Kubezwa kwangu kulinipunguzia presha nikawa mshindi vipindi vyote

Kubezwa kwangu kulinipunguzia presha nikawa mshindi vipindi vyote

Kuna watu ni wadogo sana humu aisee, hivi humu mkubwa Mimi tu au
Mwaka niliograduate University ,ndo dogo anamaliza la7🤣🤣sisomi Tena nyuzi zake,ndo anabalehe,hapo aliko shawaha bado zinanuka ule uchangah

Kumbe kalisoma diploma,manake kamejisifu kalisoma chuo,kumbe chuo Cha kata mamaeeh 🤧🤧🤧
Nakaweka ignore list asap,sitaki kusoma story za teeneger,it's rubbish.
 
Mwaka niliograduate University ,ndo dogo anamaliza la7🤣🤣sisomi Tena nyuzi zake,ndo anabalehe,hapo aliko shawaha bado zinanuka ule uchangah

Kumbe kalisoma diploma,manake kamejisifu kalisoma chuo,kumbe chuo Cha kata mamaeeh 🤧🤧🤧
Nakaweka ignore list asap,sitaki kusoma story za teeneger,it's rubbish.
Duuuuh shahawa zinanuka au zinanukia?
 
Ni yule #DeMostAdmired Wa Mercy.

Nimependa pia nishee experience hii na ninyi ndugu zangu wa JF. Nahisi tutapata vitu flani flani.

Nashea hii kujaribu kuwapa shuhuda juu ya nature ya jinsi gani sisi walimwengu tulivo na maajabu ya ulimwengu wenyewe

Nianze na kuwapa update kuhusu Mercy, Mercy yupo anaendelea vizuri na mtoto wake huko kwao ila habari za Dokta sizifahamu.

Nianzie mwaka 2006 ndo nilianza darasa la kwanza, mimi sikuanzia vidudu kwa mujibu wa wazazi na watu wenye kumbukumbu nzuri zaidi yangu ni kwamba sikusoma vidudu kwasababu nilikuwa nilipelekwa darasani chekechea basi nilikuwa napigana sana na vitoto vyenzangu na nilikuwa sikai darasani ila nilikuwa natoka namfata bro darasa la kwanza.

Mimi pia niko na baadhi ya kumbukumbu juu ya miaka hii ya 2006 kwahyo nachokieleza kinatokana na stors kutoka kwa walionishuhudia na baadhi kutoka kwangu binafsi.

Kwanzia darasa la kwanza kulikuwa na watu wachache sana ambao waliweza kunielewa. Baba yangu alikuwa mwalimu lakini ni miongoni mwa watu wengi walokuwa hawaniamini katika mambo mengi hasa swala la elimu. Waliamini mimi ni mtu wa kawaida sana na wengine walithubutu kunidhihaki na hao ndo wamenisukuma kuandika Uzi huu leo.

Nitaruka mpaka darasa la 7. To be honest nilianza na primary sikuwahi kuwa namba moja skul toka la1 mpka la7 ila nakumbuka darasa la2 ndo nilikuwa wa2.

Bro wangu yeye ndo alikuwa anatuongozea class, yeye alipenda kusoma na kujishughulisha na masomo.

Matokeo yangu yalikuwa hayatabiriki lakini sikuwahi kufeli, yani ukichora graph ya matokeo against madarasa au vidato nature ya graph utakayoipata itakuwa ni irregular sana yani itakuwa zigzag mno.

Darasa la saba wakati wa mtihan baba aliniita ilikuwa ni jpil ambayo j3 ndo paper. Alivoniita akanambia kwamba kuna msimamizi x nimemuomba akusaidie pale ambapo utaona huwez basi ugonge dawat umuite ujifanye kama kuna mahali pamekosewa au hupaelew basi yeye atakusaidia kukupa majibu ili ufaulu mwanangu sitaki ufeli.

Nilimuliza bro kama nayeye kapewa yale maelekezo akasema hapana, kwahyo nikaona kabisa hapa tayr baba kashaniona mimi sijiwezi.

