Kudadadeki malipo ni hapa hapa duniani kumbe kuna Mtu Kakimbiwa na Mkewe, ila Watu wa Media na Wadhamini wake wanamfichia Siri

Kudadadeki malipo ni hapa hapa duniani kumbe kuna Mtu Kakimbiwa na Mkewe, ila Watu wa Media na Wadhamini wake wanamfichia Siri

Juha mkubwa Wewe naona umeumia sana Kukuambia nimezaliwa Masaki na sasa nakuongezea Nyumba niliyozaliwa hapo hapo Chole Road Jirani zangu walikuwa ni Balozi Masilingi, Mzee Mmari ( Profesa ) na Nyumba ya mwisho aliishi Waziri wa Ardhi sasa Mzee Lukuvi.

Na Kuzaliwa pia nimezaliwa Agha Khan Hospital iliyo Jirani na Ikulu yako na baraka ya Kwanza niliipata kutoka Kwake Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na Mkewe Mama Maria kwa Kunibeba na hata Jina langu halisi alilolitoa ni Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.

Lofa na Juha kama Wewe haunisumbui.
Haikufanyi kuwa bora zaidi ya mtu yeyote duniani

Hukujizaa masaki
 
Haikufanyi kuwa bora zaidi ya mtu yeyote duniani

Hukujizaa masaki
Senge hilo usimtilie maanani, wenye maisha mazuri kutoka familia bora hawana majivuno wala hawana muda wa porojo kwenye mitandao, huyo umaskini na ufukara plus jobless ndio vinamsumbuwa.
 
Juha mkubwa Wewe naona umeumia sana Kukuambia nimezaliwa Masaki na sasa nakuongezea Nyumba niliyozaliwa hapo hapo Chole Road Jirani zangu walikuwa ni Balozi Masilingi, Mzee Mmari ( Profesa ) na Nyumba ya mwisho aliishi Waziri wa Ardhi sasa Mzee Lukuvi.

Na Kuzaliwa pia nimezaliwa Agha Khan Hospital iliyo Jirani na Ikulu yako na baraka ya Kwanza niliipata kutoka Kwake Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na Mkewe Mama Maria kwa Kunibeba na hata Jina langu halisi alilolitoa ni Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.

Lofa na Juha kama Wewe haunisumbui.
Wameyataka wenyewe 😂😂😂
 
Kumbe tunaongea na watoto hapa au unajikweza bila kuwa na ufahamu wowote ule masikini mkunduh kunuka.

Tuliozaliwa Dar, hasa miaka ya 70's maternity ilikuwa ni ocean road, ukimwambia mtu yeyote muelewa umezaliwa hospitali nje ya ocean atakushangaa sana na magumashi yako ndio yatakuwa hadharani.

Muhimbili medical center haikuwa na martenity by that time usiongelee kabisa Agha Khan.

Madaktari Bingwa wote wanatoka Muhimbili National hospital Kumer wewe mbumbumbu kabisa fukara namba moja JF Nzima.
Matusi ya nini mkuu
 
Kumbe huu Upole wa hizi Wiki Mbili ni za Kuwaza jinsi ulivyooa kwa Mikogo ( japo waliofanikisha Ndoa yako ndiyo hao hao tena Wanakusaidia Kazi ) na sasa Mke Kakukimbia na unahaha Kumrudisha ila mpaka Mightier naandika Uzi huu hujafanikiwa bado.

Na ili uone kuwa Watu tunajua Kufukunyua Taarifa Ngumu na Nyeri za Kijamii ni kwamba kumbe hata ile Siku uliyotudanganya umepata Ajali Usiku Mkeo alikupiga na Kukuumiza kidogo kwakuwa ulirejea Kwako ukiwa Umelewa Chakari kama Kawaida yako na uliogopa kwenda katika Interview yako kwa Majizzo FM kwakuwa Uso ulikuwa Umeshaumuliwa na Kuumuka vizuri tu.

Ulivyokuwa Ukiwatukana Watu na Kuwadhihaki ulijua kuwa Mwenyezi Mungu hatowajibia kwa namna ya Kipekee? Haya sasa kipo wapi? Huyu ni Mke wa Pili anakukimbia hujiulizi na hujishangai tu?

Siri imeshafichuka Kudadadeki na bado!
We vp bana..acha uongo! Unasema ni mke wa 2 anamkimbia wakati ni mke wa 5! Mbona unampunguzia namba hivyo?
 
Hopeless Wewe..... Mwanaume kukimbiwa na Wake mara Mbili ni Sifa? Sasa kama si Aibu mbona anahaha Kuficha hili Jambo na hatimaye Mfukunyuaji Mightier nimelipata kama lilivyo?

Mwambieni aendelee tu Kubwabwaja!!
Kwahiyo unamtisha ama.? Vipi kama akikuambia ni kawaida na maisha yanaenda.
 
KWA NIABA YA MANYARA WA UTO FC !! NAMWOMBEA MSAMAHA KWA WATANZANIA WOTE ....

ILA NASKIA NI WIFE WA 7 ASEEEH ,,,,ata syo wa 2 .....

Na mimi mnisamehe piah [emoji120][emoji123]
 
Kuzaliwa kokote si tija pia jinsi anavyojiropokea na kutukana watu na jinsi ambavyo alikuwa anatoa Siri alipotoka kwangu kapoteza credibility ni vile bongo tuna ushabiki maandazi na watu hawaelewi hata conflict of interest ni kitu gani
Au wewe ndiye ulikuwa nkewe na ndo umemuacha mumeo?
 
Halafu Os
Kumbe huu Upole wa hizi Wiki Mbili ni za Kuwaza jinsi ulivyooa kwa Mikogo ( japo waliofanikisha Ndoa yako ndiyo hao hao tena Wanakusaidia Kazi ) na sasa Mke Kakukimbia na unahaha Kumrudisha ila mpaka Mightier naandika Uzi huu hujafanikiwa bado.

Na ili uone kuwa Watu tunajua Kufukunyua Taarifa Ngumu na Nyeri za Kijamii ni kwamba kumbe hata ile Siku uliyotudanganya umepata Ajali Usiku Mkeo alikupiga na Kukuumiza kidogo kwakuwa ulirejea Kwako ukiwa Umelewa Chakari kama Kawaida yako na uliogopa kwenda katika Interview yako kwa Majizzo FM kwakuwa Uso ulikuwa Umeshaumuliwa na Kuumuka vizuri tu.

Ulivyokuwa Ukiwatukana Watu na Kuwadhihaki ulijua kuwa Mwenyezi Mungu hatowajibia kwa namna ya Kipekee? Haya sasa kipo wapi? Huyu ni Mke wa Pili anakukimbia hujiulizi na hujishangai tu?

Siri imeshafichuka Kudadadeki na bado!
Oscar Oscar kanyamaza kimya
 
Senge hilo usimtilie maanani, wenye maisha mazuri kutoka familia bora hawana majivuno wala hawana muda wa porojo kwenye mitandao, huyo umaskini na ufukara plus jobless ndio vinamsumbuwa.
Safi sana, kuna dogo yule Jerome wa Ruge humkuti hata siku moja anabishana na mtu,ni business after bussiness na sidhani km kuna area ya kishua hapo Dar hajawai kukaa acha huko BK real humble man.
Na mzee karudi najua kakuta kila kitu kiko mahali pake.
Na dogo issue ya babaake hajawai hata kuongea hata siku moja ila chini kwa chini wameshughulika haswa.
Kongolee kwa hiyo familia kwakweli.
 
Back
Top Bottom