Kuchelewa kuoa na kuwa na familia japo nimejipanga kiuchumi kwa 70%, mnahisi mimi mpumbavu?

Kama ulivyonitupa Baki ivoivo....nilisema nijitolee posa bado ukakachaπŸ™„
 
At anaemwoa ameliwa sana na bado analiwa
Mi naona kwenye hio picha mwanaume anaonekana ni mtu mwenye tamaa au anaechezea wanawake. And wachache ndo huiona thamani yake na kumuoa

Afu heri tu ichezewe iwe kubwa,mtoto atoke bila kujibana maana na ikule hospitali wanaipanua and pia akienda kujifungua kawaida inakua kubwa asa atakua kafaidika nini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ itumiwe tu ila kiusahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…