Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie wenzake tunaelekea kwenye uchumi wa katiNow this is what's called Midlife Crisis.
hataree mzee mwenzangu muhindi kanitoa manundu nikapumzika,,, alfu uyu jamaa anakuja na uongo wake hapa eti kila siku anakula laki moja[emoji23][emoji23][emoji23]Nakukumbuka mkongwe kwenye uzi wetu wa wazee wa kubeti siku hizi ulistaafu kabisa?
Kumbe ni km BURUDANI...... Mm nilitaka kufanya kitega uchumi nimeteguliwaaabetting ni starehe kama starehe nyingine usitegemee maajabu sana kupitia huko
sasa mtu kulalamika wakati ushaona mchezo wenyewe unaitwa betting inabidi watu wakushangae wewe
Nifundishe na mimiWe njoo Betpawa tuendelee kubet Virtual sports kikubwa ni uwe na mtaji tu
Hahahahaaa........ Laki kila cku si mchezohataree mzee mwenzangu muhindi kanitoa manundu nikapumzika,,, alfu uyu jamaa anakuja na uongo wake hapa eti kila siku anakula laki moja[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
ahahah ningekuwa kwenye level za milioneahataree mzee mwenzangu muhindi kanitoa manundu nikapumzika,,, alfu uyu jamaa anakuja na uongo wake hapa eti kila siku anakula laki moja[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
Au lile ..sijui okwi Mara kwio n shida mkuuMwanaume kutumia neno kudanga ni very disturbing...
Ila sio siri uchumi wa kati mtamu sanaKila la heri mkuu sisi wengine ni vilioo
Wewe ndo muongo mkuu,Mimi kila Mara nabeti,beti ni nzuri sana,kumshauri mtu asibeti ni kupotosha sana,huo ni mkeka wa juzi ,na nilikuwa nimekosa kaziKubet ni kununua matumaini kwa pesa yako. Acha hiyo kazi mkuu utawehuka
Ungeweka buku 10 ungempasua muhindi vibaya mno!Wewe ndo muongo mkuu,Mimi kila Mara nabeti,beti ni nzuri sana,kumshauri mtu asibeti ni kupotosha sana,huo ni mkeka wa juzi ,na nilikuwa nimekosa kaziView attachment 1522915
Huwa namla sana tu kwa steki zangu hizo,mtu hawezi sema eti bet hailipi,no ni umakini tu unahitajikaUnge
Ungeweka buku 10 ungempasua muhindi vibaya mno!