spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Kwa kua umeshindwa kuelewa nilikua naongelea associated factors/ risk factors za PUD basi nakuachia hapo nkiianza seems this topic isn't for youHPylori wanaambukizwaje? Na kukaa na njaa au msongo wa mawazo havisababishi peptic ulcers.
Ungerudi darasani kijana. Msongo wa mawazo haujawahi kuwa risk factor ya vidonda vya tumbo. Ni uelewa mbaya wa neno stress.Kwa kua umeshindwa kuelewa nilikua naongelea associated factors/ risk factors za PUD basi nakuachia hapo nkiianza seems this topic isn't for you
Na ukiosha kwa maji drop za ndani zinatoka?shaking your cork disparse some dropes to your body, and clothes.... so, no any escape of dirties to you....
I told you to mention any effect of cleaning the cork with water.....myself, i copied that because its safe and prove for proper cleaning....
I tried so many times shaking my cork but i use to see some dropes disparsed into me, when you tried to open and squeze the hole of your cork after shaking you will see some remained drops...which will come and stick to your clothes/boxer...
Ukiwa msafi ,unachamba kwa kutumia mikono.Unajisafisha vizuri Sana.Tena ndani ya maji unayotumia weka kwanza sabuni ya unga.Jisafishe Kabisa.Ukimaliza tumia maji na sabuni ,kunawa mikono yako yote miwili.Kama ni choo Cha kushea ,ukitoka nje.Nawa Tena na sabuni.Ukitumia tissue bado utakuwa na uchafu kwenye utupu wako.Hili suala la ujio wa vyoo vya maji ni hatari sana kwa Afya za watz. Kunasababisha magonjwa mengi sana. Elimu itolewe.
1.UTI: UTI nyingi husababiswa na kuhamisha wadudu wa kwenye kinyesi kuwapeleka njia ya mkojo. Wanawake ni wahanga sana. Ni kazi kwao kuepuka hili hasa wanapotumia maji.
2. Vidonda vya tumbo. Siku hizi mijini kumejaa wagonjwa wa vidonda vya tumbo. Hapa ni waandaaji wa chakula wasiojisafisha vizuri ndiyo husambaza. Vidonda vya tumbo ni ugonjwa wa watu wachafu na wa aibu. Huko vijijini ambako watu wanafuata desturi za muafika hili tatizo siyo kubwa.
3. Typhoid, Amiba nk nk. Kama vidonda vya tumbo. Mtu hajajisafisha fresh halafu anaenda kukata kachumbari nk. Ni kusambaza magonjwa ambayo zamani ilikuwa nadra sana. Tena serikali iangalie sana hili suala la kachumbari na chachandu. Vidonda vya tumbo, typhoid, kuharisha na magonjwa mengine ya kichafu huanzia hapa.
Ni bora turudi kwenye desturi zetu. Haya mambo ya kuigaiga ni hatari.
wnye makalio makubwa inabidi watumie mwiko kuchamba jamaa!! au chepe,na makalio madogo watumie vijiko vya chai au?Hasa wenye makalio makubwa,
huu ndio ukweli.........tissue sio tatizo .
tatizo ni kivuzi mk*Ndu. kinabaki na cheji
Naongezea ,ukitoka chooni kabla ya kushika kitu chochote unapaswa unawe kwa kutumia maji na sabuni nyingi tu kama kama ile kujihami na Corona!!Tatizo mwenyewe wewe mreta maada hujui kuchamba,ngoja tukufundishe leo,Unapochamba utaosha kwanza tupu yako ya mbele halafu ifuate tupu ya nyuma,pili tunachamba kwa kutumia kidole kimoja cha mkono wa kushoto sio kiganja cha mkono,na baada ya kuchamba inabidi unawe maji mikono yote
Hapo umebwabwaja au umeshauri?Hili suala la ujio wa vyoo vya maji ni hatari sana kwa Afya za watz. Kunasababisha magonjwa mengi sana. Elimu itolewe.
1.UTI: UTI nyingi husababiswa na kuhamisha wadudu wa kwenye kinyesi kuwapeleka njia ya mkojo. Wanawake ni wahanga sana. Ni kazi kwao kuepuka hili hasa wanapotumia maji.
2. Vidonda vya tumbo. Siku hizi mijini kumejaa wagonjwa wa vidonda vya tumbo. Hapa ni waandaaji wa chakula wasiojisafisha vizuri ndiyo husambaza. Vidonda vya tumbo ni ugonjwa wa watu wachafu na wa aibu. Huko vijijini ambako watu wanafuata desturi za muafika hili tatizo siyo kubwa.
3. Typhoid, Amiba nk nk. Kama vidonda vya tumbo. Mtu hajajisafisha fresh halafu anaenda kukata kachumbari nk. Ni kusambaza magonjwa ambayo zamani ilikuwa nadra sana. Tena serikali iangalie sana hili suala la kachumbari na chachandu. Vidonda vya tumbo, typhoid, kuharisha na magonjwa mengine ya kichafu huanzia hapa.
Ni bora turudi kwenye desturi zetu. Haya mambo ya kuigaiga ni hatari.
Yaani kuchamba kwa maji kuhamishe wadudu kutoka kwenye mavi kwenda njia ya haja ndogo kuliko kuchamba kwa makaratasi...wazazi wako walitupa ada.Hili suala la ujio wa vyoo vya maji ni hatari sana kwa Afya za watz. Kunasababisha magonjwa mengi sana. Elimu itolewe.
1.UTI: UTI nyingi husababiswa na kuhamisha wadudu wa kwenye kinyesi kuwapeleka njia ya mkojo. Wanawake ni wahanga sana. Ni kazi kwao kuepuka hili hasa wanapotumia maji.
2. Vidonda vya tumbo. Siku hizi mijini kumejaa wagonjwa wa vidonda vya tumbo. Hapa ni waandaaji wa chakula wasiojisafisha vizuri ndiyo husambaza. Vidonda vya tumbo ni ugonjwa wa watu wachafu na wa aibu. Huko vijijini ambako watu wanafuata desturi za muafika hili tatizo siyo kubwa.
3. Typhoid, Amiba nk nk. Kama vidonda vya tumbo. Mtu hajajisafisha fresh halafu anaenda kukata kachumbari nk. Ni kusambaza magonjwa ambayo zamani ilikuwa nadra sana. Tena serikali iangalie sana hili suala la kachumbari na chachandu. Vidonda vya tumbo, typhoid, kuharisha na magonjwa mengine ya kichafu huanzia hapa.
Ni bora turudi kwenye desturi zetu. Haya mambo ya kuigaiga ni hatari.