Kucheza mpira kuna uhakika zaidi kuliko kuimba Bongo Flava. Ewe kijana ama mzazi mwenye kijana, Mpira Ruksa ila Bongo Flava iwe burudani tu

Kucheza mpira kuna uhakika zaidi kuliko kuimba Bongo Flava. Ewe kijana ama mzazi mwenye kijana, Mpira Ruksa ila Bongo Flava iwe burudani tu

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Ni ushauri kwa vijana na wazazi wenye vijana ambao wanataka kuingia kwenye haya mambo,

Kwa nchi yetu tuwaase zaidi vijana wanaotaka kucheza mpira kuna chance nzuri ya kufanikiwa ila hawa wanaotaka kuimba watafute shughuli zingine, mziki waufanye kwa burudani tu maana chance yake ni ndogo sana kwa wachache sana.

Diamond naomba tumuondoe kabisa kwenye list, huyu ana vitu vingi sana kuanzia ujasiri wa kipekee ndie msanii wa kwanza kuwadindia clouds Fm na wakamuomba msamaha, Ana connections nzito sana, Ana nyota ya kupendwa (Ngekewa), licha ya umaarufu hana dharau wala kiburi wala kujisikia, ana uwezo wa kujifunza vitu haraka kama lugha na sasa kajifunza biashara ni muwekezaji ambae anaingiza mabilioni nje ya mziki, n.k. Awekwe pembeni.

Binafsi nachoona ni wasanii ni wachache sana wanaoingiza hela kwa mziki pekee na kinachoumiza wasanii wengi ni kulazimika kuishi maisha ya juu ili kuendana na maisha ya muziki, mfano kuishi nyumba za milioni 3 kwa mwezi, kuvaa nguo za gharama, bando la laki 3 kwa mwezi, n.k. hapa unakuta pesa yote inayopatikana inaishia kwenye matumizi na mambo yakibana ndio wanaanza kuishi maisha feki na stress ndipo zinapoanza wengine huingia kwenye ulevi na madawa ya kulevya, Hata Vanessa Mdee aligusia hili kuwa cha pombe maana mziki ulikuwa haumlipi vizuri ila analazimisha kuonekana pesa zipo.

Tukija kwa wachezaji wa mpira wa ligi kuu wapo zaidi ya 300 na wote wana uhakika kuingiza mkwanja kila mwezi ila ni kwamba wanatofautiana mishahara, wanaweza kutunza esa zaidi maana hawana msukumo wa kuishi maisha ya kifahari, sihning fee wanayopewa wakinunuliwa ni pesa zinazoweza kujenga hata nyumba, Pia kumbuka Bakhresa anatoa shilingi milioni 50 kila mwezi kwa kila timu ya ligi kuu kwa hio hata mchezaji acheze timu ndogo uhakika upo.

CONCLUSION: Kucheza mpira kuna uhakika zaidi kuliko Muziki?
 
Wake up wake up wake up
Kolaya maniiiiii
Kolaya maniiiiii
Stop dreaming
 
Vipaji vya Soka ama Muziki vyote vinalipa.

Muhimu uwe na nidhamu kwenye kila fedha unayoipata ukumbuke kuiwekeza.

Jambo la kuliweka akilini ni kwamba hautakuwa on pick wakati wote.

Ndiyo maana Diamond Platinumz ameshtuka mapema ameamua kujiwekeza.

Kwasasa ana uhakika wa kuishi vizuri hadi anaingia Kaburini iwapo miradi yake itaendelea vizuri.

Wachezaji wa Mpira wengi walichelewa kushtuka mapema kujiwekeza

Ila hawa akina Shomari Kapombe, Fei Toto wakishindwa kujiwekeza basi itakuwa kupenda kwao maana kama ni pesa wanalipwa zaidi ya milioni 3 kwa mwezi.

Ni wao kujitafari na kujifunza kwa wenzao akina Haruna Moshi na Mrisho Ngassa ambao walifikia kucheza hadi ligi za nje huku wakilipwa vizuri miaka ile.

Kubwa kabisa Wakiweza kuepuka Wanawake na Pombe/Ulevi basi wana asilimia 70 za kufanikiwa.
 
Vipaji vya Soka ama Muziki vyote vinalipa.

Muhimu uwe na nidhamu kwenye kila fedha unayoipata ukumbuke kuiwekeza.

Jambo la kuliweka akilini ni kwamba hautakuwa on pick wakati wote.

Ndiyo maana Diamond Platinumz ameshtuka mapema ameamua kujiwekeza.

Kwasasa ana uhakika wa kuishi vizuri hadi anaingia Kaburini iwapo miradi yake itaendelea vizuri.

Wachezaji wa Mpira wengi walichelewa kushtuka mapema kujiwekeza

Ila hawa akina Shomari Kapombe, Fei Toto wakishindwa kujiwekeza basi itakuwa kupenda kwao maana kama ni pesa wanalipwa zaidi ya milioni 3 kwa mwezi.