Nimeweka wazi hii so kwa ubaya labda nianike hadharan exams malpractices No hapana ila nimeweka wazi ili kuonesha uhalisia wa kichwa cha Uzi na yaliyomo ndani.

Baba alifanya vile kwasababu aliamini kabisa nitaenda kufeli kwasbb sikupenda kusoma kiujumla, sikuwa mtu wa kujiwek bize na msomo au elimu ya magharibi in general.

Basi nikamuitikia mzee na j3 mtihani ukaaza. Yule msimamizi alikuwa ni wakike, alikuwa anajipitisha karibu yangu ili angalau nimuite nimuombe msaada lakini sikufanya vile alivokuwa anatarajia.

Siku ya kwanza ikapita, madam alirudisha ripot kwa baba na baba aliniita ile usiku wa siku ile na akanifokea sana mixer ma singi. Nikamuahid nitafanya kama alivonielekeza, nikimjibu vile ili kumpa moyo na kumridhisha tu lakini sikupanga kabisa kufanya vile.

Mpka mtihani unaisha yule madam hakuna nikimuomba msaada na alirudisha ripot kwa Baba. Baba alinipigia sana nakumbuka na akanambia nikifeli hatapoteza pesa kunipeleka private.

Tukakakaa kusubr matokeo, baba hakuwa na vibe na matokeo alijua kabisa kashaaibika pale kijijini lakini mimi nilikuwa najua kabisa kutoboa kupo. Results zilikuja fresh na baba hakuamini kabisa na nakumbuka alinipa hongera ya mdomo tu, hakuwa na reinforcement ya rewards kabisa.

Siku moja tupo bustanini tunamwagilia nyanya na matikiti nakumbuka ilikuwa 2012 baada ya matokeo kutoka, Baba alinambia "Sasa nataka nikupeleke pre form one skul x na ukifanya mtihani wa kujiunga ukafaulu basi utasoma hiyo shule" shule hiyo ipo wilayani mjini huko nyumbani kwetu ni skul ya kikatoliki.

Habari zile kwa bro zilimletea kama wivu flan na baba ni kama alizingua lakini nilikuja kumuelewa baadae. Aliamua kunipeleka mimi na kumuacha bro aende skul ya kata kwasbb bro alikuwa anajituma katika masomo na alikuwa hahitaji skuls za vile ili afanye vzr kwahyo kwnagubile ilikuwa ani habari nzuri lakini nilikuja kuona kama vile baba ukaniona mimi mnyonge mwenye kuhitaji skul ambaya ni nzuri ili nifanye vizr.

Ilikuwa mwez wa 12 mwanzoni kabisa nakumbuka nilifungashiwa vinguo vyangu, mahindi, maharage na mchele tayar kwenda mjini kwa ajili ya pre form one. Nilikuwa naenda kukaa kwa sister wangu maana yeye alikuwa anaishi mjini.

See you...........
Mitihani ya taifa ya msingi hufanyika siku za Jumatano na Alhamisi. Wewe ulifanyaje Jumatatu?

Au mimi ndo sielewi majina ya siku? Hapo tu nimeishiwa hamu ya kusoma.
 
Tuendeleee................

Nilirudi home ilikuwa shangwe sana, bro angu alokuwa anajiandaa na kujiunga saint kayumba alifurahi pia japo alikuwa anaumia kwasbb alitamani pia kusoma skul ya private.

Nilianza form one, yule bro mtoto wa babamdogo alikuwa anakaa mtaani japo skuli ile ilikuwa ni wewe tu kuamua ukae bweni au utokee kitaa.
Baba aliamuanikae mtaani na yule bro katika room moja ili kusev gharama za bweni.

Nilikubali na maisha yakaanza. Kumbe yule bro alikuwa anavuta ganja, pombe anapiga na alikuwa mtoro sana skuli yani kifupi alikuwa muhuni.
Miez ya kwanza nilikuwa mwanafunzi nzuri tu, nawahi skul nashiriki usafi yani nilikuwa po kabisa.
Mambo yalianza kuharibika kwenye mwez wa 3 mwishoni. Nilianza kumfata sana yule bro na wenzake, bro alikuwa na wenzake wavuta bangi na wanywa pombe .
Huyu bro kichwani alikuwa njema alikuwa anajiweza darasani ukiachana na ujinga wake, japo hakuwa anaongoza class nafikiri kilichomuathiri ni ulevi wake uhuni.

