whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
kubana mavi kuna athari kiafyaTatizo ni mnapenda kunyakunya kila sehemu...
Kama ni dharura, hakikisha unatumia, karatasi au toilet paper halafu tumia maji ....sio unapiga misele na bahasha ya kaki hujia matumizi yake ya dharura....
Zaidi ya hapo, bana mavi yako kama mwendazake alivyosema ukanyee nyumbani na kuoga kabisa....