Ni wao kujitafari na kujifunza kwa wenzao akina Haruna Moshi na Mrisho Ngassa ambao walifikia kucheza hadi ligi za nje huku wakilipwa vizuri miaka ile.

Kubwa kabisa Wakiweza kuepuka Wanawake na Pombe/Ulevi basi wana asilimia 70 za kufanikiwa.
Diamond tumuweke pembeni kabisa mkuu, huyu sio mwanamziki tu ana vitu vingi sana kuanzia akili ya maisha, nyota kubwa ya kupendwa (ngekewa) , ushawishi, hana dharau / kuringa yani mtu wa watu, ana connections nzito, ndie msanii pekee mwenye uthubutu aliewafanya hadi clouds wamuombe msamaha, ni muwekezaji, n.k.

Huyu kwa heshima ya huu uzi awekwe pembeni tu,
 
Diamond tumuweke pembeni kabisa mkuu, huyu sio mwanamziki tu ana vitu vingi sana kuanzia akili ya maisha, nyota kubwa ya kupendwa (ngekewa) , ushawishi, hana dharau / kuringa yani mtu wa watu, ana connections nzito, ndie msanii pekee mwenye uthubutu wa hali ya juu na mipango aliewafanya hadi clouds wamuombe msamaha, ni muwekezaji, n.k.

Huyu kwa heshima ya huu uzi awekwe pembeni tu,
Lakini unapotaka kuelezea mafanikio ya Wanamuziki wa Tanzania huwezi kuacha kumtaja Diamond

Wapo wengine pia waliofanikiwa kupitia Muziki

Kuna wakati niliangalia kundi la Wagosi wa Kaya nao walikuwa wakionesha mafanikio waliyopata kupitia Muziki.

Kwahiyo when it comes to Music we mean business 💪
 
Muziki ramani tu Ila mpira kibongobongo labda uwe na connection kuna dogo alikua anapiga mpira sio mchezo kipindi tupo mayanki miaka ya 90 tukajua dogo atafika mbali na kipaji chake asee leo hii huwezi amini dogo kawa Mwazini Swala Msikitini tu kipaji kakikalia
 
Mi naona bora mziki maana hauhitaji kipaji unaingia zako tu studio huku unasaidiwa na Computer kuingingiza mivoko huku unabana pua wakati huohuo unachoimba hakieleweki unaweza kuamua tu kusifia tako ila mpira shuhuli kwanza kipaji cha kweli kiwepo pili jitihada balaa la mpira sasa asubuhi tu unaweza kusikia ushavunjika miguu
 
Kama ana kipaji aimbe tu atatoboa.

Ila mpira ni ngumu kutoboa kuliko kuimba mkuu.
Sijui kwanini umeona kua mziki ni ngumu kuliko mpira.

Mpira ni kibongo bongo ni mpaka watu fulani wakuone. Lakini mziki ni kucheza na media na connection. Connection ya mpira ni ngumu kuliko mziki.

Mpira hauna janjajanja kama mziki, mziki kwa kiki tu unatoka ila mpira kutoboa kwake ni uwe unajua kweli na uwe na support nyuma yako.

Na sasa hivi kuna wimbi la wachezaji wa kigeni wanawazibia sana wabongo. Imagine tim inasajili wachezaji 12 wa kigeni.
 
Kama ana kipaji aimbe tu atatoboa.

Ila mpira ni ngumu kutoboa kuliko kuimba mkuu.
Sijui kwanini umeona kua mziki ni ngumu kuliko mpira.

Mpira ni kibongo bongo ni mpaka watu fulani wakuone. Lakini mziki ni kucheza na media na connection. Connection ya mpira ni ngumu kuliko mziki.

Mpira hauna janjajanja kama mziki, mziki kwa kiki tu unatoka ila mpira kutoboa kwake ni uwe unajua kweli na uwe na support nyuma yako.

Na sasa hivi kuna wimbi la wachezaji wa kigeni wanawazibia sana wabongo. Imagine tim inasajili wachezaji 12 wa kigeni.
Tatizo wewe unaangalia tu hao wasanii wachache kina Diamond na wasanii wake, Harmonize, kina Jux wenye majina, unasahau kwamba kuna wanamuziki wengi sana miaka na miaka wanaimba studio bila mafanikio.

Ni tofauti na mpira wapo wachezaji wengi zaidi inaonyesha angalau kuna nafasi, kumbuka lihgi kuu kuna wachezaji zaidi ya 300 na Bakhresa anatoa Milioni 50 kila mwezi kwahio hata Timu ndogo wachezaji wana uhakika
 
Diamond tumuweke pembeni kabisa mkuu, huyu sio mwanamziki tu ana vitu vingi sana kuanzia akili ya maisha, nyota kubwa ya kupendwa (ngekewa) , ushawishi, hana dharau / kuringa yani mtu wa watu, ana connections nzito, ndie msanii pekee mwenye uthubutu aliewafanya hadi clouds wamuombe msamaha, ni muwekezaji, n.k.