Nilipojiunga rasmi na hili kundi la bro nilishuka kimasomo kwa kiasi ya 4G. Nilianza Kuban suruali zangu zikawa modo sana, nilianza kugomea na kuwakimbia walikuwa hadharani, nilianza kuruka uzio wa skul na kutokomea geto muda wa masomo.

Kuna siku tulikuwa hatuna kitu geto yani vyakula vimekata, ilikuwa ni j4 jioni tukakumbuka j5 ni siku ya nyama skul n Huwa inaandaliwa jioni then asubuhi inakatwakatwa na kuanza kupokea.

Siku bro na wenzake walipanga twende skul usiku tukaiibie ile nyama ili tuje tuliishi nayo magetoni.
Tulikubaliana tukaenda skul, tuliruka fensi tukawatafuta tukaingia ndani then tukaenda mbali na jiko kama 1.5km tukachoma moto ili walinzi wote waende kule sisi tupate nafas ya kuioiga ile nyama.

Tulifanikisha na walinzi kweli walikumbilia kule kuzima moto tukachukua nyama yote ilikuwa ni paja kubwa la ng'ombe.
Kesho yake mchana skul palipikwa maharage badala ya nyama kama ratiba ulivokuwa inasema na walitangaza nyama imeibiwa katika mazingira ya uzembe wa walinzi. Wanafunzi walisonya sana na matusi juu.

Maisha yalisonga na skul ile wastani wa mwsho wa mwaka ili upande kidato ulikuwa ni 50 kwahyo nilikuwa najua kabisa mimi kwenda form2 nisingetoboa.
Mpka mwez wa tisa bado nilikuwa mwanafunzi mtukutu sana sana.

Mwez wa 9 katikat tulikuwa tunatakiwa kulipa kod na pesa ya kod alikuwa anapewa bro, bro alipewa Ile pesa lakini aliitumika katika vilevi vyake na washkaji kwasabb mimi nilikuwa mhuni ila sikuwahi kutumia kilev chchte mpka hii leo.

Nilishangaa bro kutoweka ghafla pale magetoni akawa anaishi mtaa mwingine mbali kabisa na tulipokuwa tunakaa. Nilipokuwa nikimwambia kuhusu kod alikuwa ananizungusha tu hakutoa majibu ya kueleweka. Nikiwapigia cm home wanasema nimtafute bro ashapewa pesa ya kod.

Nakumbuka siku hiyo saa tano usiku, msimamizi wa vile vyumba alikuja kudai kodi nikishanga kwanini aliamua kuja usiku. Lakini nafikiri aliamua kuja usiku kwasababu alijua kabisa ni lazima angetukuta. Jamaa nakumbuka jina lake ni Hamad.

Hamad alikuja kafyum sana akanambia nimpe pesa la sivyo nihamie usiku uleule. Majirani walimsihi asifanye vile lakini aligoma, ilikuwa ishafika saa6 kasoro jamaa alianza kunitolea vitu nje skuamini chumba mpka kikabak kitupu akapiga kufuri lake akasepa.

Nashukuru kuna bro alikuwa pia anasoma skul hiyo hiyo huyu alikuwa mbele yangu madarasa kama ma3 hvi huyu bro anaitwa Daniel. Bro Daniel alinipa hifadhi na akanambia nisihame mpka tutakapo maliza ule mwaka wa masomo ambapo yeye alikuwa anamalizia form4 mda huo kimi nipo form1.

See you..........
 
Mitihani ya taifa ya msingi hufanyika siku za Jumatano na Alhamisi. Wewe ulifanyaje Jumatatu?

Au mimi ndo sielewi majina ya siku? Hapo tu nimeishiwa hamu ya kusoma.
Nimekumbuka mkuu ni j5 na alhamis, ni miaka mingi and kwa experience ya olevel mpka chuo mitihani mingi huanza j3
 
Back
Top Bottom