Kubeza maendeleo yaliyoletwa na CCM ndani ya miaka 60 ni kukosa busara. Tulipata uhuru tukiwa nyuma sana kimaendeleo

Kubeza maendeleo yaliyoletwa na CCM ndani ya miaka 60 ni kukosa busara. Tulipata uhuru tukiwa nyuma sana kimaendeleo

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Inashangaza sana kusikia mtu anakebehi kuwa Ccm imelifanyia nini taifa hili ndani ya miaka sitini.

Pamoja na kuwa tulikuwa chini ya uangalizi wa UN mpaka tutapopata uhuru lakini mwangalizi wetu yaani Mwingireza hakufanya maendeleo ya maana kama katika makoloni yake ya kudumu kama Kenya na Zimbabwe. Hivyo mpaka anatupatia uhuru aliacha taifa letu lipo na hali mbaya ya kiuchumi na maendeleo.

Mw Nyerere alipopata uhuru aliandaa misingi mizuri ili kila mtu aweze kufaidi keki ya taifa hasa kwa kuanzisha siasa ya ujamaa na kujitegemea. Na ilikuwa na nia nzuri tu ila husuda za Mapebari wakamuangusha.

Tuachane na setbacks na mafanikio katika awamu zote tano mpaka hii ya mama Samia
Ukweli ni kuwa kwa taifa lililokuwa halina kitu kimaendeleo, leo hii tunamiundombinu iliyosimama ya barabara, afya,elimu hadi viwanda. Si busara kuibeza Ccm ambayo iliachiwa nchi ikiwa masikini kabisa kwa kila namna. Na leo hii tupo hii stage.

Kwani mnaobeza mlitaka tuwe kama Usa ambao wanamiaka zaidi ya mia mbili tangu wapate uhuru?
 
Inashangaza sana kusikia mtu anakebehi kuwa Ccm imelifanyia nini taifa hili ndani ya miaka sitini.

Pamoja na kuwa tulikuwa chini ya uangalizi wa UN mpaka tutapopata uhuru lakini mwangalizi wetu yaani Mwingireza hakufanya maendeleo ya maana kama katika makoloni yake ya kudumu kama Kenya na Zimbabwe. Hivyo mpaka anatupatia uhuru aliacha taifa letu lipo na hali mbaya ya kiuchumi na maendeleo.

Mw Nyerere alipopata uhuru aliandaa misingi mizuri ili kila mtu aweze kufaidi keki ya taifa hasa kwa kuanzisha siasa ya ujamaa na kujitegemea. Na ilikuwa na nia nzuri tu ila husuda za Mapebari wakamuangusha.

Tuachane na setbacks na mafanikio katika awamu zote tano mpaka hii ya mama Samia
Ukweli ni kuwa kwa taifa lililokuwa halina kitu kimaendeleo, leo hii tunamiundombinu iliyosimama ya barabara, afya,elimu hadi viwanda. Si busara kuibeza Ccm ambayo iliachiwa nchi ikiwa masikini kabisa kwa kila namna. Na leo hii tupo hii stage.

Kwani mnaobeza mlitaka tuwe kama Usa ambao wanamiaka zaidi ya mia mbili tangu wapate uhuru?
Bora kukosa busara kuliko kukosa akili kwa kufikiria maendeleo yameletwa na CCM badala ya WATANZANIA WENYEWE. Mshajiona wenye nchi kiasi kwamba CCM ni muhimu kuliko Tanzania? 😡
 
Bora kukosa busara kuliko kukosa akili kwa kufikiria maendeleo yameletwa na CCM badala ya WATANZANIA WENYEWE. Mshajiona wenye nchi kiasi kwamba CCM ni muhimu kuliko Tanzania? 😡
Nini maana ya kuchagua chama kiunde serikali?
 
Mtoto kazaliwa na kilo 2, baada ya muda miaka 10 ana kilo 5. Ni kweli kaongezeka, swali ni je huo uzito unaendana na umri wake?

Vipi watoto wengine aliozaliwa nao, wana uzito gani sasa hivi?
 
Ni AIBU kwa NCHI yenye Miaka 60 ya Uhuru na Raslimali za Kutisha Haina Maendeleo na Wananchi wake mnawaita WANYONGE
Jiulize Nchi zilizokuwa Kundi moja na Tanzania kwa Umaskini leo zimekuwa Nchi zenye Maendeleo Makubwa tunawategemea Watupe Misaada wakati sisi tuna
Madini Aina zote
Bahari
Maziwa
Mbuga za Wanyama
Ardhi nzuri kwa Kilimo
Mabonde
GAS
MITO n.k
 
 
Inashangaza sana kusikia mtu anakebehi kuwa Ccm imelifanyia nini taifa hili ndani ya miaka sitini.

Pamoja na kuwa tulikuwa chini ya uangalizi wa UN mpaka tutapopata uhuru lakini mwangalizi wetu yaani Mwingireza hakufanya maendeleo ya maana kama katika makoloni yake ya kudumu kama Kenya na Zimbabwe. Hivyo mpaka anatupatia uhuru aliacha taifa letu lipo na hali mbaya ya kiuchumi na maendeleo.

Mw Nyerere alipopata uhuru aliandaa misingi mizuri ili kila mtu aweze kufaidi keki ya taifa hasa kwa kuanzisha siasa ya ujamaa na kujitegemea. Na ilikuwa na nia nzuri tu ila husuda za Mapebari wakamuangusha.

