Kuchelewa kwa chanjo ya Corona Afrika

Kuchelewa kwa chanjo ya Corona Afrika

Wadau, hii habari huenda ikawa sio nzuri kabisaa hasa kwa taifa kama la Kenya, Rwanda ambayo kila kunapokucha wanashindana kuandikisha visa vipya.

Sasa kufuatia kuibuliwa kwa chanjo ya Covid, wataalm wanadai bara la Afrika litakuwa la mwisho kupatiwa chanjo hiyo.

Hapa wazungu wamewa-betray Kenya, na Rwanda, lakini pia inatoa somo ya umuhimu wa Africa kwa pamoja kuwa na kituo cha magonjwa na chanjo chenye watalaam.
Kwa hiyo Guinea pigs wa kaskazini hawatapata wa Kwanza mkuu?😜😜
 
IMG_20201213_140329.jpg
 
Samahani kwa kuweka neno upumbavu, sijapata neno mbadala wake.
Hizi vaccine Wazungu huzitumia kwenye mission maalumu. Hata mkakati wa kumpata Osama bin Laden ulifanikiwa kupitia hizi chanjo.

Afrika tukubali hizi chanjo kwa masharti maalumu, kama vile;

1. Chanjo ianze kutolewa kwenye mataifa yaliyoathirika zaidi na Corona.

2 .Wakubali wataalamu wetu wa ndani kwenda kuichunguza chanjo itakayotolewa huko Ulaya, Mashariki ya kati na Marekani, je ni ileile tutakayoletewa sisi?

3. Hatutaki msaada wa chanjo yao. Kama ni ya muhimu tuinunue kwa fedha zetu.

4. Watueleze kwanini chanjo ya UKIMWI au tiba yao haijapatikana mpaka leo?, na kwanini UKIMWI kwa asilimia kubwa unamuua Mwafrika tu?
 
Dunia ina wenyewe, wameharibu mbegu zetu za mazao sasa wanaleta chanjo hiyo
 
Hiyo ni zaidi chanzo, mnakwenda kuondolewa vizazi wote, mnamchukia D.Trump lkn siku mtakuja kumkumbua, aliyekuwa anazuia globalist ni D.Trump peke yake sasa anaondoka kazi kwenu, lengo la globalist ni kubakiza watu milioni 500 tu hapa Duniani, sasa hivi tuko > bilioni 7, wengine wote watauliwa au watakuwa tasa na ndo maana hi chanjo ni lazima na siyo hiari kama hutaki hakuna kusafiri tena, hakuna kazi tena hautaruhusiwa kufanya chochote mpaka uonyeshe kadi ya kama umechanjwa, ...
 
Hiyo ni zaidi chanzo, mnakwenda kuondolewa vizazi wote, mnamchukia D.Trump lkn siku mtakuja kumkumbua, aliyekuwa anazuia globalist ni D.Trump peke yake sasa anaondoka kazi kwenu, lengo la globalist ni kubakiza watu milioni 500 tu hapa Duniani, sasa hivi tuko > bilioni 7, wengine wote watauliwa au watakuwa tasa na ndo maana hi chanjo ni lazima na siyo hiari kama hutaki hakuna kusafiri tena, hakuna kazi tena hautaruhusiwa kufanya chochote mpaka uonyeshe kadi ya kama umechanjwa, ...
Hiyo hatari sana
 
Samahani kwa kuweka neno upumbavu, sijapata neno mbadala wake.
Hizi vaccine Wazungu huzitumia kwenye mission maalumu. Hata mkakati wa kumpata Osama bin Laden ulifanikiwa kupitia hizi chanjo.

Afrika tukubali hizi chanjo kwa masharti maalumu, kama vile;
1. Chanjo ianze kutolewa kwenye mataifa yaliyoathirika zaidi na Corona.
2.Wakubali wataalamu wetu wa ndani kwenda kuichunguza chanjo itakayotolewa huko Ulaya, Mashariki ya kati na Marekani, je ni ileile tutakayoletewa sisi?
3. Hatutaki msaada wa chanjo yao. Kama ni ya muhimu tuinunue kwa fedha zetu.
4.Watueleze kwanini chanjo ya UKIMWI au tiba yao haijapatikana mpaka leo?, na kwanini UKIMWI kwa asilimia kubwa unamuua Mwafrika tu?
Mkuu hulazimishwi kuchanjwa vaccine.
Kufa nako ni hiari.
 
Mkuu mbona povu?
Afrika ni bara huru, lina university za kutosha, kila mwaka linatoa watalaam wa kila fani, inakuwaje uanze kulalalamikia chanjo iliyotafitiwa kwenye bara lingine?
Wewe na wasomi wenzako mliopo barani Afrika mje na chanjo yenu mbadala yenye nia njema na watu wa bara hili.

Vinginevyo hii tabia yenu ya kuona kila kinachotoka barani Ulaya kina nia ovu kwa wafrika ni ujinga.
Unalalamikia chanjo ya COVID 19 wakati mamilioni ya watoto wa bara hili wameokolewa na watu hao hao kutoka kwenye janga la Surua, Pepopunda, Kifaduro nk.
Msituchoshe.
 
