makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Wote.Hii ni kwa wanawake tu au wanaume pia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote.Hii ni kwa wanawake tu au wanaume pia?
Achambie karatasi alipate wapi? Huwa wanainuka tu baada ya kujisaidia.Acha kuanzisha ukorofi. Wewe kama unachambia gunzi na makaratasi ni wewe.
Afadhali umempa somo. 😄😃Tatizo mwenyewe wewe mreta maada hujui kuchamba,ngoja tukufundishe leo,Unapochamba utaosha kwanza tupu yako ya mbele halafu ifuate tupu ya nyuma,pili tunachamba kwa kutumia kidole kimoja cha mkono wa kushoto sio kiganja cha mkono,na baada ya kuchamba inabidi unawe maji mikono yote
Kama yapi ambayo yananifanya niendelee kuwa hai hadi sasa. Nimeanza kuchambia maji zaidi ya muongo mmoja ulipita.Inawezekana unaishi na magonjwa mengi bila kujijua.
Turudi tena kwenye zama za vibunzi vya mahindi??Hili suala la ujio wa vyoo vya maji ni hatari sana kwa Afya za watz. Kunasababisha magonjwa mengi sana. Elimu itolewe.
1.UTI: UTI nyingi husababiswa na kuhamisha wadudu wa kwenye kinyesi kuwapeleka njia ya mkojo. Wanawake ni wahanga sana. Ni kazi kwao kuepuka hili hasa wanapotumia maji.
2. Vidonda vya tumbo. Siku hizi mijini kumejaa wagonjwa wa vidonda vya tumbo. Hapa ni waandaaji wa chakula wasiojisafisha vizuri ndiyo husambaza. Vidonda vya tumbo ni ugonjwa wa watu wachafu na wa aibu. Huko vijijini ambako watu wanafuata desturi za muafika hili tatizo siyo kubwa.
3. Typhoid, Amiba nk nk. Kama vidonda vya tumbo. Mtu hajajisafisha fresh halafu anaenda kukata kachumbari nk. Ni kusambaza magonjwa ambayo zamani ilikuwa nadra sana. Tena serikali iangalie sana hili suala la kachumbari na chachandu. Vidonda vya tumbo, typhoid, kuharisha na magonjwa mengine ya kichafu huanzia hapa.
Ni bora turudi kwenye desturi zetu. Haya mambo ya kuigaiga ni hatari.
Watu watumie tishuHili suala la ujio wa vyoo vya maji ni hatari sana kwa Afya za watz. Kunasababisha magonjwa mengi sana. Elimu itolewe.
1.UTI: UTI nyingi husababiswa na kuhamisha wadudu wa kwenye kinyesi kuwapeleka njia ya mkojo. Wanawake ni wahanga sana. Ni kazi kwao kuepuka hili hasa wanapotumia maji.
2. Vidonda vya tumbo. Siku hizi mijini kumejaa wagonjwa wa vidonda vya tumbo. Hapa ni waandaaji wa chakula wasiojisafisha vizuri ndiyo husambaza. Vidonda vya tumbo ni ugonjwa wa watu wachafu na wa aibu. Huko vijijini ambako watu wanafuata desturi za muafika hili tatizo siyo kubwa.
3. Typhoid, Amiba nk nk. Kama vidonda vya tumbo. Mtu hajajisafisha fresh halafu anaenda kukata kachumbari nk. Ni kusambaza magonjwa ambayo zamani ilikuwa nadra sana. Tena serikali iangalie sana hili suala la kachumbari na chachandu. Vidonda vya tumbo, typhoid, kuharisha na magonjwa mengine ya kichafu huanzia hapa.
Ni bora turudi kwenye desturi zetu. Haya mambo ya kuigaiga ni hatari.
Si bado na maji yatapita tu hasa wakati wa kuoga ?Watu watumie tishu
You're not serious man,not serious at all.
How many times can a man clean his pen*** after peeing when he is not at home.
By the way cleaning pen**** with water is not an African tradition at all.
Haimalizi ukokoToilet paper ndiyo njia salama. M* vi ni m*vi tu hata kama ni ya kwako, kushika uchafu huo moja kwa moja ni shida!!
🤣🤣🤣Sasa tutafanyaje mkuu, huku mjini magunzi utapata wapi.
Kamkun*du kanakauka balaaToilet paper ndiyo njia salama. M* vi ni m*vi tu hata kama ni ya kwako, kushika uchafu huo moja kwa moja ni shida!!
Huwa inakuaje?Kwa fecal oral route hoja yako ni dhaifu
Peptic ulcers disease haina mahusiano ya moja kwa moja na uchafuHuwa inakuaje
Muhammad akaanzisha kuchamba kwa maweWatu wanachamba kwa maji toka enzi za yesu na hawakuwa na UTI Wala vidonda vya tumbo