Tuachane na setbacks na mafanikio katika awamu zote tano mpaka hii ya mama Samia
Ukweli ni kuwa kwa taifa lililokuwa halina kitu kimaendeleo, leo hii tunamiundombinu iliyosimama ya barabara, afya,elimu hadi viwanda. Si busara kuibeza Ccm ambayo iliachiwa nchi ikiwa masikini kabisa kwa kila namna. Na leo hii tupo hii stage.

Kwani mnaobeza mlitaka tuwe kama Usa ambao wanamiaka zaidi ya mia mbili tangu wapate uhuru?
Ccm imetoa kiasi gani cha pesa katika kugaramikia maendeleo hayo ulio yasema ndugu mleta mada?

Si sana wao ccm ndio wamekua wakichukua kwa kiasi kikubwa jasho la wananchi kwa maslahi yao na kufanya kila namna waweze kubaki madarakani?

Hayo maendeleo unayoyasemea yameletwa na ccm ndio haya ya mji kama wa dar es laam kukosa maji?

Kama kitu kidogo kinachopatikana kwa urahisi namna hii kama maji imekua changamoto ndio tujuvunie maendeleo ya miaka 60 ya kujitawala huku ukiwa na rasilimali za kutosha ?
 
Neno tulipewa uhuru ni tatizo nchi hii.

Ila lingekuwa tulichukua uhuru basi inhekuwa jambo la kishujaa.
 
Haya ndio maendeleo anayoyasema mleta mada
 
Mimi nadhani hamjawaelewa wanaopinga kwamba hoja yao iko wapi.

Mimi nadhani wapingaji mantiki yao ni kwamba maendeleo yaliyofanyika ukilinganisha na muda wa serikali ya chama fulani kuwepo madarakani basi hakuna uwiano,nadhani hiyo ndio hoja wanayomaanisha.

Japokuwa mimi binafsi nilichagua toka zamani kufocus katika mazuri tu kwa sababu hayaishi na nilishaacha kufocus kwenye mabaya kwa sababu nayo hayaishi,ukitafuta baya moja utaona na lingine kisha lingine kisha lingineeeee....
 
Inashangaza sana kusikia mtu anakebehi kuwa Ccm imelifanyia nini taifa hili ndani ya miaka sitini.

Pamoja na kuwa tulikuwa chini ya uangalizi wa UN mpaka tutapopata uhuru lakini mwangalizi wetu yaani Mwingireza hakufanya maendeleo ya maana kama katika makoloni yake ya kudumu kama Kenya na Zimbabwe. Hivyo mpaka anatupatia uhuru aliacha taifa letu lipo na hali mbaya ya kiuchumi na maendeleo.

Mw Nyerere alipopata uhuru aliandaa misingi mizuri ili kila mtu aweze kufaidi keki ya taifa hasa kwa kuanzisha siasa ya ujamaa na kujitegemea. Na ilikuwa na nia nzuri tu ila husuda za Mapebari wakamuangusha.

Tuachane na setbacks na mafanikio katika awamu zote tano mpaka hii ya mama Samia
Ukweli ni kuwa kwa taifa lililokuwa halina kitu kimaendeleo, leo hii tunamiundombinu iliyosimama ya barabara, afya,elimu hadi viwanda. Si busara kuibeza Ccm ambayo iliachiwa nchi ikiwa masikini kabisa kwa kila namna. Na leo hii tupo hii stage.

Kwani mnaobeza mlitaka tuwe kama Usa ambao wanamiaka zaidi ya mia mbili tangu wapate uhuru?
Nawe kulenda uzi uharo huu,utakua na file mirembe
 
Sikubaliani na argument yako lakini nimeipenda kwani wanasiasa inawapasa muwe hivi, mshindane kwa hoja na si vinginevyo.
 
Inashangaza sana kusikia mtu anakebehi kuwa Ccm imelifanyia nini taifa hili ndani ya miaka sitini.

Pamoja na kuwa tulikuwa chini ya uangalizi wa UN mpaka tutapopata uhuru lakini mwangalizi wetu yaani Mwingireza hakufanya maendeleo ya maana kama katika makoloni yake ya kudumu kama Kenya na Zimbabwe. Hivyo mpaka anatupatia uhuru aliacha taifa letu lipo na hali mbaya ya kiuchumi na maendeleo.

Mw Nyerere alipopata uhuru aliandaa misingi mizuri ili kila mtu aweze kufaidi keki ya taifa hasa kwa kuanzisha siasa ya ujamaa na kujitegemea. Na ilikuwa na nia nzuri tu ila husuda za Mapebari wakamuangusha.

Tuachane na setbacks na mafanikio katika awamu zote tano mpaka hii ya mama Samia
Ukweli ni kuwa kwa taifa lililokuwa halina kitu kimaendeleo, leo hii tunamiundombinu iliyosimama ya barabara, afya,elimu hadi viwanda. Si busara kuibeza Ccm ambayo iliachiwa nchi ikiwa masikini kabisa kwa kila namna. Na leo hii tupo hii stage.

Kwani mnaobeza mlitaka tuwe kama Usa ambao wanamiaka zaidi ya mia mbili tangu wapate uhuru?
kwani wakoloni hawakufanya mambo ya maendeleo,hawakujenga reli,mashule ,hospitali .TATIZO ndani ya miaka 60 maendeleo mliyolete hayaendani na mlichoiba,mmeiba kingi na kuacha vichache,miaka 60 wananchi wanakunywa maji pamoja na ngombe visimani, nyinyi mnapepea na bombardieee
 
Kwa hiyo unaona ni sahihi miaka 60 ya uhuru bado mnahubiri uhaba wa maji, upungufu wa madawati, madarasa?!
 
Back
Top Bottom