Kuchamba kwa kutumia maji kunachangia sana kuenea kwa magonjwa

Kuchamba kwa kutumia maji kunachangia sana kuenea kwa magonjwa

Afadhali
Tatizo mwenyewe wewe mreta maada hujui kuchamba,ngoja tukufundishe leo,Unapochamba utaosha kwanza tupu yako ya mbele halafu ifuate tupu ya nyuma,pili tunachamba kwa kutumia kidole kimoja cha mkono wa kushoto sio kiganja cha mkono,na baada ya kuchamba inabidi unawe maji mikono yote
Afadhali umempa somo. 😄😃
 
Inawezekana unaishi na magonjwa mengi bila kujijua.
Kama yapi ambayo yananifanya niendelee kuwa hai hadi sasa. Nimeanza kuchambia maji zaidi ya muongo mmoja ulipita.
 
Hili suala la ujio wa vyoo vya maji ni hatari sana kwa Afya za watz. Kunasababisha magonjwa mengi sana. Elimu itolewe.

1.UTI: UTI nyingi husababiswa na kuhamisha wadudu wa kwenye kinyesi kuwapeleka njia ya mkojo. Wanawake ni wahanga sana. Ni kazi kwao kuepuka hili hasa wanapotumia maji.

2. Vidonda vya tumbo. Siku hizi mijini kumejaa wagonjwa wa vidonda vya tumbo. Hapa ni waandaaji wa chakula wasiojisafisha vizuri ndiyo husambaza. Vidonda vya tumbo ni ugonjwa wa watu wachafu na wa aibu. Huko vijijini ambako watu wanafuata desturi za muafika hili tatizo siyo kubwa.

3. Typhoid, Amiba nk nk. Kama vidonda vya tumbo. Mtu hajajisafisha fresh halafu anaenda kukata kachumbari nk. Ni kusambaza magonjwa ambayo zamani ilikuwa nadra sana. Tena serikali iangalie sana hili suala la kachumbari na chachandu. Vidonda vya tumbo, typhoid, kuharisha na magonjwa mengine ya kichafu huanzia hapa.

Ni bora turudi kwenye desturi zetu. Haya mambo ya kuigaiga ni hatari.
Turudi tena kwenye zama za vibunzi vya mahindi??
Hakuna smooth altenative?
 
Hili suala la ujio wa vyoo vya maji ni hatari sana kwa Afya za watz. Kunasababisha magonjwa mengi sana. Elimu itolewe.

1.UTI: UTI nyingi husababiswa na kuhamisha wadudu wa kwenye kinyesi kuwapeleka njia ya mkojo. Wanawake ni wahanga sana. Ni kazi kwao kuepuka hili hasa wanapotumia maji.

2. Vidonda vya tumbo. Siku hizi mijini kumejaa wagonjwa wa vidonda vya tumbo. Hapa ni waandaaji wa chakula wasiojisafisha vizuri ndiyo husambaza. Vidonda vya tumbo ni ugonjwa wa watu wachafu na wa aibu. Huko vijijini ambako watu wanafuata desturi za muafika hili tatizo siyo kubwa.

3. Typhoid, Amiba nk nk. Kama vidonda vya tumbo. Mtu hajajisafisha fresh halafu anaenda kukata kachumbari nk. Ni kusambaza magonjwa ambayo zamani ilikuwa nadra sana. Tena serikali iangalie sana hili suala la kachumbari na chachandu. Vidonda vya tumbo, typhoid, kuharisha na magonjwa mengine ya kichafu huanzia hapa.

Ni bora turudi kwenye desturi zetu. Haya mambo ya kuigaiga ni hatari.
Watu watumie tishu
 
You're not serious man,not serious at all.

How many times can a man clean his pen*** after peeing when he is not at home.

By the way cleaning pen**** with water is not an African tradition at all.

offcourse, might be......but its the good culture to comply with..... we normally take the good thing, otherwise you have to prove is not right thing.....

Please prove to me, cleaning the cork with water is not right and peeing without cleaning is right....
 
Hapo mle mada naona tatizo ni uelewa na uchafu wa mtu binafsi na haliko kwenye kutumia maji sababu hata hizo tissue wako pia wasioelewa matumizi yake.
 
Nimeishi sehemu nyingi, 99.99999% ya watz hawanawi mikono wakitoka chooni! Hiyo 0.00001% inayobaki nadhani ni mimi mwenyewe pekee! Elimu kubwa sana inahitajika.
 
Watu wanachamba kwa maji toka enzi za yesu na hawakuwa na UTI Wala vidonda vya tumbo
Muhammad akaanzisha kuchamba kwa mawe

Abu Huraira: Nilimfuata Mtume wakati alikuwa anaenda kujisaidia. Alikuwa haangalii kushoto wala kulia. Kwa hivyo, nilipokaribia karibu naye aliniambia, "Nitafutie mawe ili nisafishie sehemu zangu za siri(au alisema kitu kinachofanana), na usilete mfupa au kipande cha dung." Basi nikaleta mawe katika kona ya vazi langu na kuziweka kando yake kisha nikamwacha. Alipomaliza (kutoka kusaidia) aliitumia mawe kujisafisha. (Sahih Bukhari 1: 4: 157)
 
Back
Top Bottom