Huyu kwa heshima ya huu uzi awekwe pembeni tu,
Chawa umefafanua sana
 
Vipaji vya Soka ama Muziki vyote vinalipa.

Muhimu uwe na nidhamu kwenye kila fedha unayoipata ukumbuke kuiwekeza.

Jambo la kuliweka akilini ni kwamba hautakuwa on pick wakati wote.

Ndiyo maana Diamond Platinumz ameshtuka mapema ameamua kujiwekeza.

Kwasasa ana uhakika wa kuishi vizuri hadi anaingia Kaburini iwapo miradi yake itaendelea vizuri.

Wachezaji wa Mpira wengi walichelewa kushtuka mapema kujiwekeza

Ila hawa akina Shomari Kapombe, Fei Toto wakishindwa kujiwekeza basi itakuwa kupenda kwao maana kama ni pesa wanalipwa zaidi ya milioni 3 kwa mwezi.

Ni wao kujitafari na kujifunza kwa wenzao akina Haruna Moshi na Mrisho Ngassa ambao walifikia kucheza hadi ligi za nje huku wakilipwa vizuri miaka ile.

Kubwa kabisa Wakiweza kuepuka Wanawake na Pombe/Ulevi basi wana asilimia 70 za kufanikiwa.
Shomar analipwa m10 Simba, mkeka mishahara iliwekwa juz mitandaoni, kaweka vizuri kwao nyumba za wapangaji tayari anazo, mdogo Yule umri wa mdogo wangu wa mwisho walisoma wote secondary.
 
Shomar analipwa m10 Simba, mkeka mishahara iliwekwa juz mitandaoni, kaweka vizuri kwao nyumba za wapangaji tayari anazo, mdogo Yule umri wa mdogo wangu wa mwisho walisoma wote secondary.
Amefanya Vizuri kukumbuka kujiwekeza

Ni aibu mchezaji uliyecheza kwa mafanikio huku ukilipwa mamilioni ya fedha kupita pita mtaani kuomba omba kama baadhi yao.

Wakumbushwe kuwa Wataweza kucheza vizuri hadi miaka 35 lakini baada ya hapo wataelekea kustaafu hivyo maisha yao yatategemea namna walivyojiwekeza.

Ukiwa mtu wa sketi na pombe hutaweza kufika hata umri wa miaka 35 ukicheza
 
Tatizo wewe unaangalia tu hao wasanii wachache kina Diamond na wasanii wake, Harmonize, kina Jux wenye majina, unasahau kwamba kuna wanamuziki wengi sana miaka na miaka wanaimba studio bila mafanikio.

Ni tofauti na mpira wapo wachezaji wengi zaidi inaonyesha angalau kuna nafasi, kumbuka lihgi kuu kuna wachezaji zaidi ya 300 na Bakhresa anatoa Milioni 50 kila mwezi kwahio hata Timu ndogo wachezaji wana uhakika
Wanamuziki wako wangapi waliojisali?
Wewe ndie unaeangalia hao kina diamond.

Hivi unajua huko usukumani hawasikilizi nyimbo za hao kina diamond wao ni ngoma zao za wasanii wao.

Achana na DSM, unadhani mikoa mingine hakuna wasanii? Hakuna studio ? Unadhani wanaishije? Huko kuna shows na mashabiki wao wanastream mtandaoni.
Kuna dogo kule bush kwetu ni msanii na show za kule ndichi anapata na life linasonga kwa hizohizo shows.

Ukija kwenye mpira sasa, mpira hadi uanze kukulipa ni huko ligikuu unakosema lakini ngazi za chini hizi utaishi kucheza ndondo unalipwa sofa au buku ten ya kujipooza.

Lakini msanii huyo wa huko chini akipata show hakosi laki kadhaa.

Na mkuu maisha ya kambi kwa baadhi ya timu hasa hizi ndogo ni ya shida. Ni vile tu watu wana vipaji na hawataki vipotee ila hali za hivyo vilabu ni tete mkuu.
 
Tupeleke watoto shule tu, vipaji kwa hapa bongo sidhani kama vinalipa.
Hao wacheza mpira uliosema unalipa sidhani kama wanaweza fika hata 50 wanaolipwa 5m kwa bongo hii na nadhani gape kati ya wanaolipwa 10m na hawa wengi ni kubwa mno.
kuna huyu msanii wa nandy nilisikia kwenye interview anasema kaacha shule baada ya kusainiwa na nandy. Her life, lakini sidhani kama ni wise desition kwa bongo hii.
 
Kufanikiwa kunahitaji kujima short term gratification tu

Pombe
Wanawake
Kubeti
Kutunza Afya kula chakula kidogo chenye kuujenga mwili ukiweza haya mambo lazima ufanikiwe tu.
 
Back
Top Bottom