Uchaguzi 2020 Kudhaminiwa: Nyalandu apokelewa kwa kishindo Mbeya

Uchaguzi 2020 Kudhaminiwa: Nyalandu apokelewa kwa kishindo Mbeya

Binafsi nakibali siasa za kistarabu na amani.
Siasa za kilevi na kijuha za kiwatukana viongozi wa nchi na kuwadhalilisha watu sizitaki kabisa.
Nyalando Ni Mcha Mungu na atapata Kibali wakati wake ukifuka hakuna atakayeweza kumzuia.
2020 kuelekea 2025 Nayalandu atakua kwenye nafasi nzuri sana Kisiasa.

Angekua ni wale wavutabangi angeporomosha matusi na kejeli kwa viongozi wa serikali na kuishia kukamatwa na kuswekwa ndani kipuuuzi kabisa.
[emoji106]
 
Arudishe twiga wetu, huyu atatumia pesa ya umma kwa akina Aunt Ezekiel kuwapeleka kula kuku majuu,hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji
Wajinga huko ugambani mkaririshwa kila kitu nanyi hamtaki hata kusumbua ubongo! amekuibia Twiga kwanini humpeleki Mahakamani
 
Binafsi nakibali siasa za kistarabu na amani.
Siasa za kilevi na kijuha za kiwatukana viongozi wa nchi na kuwadhalilisha watu sizitaki kabisa.
Nyalando Ni Mcha Mungu na atapata Kibali wakati wake ukifuka hakuna atakayeweza kumzuia.
2020 kuelekea 2025 Nayalandu atakua kwenye nafasi nzuri sana Kisiasa.

Angekua ni wale wavutabangi angeporomosha matusi na kejeli kwa viongozi wa serikali na kuishia kukamatwa na kuswekwa ndani kipuuuzi kabisa.
Vipi waliopigwa risasi na watawala
 
Kabisa mkuu, Nyalandu tangu ameanza harakati zake za kutafuta wadhamini hamna polisi hata mmoja aliyemsumbua. Yupo mstaarabu sana. CDM wajifunze kitu katika hilo. Siasa za kudhalilishana sio muda wake huu.
Yaani nyie mkisikia mtu anahoji 1.5 t mnasema ametukana.
 
Wakichomea matusi nao watachomekewa matusi kama ilivyo ada,utashangaa lissu anapanda jukwaani na kusema kuna watu wanajifanya wanapambana na ufisadi wkt wao vivuko walinunua vibovu na kuiingiza serikali hasara,nyumba za serikali walihonga kwa watu wao na hayo yataitwa ni matusi kwa viongozi,hahah

Ndio maana kila siku mnajihami kwamba hamtaki kampeni za matusi maana mnajua kinachokuja mbele yenu ni heavy duty.

Lisu ni boya tu, nadhani hata ukimuona uso wake ni wa kiboya sana.
Huwezi kuwa na staha kama kila dakika unamzungumzia mtu mmoja tu kwa kila sentensi.
Kila akiulizwa sawali lazima ataje magufuli,
Sasa huo ni ujinga na uoga tu.
Tanzania kuna mambo mengi ya kuzungumzia na sio magufuli.
 
Arudishe twiga wetu, huyu atatumia pesa ya umma kwa akina Aunt Ezekiel kuwapeleka kula kuku majuu,hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji
Nani asiyetumia pesa ya umma,mtaje mmoja tu
 
Kabisa mkuu, Nyalandu tangu ameanza harakati zake za kutafuta wadhamini hamna polisi hata mmoja aliyemsumbua. Yupo mstaarabu sana. CDM wajifunze kitu katika hilo. Siasa za kudhalilishana sio muda wake huu.
Huyo ni mwenzao watamkamata vipi
 
Binafsi nakibali siasa za kistarabu na amani.
Siasa za kilevi na kijuha za kiwatukana viongozi wa nchi na kuwadhalilisha watu sizitaki kabisa.
Nyalando Ni Mcha Mungu na atapata Kibali wakati wake ukifuka hakuna atakayeweza kumzuia.
2020 kuelekea 2025 Nayalandu atakua kwenye nafasi nzuri sana Kisiasa.

Angekua ni wale wavutabangi angeporomosha matusi na kejeli kwa viongozi wa serikali na kuishia kukamatwa na kuswekwa ndani kipuuuzi kabisa.
Tutajie hayo matusi
 
Unahabari hata Mbowe amewahi kufanya kazi benki kuu .
Mtei alikua emekua huko huko akiwa gavana wa fedha.

Siasa za kijuha za kutukanana zinaleta vurugu hasa kwenye nchi maskini kama Tanzania.

Kule marekani wazungu walikua wanawatukana na kuwafundisha watoto wao kuwa waafrika ni watu wa hovyo ,wasio na akili ,wahalifu, wasio na tofauti na wanyama.
Iliendelea hivyo na matokeo yake ni ghasia kubwa zilizoibuka mwaka huu .
Siasa za wahuni zilizokua zinafanywa na Mlevi Mbowe zikiachwa zitakuja kuleta madhara makubwa sana baadae mana watu watawaona viongozi wa nchi kama majambazi na matapeli wasio na maana na wakudhalilishwa tu huku vyombo vya dola navyo vikionekana kuwa si lolote si chochote eti kisa mtu hajatoka CCM au ametoka CCM .
Ni siasa za kipumbavu kabisa.

Nchi hii tumepata Uhuru bila kumwaga damu kwa sababu ya busara ya Wazee wa Pwani waliomkaribisha mwasisi toka bara . Watu wa bara walizoea kutumia mishale na mapanga kupora mifugo na kudai haki zao .Mwasisi akawakimbia na kujiunga na vyama vya watu wenye busara wa Pwani na wenye imani za amani kabla ya Shari.
Tujifunze kuwa na amani na watu wote ndipo tutakapowekwa ya mataifa kuyaongoza kwa haki.

