Kuchunguza simu ya mpenzi wangu mwisho ilikuwa 2017, siwezi na sirudii

Kuchunguza simu ya mpenzi wangu mwisho ilikuwa 2017, siwezi na sirudii

Umeolewa tena au uko single?
Nakumbuka nlikuwa sina sana iyo tabia kiivo na ilipelekea kila mmoja wetu kutokuwa na password katika Simu.Iyo siku shetani alipitia na ndio uhusiano wangu ulivunjika ambao nliuamini ntazeeka nao,Tulitoka kuzika sasa si unajua ukifiwa pole nyingi na unakuwa bize kuzijibu,Tukafika home shemeji yenu njia nzima alikuwa bize na simu,tulivofika home akawa ameiacha juu ya friji akaingia kuoga,kashetani kakanipitia nkachukua,weee nliyoyakuta ndio nliyokuwa nayatafuta,Mademu kama wa4 wote wanasema polee mme wangu,afu kuna demu mpya ndio anatongozwa.Kiukweli nlitaka kuzuga ila alikuta nmelala na simu,Shuka na pillow zimelowa machozi,Tukasuluhisha mpak kwa wakubwa zetu ila moyo ulishaingia mshtuko nlishindwa kukubali yaishe.Nkamsamehe na nlikaa kwake week lengo lao tuyamalize niwe sawa,akanionea huruma maana kama nipo jela.Nalia mda mwingi kuliko kuongea nae,akanionea huruma akanirudisha kwetu nitulie hata week,Ndio nkawa nmemuacha kabsa na alipigania mno tuwe sawa nlishindwa.Hii ilinifundisha mambo mengi,Kwanza ilinipotezea mme(kiukweli sijawahi kuhisi tupo wawili jamaa alisimama katika nafasi yake).Nlijifunza hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja ila anapenda mwanamke mmoja tu,Nkajifunza kuangalia jamaa anakuheshimu,kukujali,anasimama kwenye nafasi yake na una uhuru kwake.Nlijifunza kila mtu ashike simu yake kama unataka uhusiano Ufike utakapo na unapenda Amani .Wanawake wenzangu,Acheni kupekua simu za wanaume zenu,Malaya ni Malaya tu hata ukague vipi,Sanasana unampa kichwa kuwa huwa unafuma ana cheat ila unamsamehe,Kwaiyo Hofu anaipunguza,Hakikisha ukichunguza ukikuta majibu uwe na maamuzi magumu maana moyo bana ukiingia doa ni kasheshe.Mnaweza kupendana bila kushikiana simu japo kuna vitu hata ujapekua unaviona iyo ruksa nyumba kuwa Tarime.
 
Nakumbuka nlikuwa sina sana iyo tabia kiivo na ilipelekea kila mmoja wetu kutokuwa na password katika Simu.Iyo siku shetani alipitia na ndio uhusiano wangu ulivunjika ambao nliuamini ntazeeka nao,Tulitoka kuzika sasa si unajua ukifiwa pole nyingi na unakuwa bize kuzijibu,Tukafika home shemeji yenu njia nzima alikuwa bize na simu,tulivofika home akawa ameiacha juu ya friji akaingia kuoga,kashetani kakanipitia nkachukua,weee nliyoyakuta ndio nliyokuwa nayatafuta,Mademu kama wa4 wote wanasema polee mme wangu,afu kuna demu mpya ndio anatongozwa.Kiukweli nlitaka kuzuga ila alikuta nmelala na simu,Shuka na pillow zimelowa machozi,Tukasuluhisha mpak kwa wakubwa zetu ila moyo ulishaingia mshtuko nlishindwa kukubali yaishe.Nkamsamehe na nlikaa kwake week lengo lao tuyamalize niwe sawa,akanionea huruma maana kama nipo jela.Nalia mda mwingi kuliko kuongea nae,akanionea huruma akanirudisha kwetu nitulie hata week,Ndio nkawa nmemuacha kabsa na alipigania mno tuwe sawa nlishindwa.Hii ilinifundisha mambo mengi,Kwanza ilinipotezea mme(kiukweli sijawahi kuhisi tupo wawili jamaa alisimama katika nafasi yake).Nlijifunza hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja ila anapenda mwanamke mmoja tu,Nkajifunza kuangalia jamaa anakuheshimu,kukujali,anasimama kwenye nafasi yake na una uhuru kwake.Nlijifunza kila mtu ashike simu yake kama unataka uhusiano Ufike utakapo na unapenda Amani .Wanawake wenzangu,Acheni kupekua simu za wanaume zenu,Malaya ni Malaya tu hata ukague vipi,Sanasana unampa kichwa kuwa huwa unafuma ana cheat ila unamsamehe,Kwaiyo Hofu anaipunguza,Hakikisha ukichunguza ukikuta majibu uwe na maamuzi magumu maana moyo bana ukiingia doa ni kasheshe.Mnaweza kupendana bila kushikiana simu japo kuna vitu hata ujapekua unaviona iyo ruksa nyumba kuwa Tarime.
ONYO: SIMU YA MWANAUME NI KITUNGUU MAJI
 
