Kudadadeki malipo ni hapa hapa duniani kumbe kuna Mtu Kakimbiwa na Mkewe, ila Watu wa Media na Wadhamini wake wanamfichia Siri

Kudadadeki malipo ni hapa hapa duniani kumbe kuna Mtu Kakimbiwa na Mkewe, ila Watu wa Media na Wadhamini wake wanamfichia Siri

Bila kumtaja mhusika kwa jina, huu Uzi wako Ni chaiView attachment 1968790
Ili kutambua tabia ya mtu, subiri apate pesa au umaarufu.
Namsikitikia yule msichana, alijitoa kwa mapenzi ya hali na mali.
Nadhani ile video ya kunengua na Wema Sepenga imechangia pia.
Maana ile mikatiko ilikuwa ni ya hatari sana.
Mume mwenye Mke kucheza hadharani anatakiwa kucheza kwa staha fulani na mwanamke yeyote akiwemo Mkewe wa ndoa.

Na pombe ndio catalyst mkubwa sana maana. Ina cause changes on substance huku iki remain unchanged at the end of chemical reaction.
 
Huyo jamaa mbona alishaachwa na mke karibia week ya 3 sasa,kisa kulewa na ugomvi kila siku,mke anadai jamaa ana mdomo mchafu
Hao hawakupendana kuna mmoja alikuwa anamjaribu tu mwenzake aone inakuwaje.
Kitaalamu watu wanaopendana na kuoana kama hakuna tukio la fumanizi basi wanadumu katika ndoa japo mwaka mmoja.
 
Kumbe huu Upole wa hizi Wiki Mbili ni za Kuwaza jinsi ulivyooa kwa Mikogo ( japo waliofanikisha Ndoa yako ndiyo hao hao tena Wanakusaidia Kazi ) na sasa Mke Kakukimbia na unahaha Kumrudisha ila mpaka Mightier naandika Uzi huu hujafanikiwa bado.

Na ili uone kuwa Watu tunajua Kufukunyua Taarifa Ngumu na Nyeri za Kijamii ni kwamba kumbe hata ile Siku uliyotudanganya umepata Ajali Usiku Mkeo alikupiga na Kukuumiza kidogo kwakuwa ulirejea Kwako ukiwa Umelewa Chakari kama Kawaida yako na uliogopa kwenda katika Interview yako kwa Majizzo FM kwakuwa Uso ulikuwa Umeshaumuliwa na Kuumuka vizuri tu.

Ulivyokuwa Ukiwatukana Watu na Kuwadhihaki ulijua kuwa Mwenyezi Mungu hatowajibia kwa namna ya Kipekee? Haya sasa kipo wapi? Huyu ni Mke wa Pili anakukimbia hujiulizi na hujishangai tu?

Siri imeshafichuka Kudadadeki na bado!
Kama una maana ya manara sio kweli,kwani mkewe yupo nae na siyo tu kwamba eti alimkimbia,bali hata kumgusa hajawahi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Atakuwa msemaji
Kumbe huu Upole wa hizi Wiki Mbili ni za Kuwaza jinsi ulivyooa kwa Mikogo ( japo waliofanikisha Ndoa yako ndiyo hao hao tena Wanakusaidia Kazi ) na sasa Mke Kakukimbia na unahaha Kumrudisha ila mpaka Mightier naandika Uzi huu hujafanikiwa bado.

Na ili uone kuwa Watu tunajua Kufukunyua Taarifa Ngumu na Nyeri za Kijamii ni kwamba kumbe hata ile Siku uliyotudanganya umepata Ajali Usiku Mkeo alikupiga na Kukuumiza kidogo kwakuwa ulirejea Kwako ukiwa Umelewa Chakari kama Kawaida yako na uliogopa kwenda katika Interview yako kwa Majizzo FM kwakuwa Uso ulikuwa Umeshaumuliwa na Kuumuka vizuri tu.

Ulivyokuwa Ukiwatukana Watu na Kuwadhihaki ulijua kuwa Mwenyezi Mungu hatowajibia kwa namna ya Kipekee? Haya sasa kipo wapi? Huyu ni Mke wa Pili anakukimbia hujiulizi na hujishangai tu?

Siri imeshafichuka Kudadadeki na bado!
Atakuwa msemaji mkubwa wa utopolo.
 
Nyie wanaume wa dar, mna uhakika kweli kuwa nyie ni wanaume?
Kumbe huu Upole wa hizi Wiki Mbili ni za Kuwaza jinsi ulivyooa kwa Mikogo ( japo waliofanikisha Ndoa yako ndiyo hao hao tena Wanakusaidia Kazi ) na sasa Mke Kakukimbia na unahaha Kumrudisha ila mpaka Mightier naandika Uzi huu hujafanikiwa bado.

Na ili uone kuwa Watu tunajua Kufukunyua Taarifa Ngumu na Nyeri za Kijamii ni kwamba kumbe hata ile Siku uliyotudanganya umepata Ajali Usiku Mkeo alikupiga na Kukuumiza kidogo kwakuwa ulirejea Kwako ukiwa Umelewa Chakari kama Kawaida yako na uliogopa kwenda katika Interview yako kwa Majizzo FM kwakuwa Uso ulikuwa Umeshaumuliwa na Kuumuka vizuri tu.

Ulivyokuwa Ukiwatukana Watu na Kuwadhihaki ulijua kuwa Mwenyezi Mungu hatowajibia kwa namna ya Kipekee? Haya sasa kipo wapi? Huyu ni Mke wa Pili anakukimbia hujiulizi na hujishangai tu?

Siri imeshafichuka Kudadadeki na bado!
 
Huyo jamaa mbona alishaachwa na mke karibia week ya 3 sasa,kisa kulewa na ugomvi kila siku,mke anadai jamaa ana mdomo mchafu
Kama ulijua mbona sasa hukutuambia na unakuja kusema tena kwa Kukazia baada ya Mimi kusema leo? au ulikuwa huna Bando? Waswahili bhana...!!!!
 
Back
Top Bottom