Kuchamba kwa kutumia maji kunachangia sana kuenea kwa magonjwa

Kuchamba kwa kutumia maji kunachangia sana kuenea kwa magonjwa

Hili suala la ujio wa vyoo vya maji ni hatari sana kwa Afya za watz. Kunasababisha magonjwa mengi sana. Elimu itolewe.

1.UTI: UTI nyingi husababiswa na kuhamisha wadudu wa kwenye kinyesi kuwapeleka njia ya mkojo. Wanawake ni wahanga sana. Ni kazi kwao kuepuka hili hasa wanapotumia maji.

2. Vidonda vya tumbo. Siku hizi mijini kumejaa wagonjwa wa vidonda vya tumbo. Hapa ni waandaaji wa chakula wasiojisafisha vizuri ndiyo husambaza. Vidonda vya tumbo ni ugonjwa wa watu wachafu na wa aibu. Huko vijijini ambako watu wanafuata desturi za muafika hili tatizo siyo kubwa.

3. Typhoid, Amiba nk nk. Kama vidonda vya tumbo. Mtu hajajisafisha fresh halafu anaenda kukata kachumbari nk. Ni kusambaza magonjwa ambayo zamani ilikuwa nadra sana. Tena serikali iangalie sana hili suala la kachumbari na chachandu. Vidonda vya tumbo, typhoid, kuharisha na magonjwa mengine ya kichafu huanzia hapa.

Ni bora turudi kwenye desturi zetu. Haya mambo ya kuigaiga ni hatari.
 
Hili suala la ujio wa vyoo vya maji ni hatari sana kwa Afya za watz. Kunasababisha magonjwa mengi sana. Elimu itolewe.

1.UTI: UTI nyingi husababiswa na kuhamisha wadudu wa kwenye kinyesi kuwapeleka njia ya mkojo. Wanawake ni wahanga sana. Ni kazi kwao kuepuka hili hasa wanapotumia maji.

2. Vidonda vya tumbo. Siku hizi mijini kumejaa wagonjwa wa vidonda vya tumbo. Hapa ni waandaaji wa chakula wasiojisafisha vizuri ndiyo husambaza. Vidonda vya tumbo ni ugonjwa wa watu wachafu na wa aibu. Huko vijijini ambako watu wanafuata desturi za muafika hili tatizo siyo kubwa.

3. Typhoid, Amiba nk nk. Kama vidonda vya tumbo. Mtu hajajisafisha fresh halafu anaenda kukata kachumbari nk. Ni kusambaza magonjwa ambayo zamani ilikuwa nadra sana. Tena serikali iangalie sana hili suala la kachumbari na chachandu. Vidonda vya tumbo, typhoid, kuharisha na magonjwa mengine ya kichafu huanzia hapa.

Ni bora turudi kwenye desturi zetu. Haya mambo ya kuigaiga ni hatari.
ahahahaaaaa!!!,usiniambie"kwa ivo papaa mukulu weye unachambia nyasi nini!!!!.......anyway,sasa tusipochambia maji si tutanuka mbolea jamaa!!!!!
 
Hili suala la ujio wa vyoo vya maji ni hatari sana kwa Afya za watz. Kunasababisha magonjwa mengi sana. Elimu itolewe.

1.UTI: UTI nyingi husababiswa na kuhamisha wadudu wa kwenye kinyesi kuwapeleka njia ya mkojo. Wanawake ni wahanga sana. Ni kazi kwao kuepuka hili hasa wanapotumia maji.

2. Vidonda vya tumbo. Siku hizi mijini kumejaa wagonjwa wa vidonda vya tumbo. Hapa ni waandaaji wa chakula wasiojisafisha vizuri ndiyo husambaza. Vidonda vya tumbo ni ugonjwa wa watu wachafu na wa aibu. Huko vijijini ambako watu wanafuata desturi za muafika hili tatizo siyo kubwa.

3. Typhoid, Amiba nk nk. Kama vidonda vya tumbo. Mtu hajajisafisha fresh halafu anaenda kukata kachumbari nk. Ni kusambaza magonjwa ambayo zamani ilikuwa nadra sana. Tena serikali iangalie sana hili suala la kachumbari na chachandu. Vidonda vya tumbo, typhoid, kuharisha na magonjwa mengine ya kichafu huanzia hapa.

Ni bora turudi kwenye desturi zetu. Haya mambo ya kuigaiga ni hatari.
babu tunapata supu hapa acha mambo yako kwanza !!
 
UTI ni ugonjwa wa aibu haifai hata kumwambia mtu utakuta mdada akipata uti full matangazo,,huo ugonjwa unatokana nakutojisafisha vizuri umeanzia kujisafisha nyuma ukahamia mbele baada yakuanzia mbele kwenda nyuma nakukaa na pedi muda mrefu,,sawa na kuharisha tu,ukiharisha jua ulikula mavi!!!
 
UTI ni ugonjwa wa aibu haifai hata kumwambia mtu utakuta mdada akipata uti full matangazo,,huo ugonjwa unatokana nakutojisafisha vizuri umeanzia kujisafisha nyuma ukahamia mbele baada yakuanzia mbele kwenda nyuma nakukaa na pedi muda mrefu,,sawa na kuharisha tu,ukiharisha jua ulikula mavi!!!
Na vidonda vya tumbo. Wengine wanafikiri ni sifa kuwa na vidonda vya tumbo.
 
Sasa ww unachamba kuanzia nyuma kwenda mbele utakosa UTI kweli
 
Acha kuturudisha kwenye ujima wakujipakaza mavi.Kama hujui kujisafisha ni wewe.Mwishowe utatuambia tusioge kwasababu bado ni maji hayo hayo yatakayotumika.
 
Hapana anataka wa mjini msugue makalio chini kwenye mchanga (kuswesweta [emoji3][emoji3] wenye kabila lao watanielewa)
😀😀 zamani sana around 96 tulikuwa tuna swesweta koko beach sikuizi haiwezekani tena mkuu mambo yamekuwa mengi.
 
Mimi nina mwaka wa tatu huu situmii maji

Maji nayatumia kuoga ,na kunywa tena sio kila siku
 
Wewe Unataka Kuchambwa humu!!! mbona wenzio wa Ukanda Huo washabadilika,We Umechelewa wapi??
 
Wasomi??? Angalau wasomi.Kuna wale wa dini ya kiarabu.
Tayari ushaingiza udini ewe mgalatia.

Waarabu=ustaarabu

Waarabu ndio wameleta ustaarabu huku, wewe mmatumbi ulikua hujui hata kujisafisha kutumia maji, leo hii umejua kutumia maji na kunawa mikono + sabuni halafu unawasema waarabu/waislamu!!



Eti wasomi 😁 wasomi gani hao hata kujisafisha hawajui badala yake wanatumia makaratasi kujifutia, sikiliza mkuu, kusoma sio kustaarabika, unaweza ukawa msomi na madegree 1000 lakini ukawa bado mjinga/sio mstaarabu.

All in All Uislamu umemaliza kila kitu.
 
Nimekula kitu cha nguna halafu nitumie tishu!? na ninavyopenda kula nguna gumu sasa tishu itaweza kutoa uchafu wote kweli!
 
Back
Top Bottom