Mimi wangu alikua ananilazimisha nikaoge niache sim

Nikaenda kumbe yeye anataka kukagua....narudi nakutana na swali Aisha ni nani sijakaa sawa vicky na prisila ni Nani zako

Aisee
 
Nakumbuka nlikuwa sina sana iyo tabia kiivo na ilipelekea kila mmoja wetu kutokuwa na password katika Simu.Iyo siku shetani alipitia na ndio uhusiano wangu ulivunjika ambao nliuamini ntazeeka nao,Tulitoka kuzika sasa si unajua ukifiwa pole nyingi na unakuwa bize kuzijibu,Tukafika home shemeji yenu njia nzima alikuwa bize na simu,tulivofika home akawa ameiacha juu ya friji akaingia kuoga,kashetani kakanipitia nkachukua,weee nliyoyakuta ndio nliyokuwa nayatafuta,Mademu kama wa4 wote wanasema polee mme wangu,afu kuna demu mpya ndio anatongozwa.Kiukweli nlitaka kuzuga ila alikuta nmelala na simu,Shuka na pillow zimelowa machozi,Tukasuluhisha mpak kwa wakubwa zetu ila moyo ulishaingia mshtuko nlishindwa kukubali yaishe.Nkamsamehe na nlikaa kwake week lengo lao tuyamalize niwe sawa,akanionea huruma maana kama nipo jela.Nalia mda mwingi kuliko kuongea nae,akanionea huruma akanirudisha kwetu nitulie hata week,Ndio nkawa nmemuacha kabsa na alipigania mno tuwe sawa nlishindwa.Hii ilinifundisha mambo mengi,Kwanza ilinipotezea mme(kiukweli sijawahi kuhisi tupo wawili jamaa alisimama katika nafasi yake).Nlijifunza hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja ila anapenda mwanamke mmoja tu,Nkajifunza kuangalia jamaa anakuheshimu,kukujali,anasimama kwenye nafasi yake na una uhuru kwake.Nlijifunza kila mtu ashike simu yake kama unataka uhusiano Ufike utakapo na unapenda Amani .Wanawake wenzangu,Acheni kupekua simu za wanaume zenu,Malaya ni Malaya tu hata ukague vipi,Sanasana unampa kichwa kuwa huwa unafuma ana cheat ila unamsamehe,Kwaiyo Hofu anaipunguza,Hakikisha ukichunguza ukikuta majibu uwe na maamuzi magumu maana moyo bana ukiingia doa ni kasheshe.Mnaweza kupendana bila kushikiana simu japo kuna vitu hata ujapekua unaviona iyo ruksa nyumba kuwa Tarime.
mkuu huu uandishi ni madeni wapi?
 
Enzi nakua nilifanya hii kitu, na nikakutana na exactly nilichokua natafuta.
Tangia siku hyo nikajiapiza sitagusa simu ya mwanaume na imekua hivyo hadi leo sinaga interest na simu ya mtu
[emoji1787][emoji1787] pole sana .. simu ya mwanaume usishike ata siku moja.. shika labda kutuma pesa na mambo ya kijamii.. simu ya mwanaume ukipekua utakutana na mazito sababu mwanaume ni mtu anayetumiwa (picha na video) kutoka mchepuko ili amdatishe so ujipange ukiamua kushika
 
[emoji1787][emoji1787] pole sana .. simu ya mwanaume usishike ata siku moja.. shika labda kutuma pesa na mambo ya kijamii.. simu ya mwanaume ukipekua utakutana na mazito sababu mwanaume ni mtu anayetumiwa (picha na video) kutoka mchepuko ili amdatishe so ujipange ukiamua kushika
Nilishika adabu mbona, kwa sasa kama nikiishika basi nitamuomba kwanza ili kama ana mambo yake afute nisione na nitafanya kile nachohitaji kama kutumia internet basi yaan yale mambo ya msingi
 
Back
Top Bottom