Kuchelewa kuoa haimaanishi utaoa mtu sahihi. Vijana fungeni ndoa mapema hata mkishindwana mnaanza upya

Hata huyo wa 35 awez kuachwa?
 
Nilisikia ukioa huo umri wa chini ya miaka 25 ni sawa na kuondoka club saa tano usiku
 
Aisee,kuoa siku hizi ni kamari ngumu sana,hata yule anayecheza Aviator kwa stake ya 10 million ana nafuu kuliko yule anayejaribu kuoa,this generation is wicked!
 
Aoe wa Rika lake na sio hawa kausha damu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…