Kuchamba kwa kutumia maji kunachangia sana kuenea kwa magonjwa

Kuchamba kwa kutumia maji kunachangia sana kuenea kwa magonjwa

Wakati watu tuko hapa tangu askari anavaa kaptura
Halafu sijui anataka kutufundisha nini
Mavudhi!!!..usingesema kuchambua kwa maji kunaleta vidonda vya tumbo...mkoloni katukuta tunachamba kwa maji,nimeisikia uti 2007 tu hapo...vidonda vya tumbo vimeenea Tanzania 1997-99..kutokana na shida ya maji,siku hizi mnakulana denda Sana ndiyo mnaambukizana
 
Tatizo mwenyewe wewe mreta maada hujui kuchamba,ngoja tukufundishe leo,Unapochamba utaosha kwanza tupu yako ya mbele halafu ifuate tupu ya nyuma,pili tunachamba kwa kutumia kidole kimoja cha mkono wa kushoto sio kiganja cha mkono,na baada ya kuchamba inabidi unawe maji mikono yote
Sasa kidole kimoja utaweka je maji
 
Hili suala la ujio wa vyoo vya maji ni hatari sana kwa Afya za watz. Kunasababisha magonjwa mengi sana. Elimu itolewe.

1.UTI: UTI nyingi husababiswa na kuhamisha wadudu wa kwenye kinyesi kuwapeleka njia ya mkojo. Wanawake ni wahanga sana. Ni kazi kwao kuepuka hili hasa wanapotumia maji.

2. Vidonda vya tumbo. Siku hizi mijini kumejaa wagonjwa wa vidonda vya tumbo. Hapa ni waandaaji wa chakula wasiojisafisha vizuri ndiyo husambaza. Vidonda vya tumbo ni ugonjwa wa watu wachafu na wa aibu. Huko vijijini ambako watu wanafuata desturi za muafika hili tatizo siyo kubwa.

3. Typhoid, Amiba nk nk. Kama vidonda vya tumbo. Mtu hajajisafisha fresh halafu anaenda kukata kachumbari nk. Ni kusambaza magonjwa ambayo zamani ilikuwa nadra sana. Tena serikali iangalie sana hili suala la kachumbari na chachandu. Vidonda vya tumbo, typhoid, kuharisha na magonjwa mengine ya kichafu huanzia hapa.

Ni bora turudi kwenye desturi zetu. Haya mambo ya kuigaiga ni hatari.

Kwahiyo sisi ammbao hatutumii maji wala tissue mnatusaidiadje
 
sasa haya mambo ya kujisafisha kwa tissue sasa kwa waenda chumvini na wasaf8sha m8taro itakuwaje?!!!!
 
Tatizo mwenyewe wewe mreta maada hujui kuchamba,ngoja tukufundishe leo,Unapochamba utaosha kwanza tupu yako ya mbele halafu ifuate tupu ya nyuma,pili tunachamba kwa kutumia kidole kimoja cha mkono wa kushoto sio kiganja cha mkono,na baada ya kuchamba inabidi unawe maji mikono yote
[emoji106], Umesahau Tu Kulihusisha Neno Sabuni Kwenye Maelezo Yako Hapo Mwisho.
 
Mleta uzi umeongea vzr Sana nakuunga mkono elimu zaidi itolewe kwa jamii juu ya matumizi sahihi ya vyoo vya maji Ila umepotosha juu ya vidonda vya tumbo kwani sio muhanga wa ugonjwa huu ni mchafu au kala uchafu, unawafanya Watu wajione wanyonge kuumwa ugonjwa Huu wakati visababishi vya ugonjwa huu Ni vingi fikiria kuhusu uzalishaji kupita kiasi wa Tindikali tumboni? Usiwafanye Watu wajione wanyonge na aibu wkt sababu Ni nyingi
 
Mleta uzi umeongea vzr Sana nakuunga mkono elimu zaidi itolewe kwa jamii juu ya matumizi sahihi ya vyoo vya maji Ila umepotosha juu ya vidonda vya tumbo kwani sio muhanga wa ugonjwa huu ni mchafu au kala uchafu, unawafanya Watu wajione wanyonge kuumwa ugonjwa Huu wakati visababishi vya ugonjwa huu Ni vingi fikiria kuhusu uzalishaji kupita kiasi wa Tindikali tumboni? Usiwafanye Watu wajione wanyonge na aibu wkt sababu Ni nyingi
Zaidi ya asilimia 90 ya wagonjwa wa vidonda vya tumbo ni sababu ya H. pylori. Na bacteria huyu huenezwa kwa njia ya kinyesi.
 
Watu wafundishwe jinsi ya kunawa mikono vizuri kwa maji tiririka na sabuni,

Jinsi wanavyochamba waamue wenyewe kama ni kwa maji au karatasi.
 
Hii ni kwa wanawake tu au wanaume pia?
Anza tupu ya mbele, kisha ndio ufate nyuma, baada ya hapo nawa kwa sabuni, kisha kausha mikono vizuri.

Kujifuta na karatasi ni kujipakaza uchafu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu chukulia mfano kila unapoenda njooni unajifuta na tishu,unategemea uchafu wote utatoka?ndiyo maana gari au basi abiri wakishatoka kuchimba dawa hewa huwa inabadirika inakuwa nzito hii sababu wengi hawanawi wanabaki na mikojo pamoja na vinyesi
 
Inawezekana unaishi na magonjwa mengi bila kujijua.
Ahsanteni kwa kumpa muongozo.

Kama hayo magonjwa yangekuwa yanaambulizwa namna hiyo ningekuwa nishaambukizwa zamani sana.
 
Nakubaliana na wewe.

Wakati umefika tuanze kutumia mawe na kokoto.

Say no to water
 
Hili suala la ujio wa vyoo vya maji ni hatari sana kwa Afya za watz. Kunasababisha magonjwa mengi sana. Elimu itolewe.

1.UTI: UTI nyingi husababiswa na kuhamisha wadudu wa kwenye kinyesi kuwapeleka njia ya mkojo. Wanawake ni wahanga sana. Ni kazi kwao kuepuka hili hasa wanapotumia maji.

2. Vidonda vya tumbo. Siku hizi mijini kumejaa wagonjwa wa vidonda vya tumbo. Hapa ni waandaaji wa chakula wasiojisafisha vizuri ndiyo husambaza. Vidonda vya tumbo ni ugonjwa wa watu wachafu na wa aibu. Huko vijijini ambako watu wanafuata desturi za muafika hili tatizo siyo kubwa.

3. Typhoid, Amiba nk nk. Kama vidonda vya tumbo. Mtu hajajisafisha fresh halafu anaenda kukata kachumbari nk. Ni kusambaza magonjwa ambayo zamani ilikuwa nadra sana. Tena serikali iangalie sana hili suala la kachumbari na chachandu. Vidonda vya tumbo, typhoid, kuharisha na magonjwa mengine ya kichafu huanzia hapa.

Ni bora turudi kwenye desturi zetu. Haya mambo ya kuigaiga ni hatari.
Nilikuwa nawaza peke yangu kumbe na wewe mkuu umeliona hili. Subiri wasomi waje na hoja zao.
Tutumie tishu,ni buku jero tu Mangi. Ukimaliza nawa mikono kwa kutumia maji safi tililika pamoja na sabuni
Wasomi??? Angalau wasomi.Kuna wale wa dini ya kiarabu.
Hatimaye wazoefu wa kujisaidia vichakani mmepata vya kusapoti tabia zenu
 
Back
Top Bottom