Kigugumiza
JF-Expert Member
- Mar 7, 2022
- 508
- 687
Hapana wanakuwa wananuka mikojo na kinyesi,sababu ukikojoa tu inabidi uoshe tupu yako ya mbele na hata unapojamba,inabidi uoshe tupu yako ya nyumaIle harufu ni wengi wanakuwa hawajanawa vizuri mikono. Wamepakapaka tu vimaji na sabuni.
Kweli mjini mbali,hujui maana ya TUPU!tupu ndio nn
Comment kama hizi zinanipa taabu sana single boy usiku huuKweli usafi ni utamaduni, kwa hiyo hata unapooga mtumia tishu huko mstari wa ikweta mko haupiti sababu ya kuogopa uchafu?
Bustani tutapata wapi watu wengine tunaishi store 😂😂😂😂Tuwe na vibustani vya yale majani😀😀
DuuuhHapana wanakuwa wananuka mikojo na kinyesi,sababu ukikojoa tu inabidi uoshe tupu yako ya mbele na hata unapojamba,inabidi uoshe tupu yako ya nyuma
Watu wanachamba kwa maji toka enzi za yesu na hawakuwa na UTI Wala vidonda vya tumboNilikuwa nawaza peke yangu kumbe na wewe mkuu umeliona hili. Subiri wasomi waje na hoja zao.
Kwani si tunaoga asubuhi na jioni jamaniaah na joto hili la dar unajitawazia tissue uanze kunuka tu kama huna marinda bana
Aiseeh nimecheka😂😂😂tissue sio tatizo .
tatizo ni kivuzi mk*Ndu. kinabaki na cheji
Et jamani watu wanachambia maji tangu nchi haijapata uhuruWatu wanachamba kwa maji toka enzi za yesu na hawakuwa na UTI Wala vidonda vya tumbo
Toto la juzi Hilo,yaliyozaliwa 1998 kuja mbele mapumbavu Sana,hayafikiriEt jamani watu wanachambia maji tangu nchi haijapata uhuru
Afu huyo anataka kusemaje [emoji23][emoji23]
Wakati watu tuko hapa tangu askari anavaa kapturaToto la juzi Hilo,yaliyozaliwa 1998 kuja mbele mapumbavu Sana,hayafikiri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo ni mnapenda kunyakunya kila sehemu...
Kama ni dharura, hakikisha unatumia, karatasi au toilet paper halafu tumia maji ....sio unapiga misele na bahasha ya kaki hujia matumizi yake ya dharura....
Zaidi ya hapo, bana mavi yako kama mwendazake alivyosema ukanyee nyumbani na kuoga kabisa....
Ndio tupu.tupu ndio nn
Kwani mimi kamusi?Kweli mjini mbali,hujui maana ya TUPU!
Yanaambukizwaje?Ahsanteni kwa kumpa muongozo.
Kama hayo magonjwa yangekuwa yanaambulizwa namna hiyo ningekuwa nishaambukizwa zamani sana.
Enzi gani za Yesu watu walikuwa wanachamba kwa maji? Ishu ya kutumia maji ni ya juzijuzi tu kutoka kwa wahindi.Watu wanachamba kwa maji toka enzi za yesu na hawakuwa na UTI Wala vidonda vya tumbo