Nyalando ni MTU aliyekua na bahati kubwa tangu akiwa anasoma Ilboru.
Alikua anasafiri sana nje ya nchi tangu akiwa mwanafunzi wa sekondari hivyo kwa vyovyote angekua na pesa tu. Nyarandu hawezi kuiba milele. Mungu amembariki na nakuhakikishia watawala wanawajua watu wema na waovu mana wao nao wanahofu ya Mungu.
Hutasikia Nyalandu akifungwa mana hajawahi kuiba , na hana Pesa ya umma anayoisaini popote kama walivyo wenyeviti wa vyama wezi kama Mlevi Mbowe.
Umeshawahi kuwaambia Wabunge wa CCM ? Wakishindwa hoja za wabunge wa upinzani tu ni mwendo wa matusi tu na kusifia,unakuta Mbunge wa upinzani anaongelea changamoto za jimboni kwake,mbunge ccm anatoa taarifa na kuanza kumshambulia mbunge wa upinzani,hoooo CCM chini ya Dr John Pombe Magufuli imefanya mengi sana,leleeleeeee leeeleee fly over reli leleeee, hospital leleeeee
 
Kabisa mkuu, Nyalandu tangu ameanza harakati zake za kutafuta wadhamini hamna polisi hata mmoja aliyemsumbua. Yupo mstaarabu sana. CDM wajifunze kitu katika hilo. Siasa za kudhalilishana sio muda wake huu.
Je walipomkamata Singida kwenye kikao cha ndani cha CDM alikuwa kafanya kitendo kisicho cha ustaarabu?
 
Lisu ni boya tu, nadhani hata ukimuona uso wake ni wa kiboya sana.
Huwezi kuwa na staha kama kila dakika unamzungumzia mtu mmoja tu kwa kila sentensi.
Kila akiulizwa sawali lazima ataje magufuli,
Sasa huo ni ujinga na uoga tu.
Tanzania kuna mambo mengi ya kuzungumzia na sio magufuli.

Kwa hio Magufuli ni mungu asitajwe sio?
 
Arudishe twiga wetu, huyu atatumia pesa ya umma kwa akina Aunt Ezekiel kuwapeleka kula kuku majuu,hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji
Nyie mbwa ndio maana tunasema nchi imewashinda tumewakabidhi raslimali zote alafu mnakuja kulalami badala ya kuchukua hatu.......mafala sn nyie

Mchukulieni hatua za kusheria au nae anakinga ya kushitakiwa km mliyowapitishia madikteta wenu hapo majuzi......

"Watanzania sio wajinga"....mwisho wa kunukuu
 
Unahabari hata Mbowe amewahi kufanya kazi benki kuu .
Mtei alikua emekua huko huko akiwa gavana wa fedha.

Siasa za kijuha za kutukanana zinaleta vurugu hasa kwenye nchi maskini kama Tanzania.

Kule marekani wazungu walikua wanawatukana na kuwafundisha watoto wao kuwa waafrika ni watu wa hovyo ,wasio na akili ,wahalifu, wasio na tofauti na wanyama.
Iliendelea hivyo na matokeo yake ni ghasia kubwa zilizoibuka mwaka huu .
Siasa za wahuni zilizokua zinafanywa na Mlevi Mbowe zikiachwa zitakuja kuleta madhara makubwa sana baadae mana watu watawaona viongozi wa nchi kama majambazi na matapeli wasio na maana na wakudhalilishwa tu huku vyombo vya dola navyo vikionekana kuwa si lolote si chochote eti kisa mtu hajatoka CCM au ametoka CCM .
Ni siasa za kipumbavu kabisa.

Nchi hii tumepata Uhuru bila kumwaga damu kwa sababu ya busara ya Wazee wa Pwani waliomkaribisha mwasisi toka bara . Watu wa bara walizoea kutumia mishale na mapanga kupora mifugo na kudai haki zao .Mwasisi akawakimbia na kujiunga na vyama vya watu wenye busara wa Pwani na wenye imani za amani kabla ya Shari.
Tujifunze kuwa na amani na watu wote ndipo tutakapowekwa ya mataifa kuyaongoza kwa haki.

Nyalando ni MTU aliyekua na bahati kubwa tangu akiwa anasoma Ilboru.
Alikua anasafiri sana nje ya nchi tangu akiwa mwanafunzi wa sekondari hivyo kwa vyovyote angekua na pesa tu. Nyarandu hawezi kuiba milele. Mungu amembariki na nakuhakikishia watawala wanawajua watu wema na waovu mana wao nao wanahofu ya Mungu.
Hutasikia Nyalandu akifungwa mana hajawahi kuiba , na hana Pesa ya umma anayoisaini popote kama walivyo wenyeviti wa vyama wezi kama Mlevi Mbowe.
Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787]. Ninachoweza kusema , Mbowe alikufanya kitu mbaya !! Si kwa chuki hiyo.

Nimechunguza posts za kwa wiki nzima. Daahh Mbowe anakutia hasira [emoji40]
 
Arudishe twiga wetu, huyu atatumia pesa ya umma kwa akina Aunt Ezekiel kuwapeleka kula kuku majuu,hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji
Nenda na baba ako mkamdai si uyo unamuona
 
Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787]. Ninachoweza kusema , Mbowe alikufanya kitu mbaya !! Si kwa chuki hiyo.

Nimechunguza posts za kwa wiki nzima. Daahh Mbowe anakutia hasira [emoji40]
Itakua huyu 1000 digits alimpa Mbowe 'kila kitu' ndo maana roho inamuuma sana!
 
Back
Top Bottom