Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hats kabendera mlilikuwa mnapa bichwa hivihiviKama mpaka sasa yuko Uraiani na juzi tu alikuwa UK pale basi ujue ajavunja sheria yoyote hayo makelele yako na mikwara yako haisaidii kitu
Msimutukane Wala kumulaumu dogo zitto kabwe yawezekana barehe inamurudia ndo maana Akili zinamuruka na chunusi kumutoka( hizi Ni dalili za barehe). Kwahiyo huruma na maombi yenu yanahitajika kabla huyu kijana hajarejea barehe yake totally.
Note: Ni vigumu Sana kumukuta mtu mzima anaejielewa anafanya unafiki Kama huo. Hata H.clinton hawezi kufanya unafiki wa namna hiyo kwa marekani licha ya kushinda kwa kura nyingi za Wamarekani.
Hata yule, na yule mwingine, na Erick Kabendera walikuwa wanashangiliwa na kutiwa hamasa hivyo hivyo.
Siku ya majanga wengi hujikuta peke yao, sasa wamebaki peke yao na majuto makubwa.
Lengo la Uzi huu ni kuwataarifu watu kuwa Zito Kabwe hayuko upinzani wala CCM bali yuko upande wa kuhakikisha tumbo lake linajaa
Tanzania tuna Memkwa, Tuna QT, Tuna Private Candidate au nyie mnachomaanisha na Zitto Kabwe @Shog ni kipi, kwani hata Mkeo amezuiwa kwenda kusoma. Mnamaana gani. Zitto alichokiandika kinaakisi uwezo wake mdogo wa kufikilia.Kama ni kweli kwamba barua hiyo imeandikwa na mheshimiwa Zitto, basi amekuwa muungwana sana, kwani hayo yote ndiyo yalisemwa na Jiwe katika hotuba yake ya kuwapatia kibali watanzania wawafyatue watoto kadri wawezavyo ili naye awasomeshe.
Sijaona uongo wa Mh. Zitto hapo. Wanalumumba msijaribu kupotosha ukweli wa alichokisema Meko.
Sent using Jamii Forums mobile app
We tulikuamini sana lakini sasa unakuwa mbwa, yaani wajibu wako kubweka ili anayekufuga aendelee kukulisha. Nimekupuuza.
Uwezo wa Elia huwezi kuufananisha na Zitto Kabwe, ndiyo maana Zitto Kabwe alienda kumpigia Magoti akimuomba ajiunge na ACT Wazalendo lakini aligoma.Elia thamani yako humu JF imeporomoka mithili ya visivyomithilika, unatia aibu mno!
toa ujinga Zitto ana hoja zito mjibuniWatanzania muna matazo sana sijui muataka muuongozwaje tu, yaani mazuri yote rais anafanya lakini mtu anabeza jamani hebu tufikilie sana juu ya swala ka la zito ni labkipuuz sana na mtu huyu ni wakuogopa ka ukoma kwa kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nakuunga mkono maana naona kuna mlipuko wa waunga mkono wa hoja ya Zitto. Tangu lini raia, Mbunge akaishinikiza serikali nje ya Bunge? Eti anaadika barua. Ni yale yale ya Lissu kuamini bunge la ulaya litamsaidia apate anachokitaka Tanzania. Ni upuuzi tu! Au CHADEMA kwenda ubalozi wa EU kuishitaki serikali wakijua staff ya EU iko nchini kuwasiliana na serikali na si vinginevyo. wako wapi?Nimekuwa nikiangalia tabia ya Zitto tangu alipounda chama chake, akitoka CHADEMA. Hakuwa na la kufanya zaidi ya kujilazimisha kuunga mkono hoja za CHADEMA zikiitwa ni za UKAWA. Tangu Mwanzo yeye hakuwa na wenzake na ndo maana aliwaacha wenzake na kuingia bungeni wakati rais akihutubia Bunge.
Baadaye kapata njia, kupitia kwa Maalim lakini, ana tatizo jipya la uwezekano wa kukosa ubunge. Uwezekano huo ni mkubwa kwamba, hatarudi bungeni kazi aliyoizoea kwa miaka mingi bila umahili wowote kwa kazi nyingine.
Nimuonavyo, sasa anahangaika kupata umaarufu. Naamini anahanigika kupata ajira nje, Kwenye mashirika hayo akiaminia kwa sasa watauona uelewa wake. Nampa hongera kama kweli atapata ajira aina hiyo lakini aelewe hana uzoefu wowote nje ya shughuli za Bunge.
Bwashee...Anachokifanya Zito yuko sahihi, hakuna kuendesha siasa za kinafiki, kwenye nchi ambayo uchaguzi unanajisiwa, na chama kimoja kulazimisha kupita nchi nzima bila kupingwa, hakuna kukaa kimya hapo. Zito azunguke huko nje na aseme ukweli wote wa huu uhuni unaoendelea humu nchini.
Nawe unakuwa bwege wa wanasiasa. Zitto siyo mnafiki? Kuna mwanasiasa ambaye siyo mnafiki? Alipokuwa anapiga rushwa kwa mambo ya Buzwagi alikuwa anakutetea wewe? Shiiiit!Anachokifanya Zito yuko sahihi, hakuna kuendesha siasa za kinafiki, kwenye nchi ambayo uchaguzi unanajisiwa, na chama kimoja kulazimisha kupita nchi nzima bila kupingwa, hakuna kukaa kimya hapo. Zito azunguke huko nje na aseme ukweli wote wa huu uhuni unaoendelea humu nchini.
Kwa maoni yako unadhani utapata nafuu ya maisha kwa hizo kuni? Najua wengi tatizo hata siyo mkopo maana hamkujua hata huo mkopo. Tatizo ni maisha magumu. Pesa! Lakini, nani akugawie?Mtaimba mapambio yote..Tunasema wachochea kuni ongezeni kuni.