katika hali kama hii ni dhambi kubwa sana kuwaruhusu CCM watumie vita dhidi ya ufisadi kufanikisha malengo ya kundi moja linalotaka kugombea uriasi 2015 dhidi ya lingine. Kwani baada ua kundi hilo kufanikiwa litahakiksha linaua vita hivi na ufisadi kuendelka kama kawaida kama ambavyo Spika Sitta alitumia madaraka yake kuua hoja za wapinzani dhidi ya kasfa mbali mbali ambzo hazikuwa zikiwahusu watu wanahatarisha nafasi yake kugomea urasi 2015 ndani ya CCM.

Kinachotakiwa ni wachafu wote ndani ya CCM kungoka, na CCM yenyewe kungoka madarakani na sio makundi ndani ya CCM kutimuana na wenye nguvu kubaki wakiendeleza ufisadi hapa nchini.
 
Pesa kitu hatari sana Kubenea Ana style yake ya kutengeneza unajua kila nikiangalia hili gazeti huwa nauliza anapata wapi hela za kuliendesha? Mbona halina matangazo? Baadae hukaa kimya maana usitafute mwenzako anaishije utajenga uhasama. Ila ninachojua Tanzania kila Mwandishi Ana baba yake kwa hiyo kila habari ina mgongo Wa mtu nyuma...
 
Tusiandikie mate wakati wino upo. Mini ni mshabiki mkubwa wa kubenea na nilikuwa sina wazo lolote kabla ya kuona thread hii lakini baada ya kuisoma na kuitafakari naona kuna some elements of reality. Kama sikosei gazeti la kubenea liliwahi kuandika habari ya kuwataka akina sitta and company activists waondoke CCM sasa haiingii akilini leo kubenea anataka akina sitta and company activists watoswe kisa walitaka kukisaliti chama. Anyway the truth is yet to uncover itself tumpe muda na ukweli utajulikana.tu. Time will tell. Ila kubenea fahamu kama kweli utakubali kununuliwa utakuwa umetuumiza wengi sana.
 
Kwani kubenea hayupo humu walimsema vibaya mwanakijiji wameamia kwa kubenea watu hawa
 
Tusiandikie mate wakati wino upo. Mini ni mshabiki mkubwa wa kubenea na nilikuwa sina wazo lolote kabla ya kuona thread hii lakini baada ya kuisoma na kuitafakari naona kuna some elements of reality. Kama sikosei gazeti la kubenea liliwahi kuandika habari ya kuwataka akina sitta and company activists waondoke CCM sasa haiingii akilini leo kubenea anataka akina sitta and company activists watoswe kisa walitaka kukisaliti chama. Anyway the truth is yet to uncover itself tumpe muda na ukweli utajulikana.tu. Time will tell. Ila kubenea fahamu kama kweli utakubali kununuliwa utakuwa umetuumiza wengi sana.
 
Tusiandikie mate wakati wino upo. Mini ni mshabiki mkubwa wa kubenea na nilikuwa sina wazo lolote kabla ya kuona thread hii lakini baada ya kuisoma na kuitafakari naona kuna some elements of reality. Kama sikosei gazeti la kubenea liliwahi kuandika habari ya kuwataka akina sitta and company activists waondoke CCM sasa haiingii akilini leo kubenea anataka akina sitta and company activists watoswe kisa walitaka kukisaliti chama. Anyway the truth is yet to uncover itself tumpe muda na ukweli utajulikana.tu. Time will tell. Ila kubenea fahamu kama kweli utakubali kununuliwa utakuwa umetuumiza wengi sana.
 
Tusiandikie mate wakati wino upo. Mini ni mshabiki mkubwa wa kubenea na nilikuwa sina wazo lolote kabla ya kuona thread hii lakini baada ya kuisoma na kuitafakari naona kuna some elements of reality. Kama sikosei gazeti la kubenea liliwahi kuandika habari ya kuwataka akina sitta and company activists waondoke CCM sasa haiingii akilini leo kubenea anataka akina sitta and company activists watoswe kisa walitaka kukisaliti chama. Anyway the truth is yet to uncover itself tumpe muda na ukweli utajulikana.tu. Time will tell. Ila kubenea fahamu kama kweli utakubali kununuliwa utakuwa umetuumiza wengi sana.
 
Tusiandikie mate wakati wino upo. Mini ni mshabiki mkubwa wa kubenea na nilikuwa sina wazo lolote kabla ya kuona thread hii lakini baada ya kuisoma na kuitafakari naona kuna some elements of reality. Kama sikosei gazeti la kubenea liliwahi kuandika habari ya kuwataka akina sitta and company activists waondoke CCM sasa haiingii akilini leo kubenea anataka akina sitta and company activists watoswe kisa walitaka kukisaliti chama. Anyway the truth is yet to uncover itself tumpe muda na ukweli utajulikana.tu. Time will tell. Ila kubenea fahamu kama kweli utakubali kununuliwa utakuwa umetuumiza wengi sana.
 
Tusiandikie mate wakati wino upo. Mini ni mshabiki mkubwa wa kubenea na nilikuwa sina wazo lolote kabla ya kuona thread hii lakini baada ya kuisoma na kuitafakari naona kuna some elements of reality. Kama sikosei gazeti la kubenea liliwahi kuandika habari ya kuwataka akina sitta and company activists waondoke CCM sasa haiingii akilini leo kubenea anataka akina sitta and company activists watoswe kisa walitaka kukisaliti chama. Anyway the truth is yet to uncover itself tumpe muda na ukweli utajulikana.tu. Time will tell. Ila kubenea fahamu kama kweli utakubali kununuliwa utakuwa umetuumiza wengi sana.
 
Napenda Kubenea ajitokeza hadharani ajibu hizi shutuma kuliko kupoteza wasomaji wake nam nikiwepo
 
Homeboy

Jamaa anauza story hakuna kitu kama hicho! Ni vita wanapigana Magamba hao wanajaribu kumtumia Kubenea kama AK47. Kubenea is not that much cheap. Wanajua Magazeti yao ya Uhuru, Mzalendo, Habari leo hayauziki.
Ni kwa watu wenye akili ndiyo wanaweza kugundua uongo kama huu, yaani Kubenea akose 20m au anunuliwe kwa 20ml. Halafu hakuna mitambo inayouzwa 20ml ya kuchapisha magazeti vinginevyo hata mimi ningekuwa na mitambo hiyo kama ndiyo bei yake.
 
Kama kweli amepewa hizo hela za madini yetu, kwa nini asizichukue? akishafanikisha malengo aingie chaka.:biggrin1:
 
Back
Top Bottom