Mkuu mbona povu?
Afrika ni bara huru, lina university za kutosha, kila mwaka linatoa watalaam wa kila fani, inakuwaje uanze kulalalamikia chanjo iliyotafitiwa kwenye bara lingine?
Wewe na wasomi wenzako mliopo barani Afrika mje na chanjo yenu mbadala yenye nia njema na watu wa bara hili.

Vinginevyo hii tabia yenu ya kuona kila kinachotoka barani Ulaya kina nia ovu kwa wafrika ni ujinga.
Unalalamikia chanjo ya COVID 19 wakati mamilioni ya watoto wa bara hili wameokolewa na watu hao hao kutoka kwenye janga la Surua, Pepopunda, Kifaduro nk.
Msituchoshe.
Unakataa chanjo ya covid huku ukihoji iko wapi ya ukimwi unaoua waafrika miaka mingi. Na usishangae hoja hii inaletwa na msomi, pengine hata mwanasayansi kana kwamba ni hoja ya mtu enlightened kuliko wengine.
 
Samahani kwa kuweka neno upumbavu, sijapata neno mbadala wake.
Hizi vaccine Wazungu huzitumia kwenye mission maalumu. Hata mkakati wa kumpata Osama bin Laden ulifanikiwa kupitia hizi chanjo.

Afrika tukubali hizi chanjo kwa masharti maalumu, kama vile;
1. Chanjo ianze kutolewa kwenye mataifa yaliyoathirika zaidi na Corona.
2.Wakubali wataalamu wetu wa ndani kwenda kuichunguza chanjo itakayotolewa huko Ulaya, Mashariki ya kati na Marekani, je ni ileile tutakayoletewa sisi?
3. Hatutaki msaada wa chanjo yao. Kama ni ya muhimu tuinunue kwa fedha zetu.
4.Watueleze kwanini chanjo ya UKIMWI au tiba yao haijapatikana mpaka leo?, na kwanini UKIMWI kwa asilimia kubwa unamuua Mwafrika tu?
Suala la kufa kwa UKIMWI asilimia kubwa ni hiari ya mtu 5% ajali.
Huna uwezo wa kununua chanjo,huna,huna.Madawa mengi tunatumia ni third class, wazunguu hawayatumii.Suala kubwa Fanya tafiti, vumbua dawa zako sio kubeza wanaotafiti na kuvumbua.Be rich nunua madawa ya kiwango.Waafrika tupo nyuma tu, hakuna hata makampuni ya tafiti za madawa bali tuna taasisi za serikali tu.Wazungu wanawekeza pesa nyingi ktk tafiti sisi je?
Usisikilize propaganda za viongozi kubeza dawa za wazungu huku kika kitu wakiwategemea.Afrika hatu import uchawi tu hii ndio tulitafiti tukaweza.Nguo,mashine, madawa,elimu nk vyote tuna import usijidanganye.
 
Mna hela za kununua hiyo chanjo kwanza. Au wamesema wanawapa bure? US na ulaya washaweka oda za chanjo almost zote zinazozalishwa kwa ajili yao na watu wao. Hadi zifike Africa sijui lini au tupate zile za China
 
Hiyo ni zaidi chanzo, mnakwenda kuondolewa vizazi wote, mnamchukia D.Trump lkn siku mtakuja kumkumbua, aliyekuwa anazuia globalist ni D.Trump peke yake sasa anaondoka kazi kwenu, lengo la globalist ni kubakiza watu milioni 500 tu hapa Duniani, sasa hivi tuko > bilioni 7, wengine wote watauliwa au watakuwa tasa na ndo maana hi chanjo ni lazima na siyo hiari kama hutaki hakuna kusafiri tena, hakuna kazi tena hautaruhusiwa kufanya chochote mpaka uonyeshe kadi ya kama umechanjwa, ...
Mlileta hadithi za Freemason,Illuminati 666 sasa mmehamia kwenye chanjo.Gwajima anawadanganya sana.Kwani watanzania wangapi wanasafiri kwenda ulaya mpaka chanjo iwe tishio.Watanzania waliojiriwa hawafiki hata laki 50000, je mkulima watamzuia kulima mazao yake,mfugaji huko porini vipi kubusu wahadzabe na bushmen.
Watakapokuwa wanaua wao hawana ndugu au wao na ndugu zao nfio watabaki.J e wanaua watu wapate mini huku nao kifo kinawasubiri.
Mambo ya biblia au Qurani yasitumike kujumuisha watu wote maana wengine hawaamini juu hizo dini. Mi ntakuwa wakwanza nione navokuwa tasa.
Chanjo za mashuleni mlivumisha kuwa zina hasi watoto cha ajabu wanazaliana hata kabla ya chanjo.
Acheni uzushi wa kishamba,sio kila mtu mjinga humu jf.
 
Back
Top Bottom