Kucheleweshwa kwa Mkopo World Bank: Tumkemee Zitto Kabwe kwa pamoja

Kucheleweshwa kwa Mkopo World Bank: Tumkemee Zitto Kabwe kwa pamoja

Maneno Meier,
Nchi na serikali ni vitu viwili tofauti. Kuisaliti serikali YES kuisaliti nchi NO.

zitto alichofanya ni kutaka serikali izuiliwe mkopo ili ifanye marekebisho kwenye sera zake nothin much na baada ya hapo mkopo utakuja tu sasa hapo usaliti ukwapi?

Mpaka sasa sijaona mtu akikosoa content ya barua zaidi ya vitisho na kumuita msaliti, embu jitokeze ujibu hapo Checks and balances zitakua assured vp ilihali kuna party absolutism katika ngazi zote? Vipi kuhusu sera ya kubagua mabinti waliozaa je sio hoja ya mashiko?

Nchi ni zaidi ya serikali hata siku moja msitafsiri anayeipinga serikali anaipinga nchi.... Ndio maana Iran inawekewa vikwazo vya uchumi nia sio kuumiza raia bali kuidhoofisha serikali iliopo madarakani ili ikose uhalali wa kuendelea kuongoza mpaka itakapobadili sera zake fulani fulani.

Tuache kufungamanisha mambo.
 
Kama mpaka sasa yuko Uraiani na juzi tu alikuwa UK pale basi ujue ajavunja sheria yoyote hayo makelele yako na mikwara yako haisaidii kitu
Hata yule, na yule mwingine, na Erick Kabendera walikuwa wanashangiliwa na kutiwa hamasa hivyo hivyo.
Siku ya majanga wengi hujikuta peke yao, sasa wamebaki peke yao na majuto makubwa.
 
Hata yule, na yule mwingine, na Erick Kabendera walikuwa wanashangiliwa na kutiwa hamasa hivyo hivyo.
Siku ya majanga wengi hujikuta peke yao, sasa wamebaki peke yao na majuto makubwa.

But mpaka sasa wako huru means hawana kosa, na ww acha kuwawish wanaume wenzako mambo ya hovyo

Unataka kujifanya ww ndio mtanzania zaid? Acha hayo mambo yako ww sio serikali na zito ana haki kama ambayo ww unayo ya kuja kumsema hapa
 
Mleta mada, tofauti yako na Zitto ni moja na ni kubwa sana - Zitto amechukua hatua ya anachoamini na wewe umelalamikia sio Serikali (kumbuka sababu za mkanganyiko wa elimu wa wanafunzi wapatao mimba) wala WB kwa kutotoa mkopo husika.

Zitto kuwa na taswira unayomchorea hakufanyi yako kuwa njema. TISS au sio TISS haihusiani na mkopo wala mimba za watoto wa shule.

Think far away from the box, not just out of it!
Michango ya aina hii ni nadra sana kuiona hapa JF.

Nachelea kusema, wengi hawataweza kuelewa ulichoandika hapa, kwa sababu kipo juu sana, na wengi wetu tunataka malapulapu tu mradi tujaze server za JF.

Huyo mleta mada angechukua muda akakusoma na kukuelewa vizuri nadhani ingemsaidia zaidi siku za mbele kwenye mijadala kama hii.
Itamsaidia sana kuachana na vitisho vya watu kuishia 'ukonga' kwa vile hawakubaliani na matendo yasiyostahiri yanayofanywa na watawala.
Angeachana na tabia ya kudhani kuipenda Tanzania ni lazima kuwapenda watawala au serikali wanazoziongoza zinazotumia nguvu kuwakandamiza watu waliowaweka madarakani.
 
Nigrastratatract,
TUWE KEEE USHAHIDI HAPA KAMA KWELI ZITTO ALI FANYA UNAYO SEMA. WEWE UTA KUWA UNA TAFUTA UTEUZI. HAYA JIWE AME KUSIKIA JIANDAE KUPATA UTEUZI WA U-DC
 
Hata yule, na yule mwingine, na Erick Kabendera walikuwa wanashangiliwa na kutiwa hamasa hivyo hivyo.
Siku ya majanga wengi hujikuta peke yao, sasa wamebaki peke yao na majuto makubwa.
still not end of the world! who knows who is next? could be you!
 
Hata yule, na yule mwingine, na Erick Kabendera walikuwa wanashangiliwa na kutiwa hamasa hivyo hivyo.
Siku ya majanga wengi hujikuta peke yao, sasa wamebaki peke yao na majuto makubwa.
Siyo siku ya majanga bali siku ya kuonewa na awamu ya tano! , Tafsiri zenu za "matusi", "usaliti" kwa rais wenu ni equivocal.
 
still not end of the world! who knows who is next? could be you!
Could be you as well but that doesn't justify what Zitto and Co are doing against the state.
Nor does it protect them from the effects of the turmoil they create, they are staging wars in an unchartered territory where the rules of the war are not clearly defined.
Very ambitious!

At the end of the day they should not come back to us(wananchi) crying for help when they lose the war, when defeated with unconventional tacts.
They know the rules of the game.

Wakifanikiwa itakuwa faida yao binafsi na familia zao, wakishindwa pia iwe ni janga lao binafsi sio la taifa.
 
Zito go on mpk dikteta uchwara adhibitiwe nje na ndani na mnapowatisha wakosoaji mjue mnakaribisha uasi
 
Ma CCM ni wendawazimu kabisa. Kingereza cha zito kimenyoka sana sio huu upuuzi mlouleta hapa. At least mgemtumia mtu anayejua kuandika. Lakini hapana akili zenu ndo zimeishia hapo
WAME ANDIKA ENGLISH YA FORM 2 ALIYEFELI ENGLISH. MA CCM YANA HAHA
 
mjingamimi,
Huwa nacheka sana nikiona watu wanavyosumbuka kuumiza vichwa kwa matendo ya kushangaza yanayoonekana kama ya kijasiri ya Zitto huyuhuyu aliyejificha kwenye jengo la Bunge wakati fulani ili asikamatwe na polisi hadi Mh Ndugai na RPC wa Dodoma walipomuhakikishia kua hawana haja naye!

Ile kesi ya kikatiba aliyoipeleka kuhusu utata wa uteuzi na utenguzi wa CAG ni ya kimkakati. Wanakwenda ku set precedence ya kisheria kuhalalisha utenguzi na uteuzi uliofanyika.

System ya nchi hii iko vizuri saana na hutumia intelligent minds kama za kina Zitto. Kwa taarifa tu, hakuna mtu ambaye ni intelligent na mwenye akili iliyofunga barabara kabisa(akili nzuri), ana influence ya kutosha na yupo kwenye vyama vya siasa akawa yupo nje ya "mfumo". Hayupo! Vinginevyo.....acha niishie hapa
 
Hata yule, na yule mwingine, na Erick Kabendera walikuwa wanashangiliwa na kutiwa hamasa hivyo hivyo.
Siku ya majanga wengi hujikuta peke yao, sasa wamebaki peke yao na majuto makubwa.
Zitto hodari sana kwa kushangilia na kuwatia moyo wenzake baadaye anaingia mtini. Tatizo wenzake hawajastuka wala nini. Kama CHADEMA wasingemtoa baruti sidhani kama leo chama kingekuwepo. Hatari sana huyu mwanasiasa..
 
Back
Top Bottom