Kuchelewa kwa chanjo ya Corona Afrika

Kuchelewa kwa chanjo ya Corona Afrika

Wazungu wakitaka kutuua waafrica hawana haja ya kutumia hata hiyo chanjo
 
Mlileta hadithi za Freemason,Illuminati 666 sasa mmehamia kwenye chanjo.Gwajima anawadanganya sana.Kwani watanzania wangapi wanasafiri kwenda ulaya mpaka chanjo iwe tishio.Watanzania waliojiriwa hawafiki hata laki 50000, je mkulima watamzuia kulima mazao yake,mfugaji huko porini vipi kubusu wahadzabe na bushmen.
Watakapokuwa wanaua wao hawana ndugu au wao na ndugu zao nfio watabaki.J e wanaua watu wapate mini huku nao kifo kinawasubiri.
Mambo ya biblia au Qurani yasitumike kujumuisha watu wote maana wengine hawaamini juu hizo dini. Mi ntakuwa wakwanza nione navokuwa tasa.
Chanjo za mashuleni mlivumisha kuwa zina hasi watoto cha ajabu wanazaliana hata kabla ya chanjo.
Acheni uzushi wa kishamba,sio kila mtu mjinga humu jf.

Hayo ni masharti kwa Muzungu kwa sababu Muzungu hawezi kukubali kupigwa chanjo bila idhini yake Katiba yao inakataza hivyo globalist wanawajia kwa mlango wa nyuma kwamba kama hawachanjwi hakuna kusafiri, hakuna kuhudhuria matamasha hata kwenye kwenye migahawa na pubs ni lazima kuonyesha kama umechanjiwa, kuna app tayari imeshatolewa na WHO, huku Afrika globalist hawahitaji hayo yote Magufuli atasema tu wote mchanjwe Kampeni itaanza nyumba kwa nyumba na mtachanjwa, ...
 
Hayo ni masharti kwa Muzungu kwa sababu Muzungu hawezi kukubali kupigwa chanjo bila idhini yake Katiba yao inakataza hivyo globalist wanawajia kwa mlango wa nyuma kwamba kama hawachanjwi hakuna kusafiri, hakuna kuhudhuria matamasha hata kwenye kwenye migahawa na pubs ni lazima kuonyesha kama umechanjiwa, kuna app tayari imeshatolewa na WHO, huku Afrika globalist hawahitaji hayo yote Magufuli atasema tu wote mchanjwe Kampeni itaanza nyumba kwa nyumba na mtachanjwa, ...
Haitatokea na wala haijawahi kutokea.Mnaumba uongo kuwa ukweli.
 
Surua. Pepopunda. Polio

Hizi zote mlipigwa chanjo. Bila hizi chanjo ungeshakuwa kituko.

Unadinda kuhusu chanjo wakati hata paracetamol unaagiza?
 
Hiyo ni zaidi chanzo, mnakwenda kuondolewa vizazi wote, mnamchukia D.Trump lkn siku mtakuja kumkumbua, aliyekuwa anazuia globalist ni D.Trump peke yake sasa anaondoka kazi kwenu, lengo la globalist ni kubakiza watu milioni 500 tu hapa Duniani, sasa hivi tuko > bilioni 7, wengine wote watauliwa au watakuwa tasa na ndo maana hi chanjo ni lazima na siyo hiari kama hutaki hakuna kusafiri tena, hakuna kazi tena hautaruhusiwa kufanya chochote mpaka uonyeshe kadi ya kama umechanjwa
Trump aende tu!
 
Wadau, hii habari huenda ikawa sio nzuri kabisaa hasa kwa taifa kama la Kenya, Rwanda ambayo kila kunapokucha wanashindana kuandikisha visa vipya.

Sasa kufuatia kuibuliwa kwa chanjo ya Covid, wataalm wanadai bara la Afrika litakuwa la mwisho kupatiwa chanjo hiyo.

Hapa wazungu wamewa-betray Kenya, na Rwanda, lakini pia inatoa somo ya umuhimu wa Africa kwa pamoja kuwa na kituo cha magonjwa na chanjo chenye watalaam.
Chelewa ufike. wacha kwanza tuone matokeo ya kisayansi ya chanjo hiyo huko kwa wazungu, machache tumeshayaona ikiwemo waliokingwa kupata malengelenge na wengine kupata sehemu zao za siri zikiongezeka. Kwa sisi tunakinga ya kutosha kutokabna na nyungu(mafusho) na ulaji wa limao, tangawizi na pilipili kichaa.
 
chelewa ufike. wacha kwanza tuone matokeo ya kisayansi ya chanjo hiyo huko kwa wazungu, machache tumeshayaona ikiwemo waliokingwa kupata malengelenge na wengine kupata sehemu zao za siri zikiongezeka. Kwa sisi tunakinga ya kutosha kutokabna na nyungu(mafusho) na ulaji wa limao, tangawizi na pilipili kichaa
Kwan kenya watu wana piga nyungu? Krnya wana tegemea chanjo wanayo tumia whites na wao watumie hiyo hiyo kenyans classify them selves as whites from Europe.
 
Kwan kenya watu wana piga nyungu ? Krnya wana tegemea chanjo wanayo tumia whites na wao watumie hiyo hiyo kenyans classify them selves as whites from Europe
Waache tu wamsubiri Gate ili wapate manufaa kutoka chanjo hiyo. Manufaa ni mengi, ila wazingatie na madhara ya chanjo hiyo ikiwemo kuendelea kuisubiri huku wakifa
 
Waache tu wamsubiri Gate ili wapate manufaa kutoka chanjo hiyo. Manufaa ni mengi, ila wazingatie na madhara ya chanjo hiyo ikiwemo kuendelea kuisubiri huku wakifa
Ila wa kenya ni makauzu yaan ilikuwaje wa kaanza kutangaza eti huko Tz watu watakufa kupitiliza na maiti zita zagaa mtaan ....una jua najiuliza hawa ni watu wa namna gan ?
 
Kama namuona dikteta Kagame akianza kuandaa safari ya kwenda UK kupokea chanjo ili afungue mipaka
 
Samahani kwa kuweka neno upumbavu, sijapata neno mbadala wake.
Hizi vaccine Wazungu huzitumia kwenye mission maalumu. Hata mkakati wa kumpata Osama bin Laden ulifanikiwa kupitia hizi chanjo.

Afrika tukubali hizi chanjo kwa masharti maalumu, kama vile;

1. Chanjo ianze kutolewa kwenye mataifa yaliyoathirika zaidi na Corona.

2 .Wakubali wataalamu wetu wa ndani kwenda kuichunguza chanjo itakayotolewa huko Ulaya, Mashariki ya kati na Marekani, je ni ileile tutakayoletewa sisi?

3. Hatutaki msaada wa chanjo yao. Kama ni ya muhimu tuinunue kwa fedha zetu.

4. Watueleze kwanini chanjo ya UKIMWI au tiba yao haijapatikana mpaka leo?, na kwanini UKIMWI kwa asilimia kubwa unamuua Mwafrika tu?

Tatizo naloliona hapa ni elimu na upeo mdogo wa kufikiri.

Kwa levo yako na ya wenzako tuseme tu upo sahihi kabisa coz huo ndo ukomo wa fikra zenu.
 
Back
Top Bottom