14 Julai 2020
Mbeya , Tanzania
LAZARO NYALANDU 2020; Adhaminiwa Na Mamia Ya Watu Mbeya.
Safi sana wana Mbeya mnaakili.
Source : EM TV Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
14 Julai 2020
Mbeya , Tanzania
LAZARO NYALANDU 2020; Adhaminiwa Na Mamia Ya Watu Mbeya.
Safi sana wana Mbeya mnaakili.
Source : EM TV Tanzania
Kwa hio Magufuli ni mungu asitajwe sio?
Na wewe Ni mchambuzi waSiasa bila Shaka!Nyalandu,Membe wote hao hawana siasa za amsha amsha wanaleta huko upinzani siasa zao za kufundishana nidhamu za uoga tu maana wanajua wakifungua mdomo wao tu makaburi yao yatafukuliwa bila shida.
Na Nyalandu mwenyewe anaelewa vzr hawezi kusimamishwa kugombea urais kupitia Chadema sanasana yuko pale aonekane amepambana ashindwe then Chadema wamfanye ni mgombea Mwenza huku Lissu akipeperusha bendera maana Ccm wanachokitaka ni kua na insider ambae atakua anawapa taarifa zote muhimu za mipango&stragies za Chadema ambae atakua ni huyo huyo Nyalandu.
Mahakama ya mafisadi iko wapi?Arudishe twiga wetu, huyu atatumia pesa ya umma kwa akina Aunt Ezekiel kuwapeleka kula kuku majuu,hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji
Kwahyo nyie anawapumulia kisogoni kwa kadiri ya uwezo wake sio?Ni uoga tu huo, Lisu atamke wazi anamuogopa magufuri,
Nadhani kila anapokuwa amekaa au amelala anamuona mwamba Magufuli kamzunguka na kumuweka kati anampumulia kama beberu.
Sasa anabaki kubwatuka kama mbwa koko kamuona simba.
Kwahyo nyie anawapumulia kisogoni kwa kadiri ya uwezo wake sio?
Sijamtukana mtu Mimi?Wewe mwenyewe hapa unatukana harafu hapohapo unasisitiza siasa za kistaarabu!
Hiyo ni hazina isubiri 2025.Vipi waliopigwa risasi na watawala
CCM sio chama cha Kidemokrasia.Umeshawahi kuwaambia Wabunge wa CCM ? Wakishindwa hoja za wabunge wa upinzani tu ni mwendo wa matusi tu na kusifia,unakuta Mbunge wa upinzani anaongelea changamoto za jimboni kwake,mbunge ccm anatoa taarifa na kuanza kumshambulia mbunge wa upinzani,hoooo CCM chini ya Dr John Pombe Magufuli imefanya mengi sana,leleeleeeee leeeleee fly over reli leleeee, hospital leleeeee
wewe si mtanzania sijui uko humu JF kwa jukumu lipi! nimetumia akili zote sijaambulia points za ulichoandika sijaelewa unaongea lugha gani unasema nini na unamwambia nani nini!!😀😀😀
Ulichoandika umejitahidi.. naona udongo kizaidi..
Nakusubiri nikusome umekutulia.. sasa hivi ni midundo fasta.. tafadhali fanta mazoezi piana piga.. mulo muzuri kwa afya
Namchukia kwa matendo yake ya hovyo halafu anang"ang"ania uongozi wa chama kilichojengewa sifa na Dr. Slaa aliyesema tumeanza na Mungu na tutamaliza na Mungu.Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787]. Ninachoweza kusema , Mbowe alikufanya kitu mbaya !! Si kwa chuki hiyo.
Nimechunguza posts za kwa wiki nzima. Daahh Mbowe anakutia hasira [emoji40]
Kiukweli Lissu hafiki ktk uchaguzi huu, maana sijasikia kama amepata 'security assurance' ambayo ilimchelewesha kuja toka mwanzo!Lkn nyie siasa za kuita wapinzani mara wao ni Corona,Sijui Konyagi zimefanya nini mnaona ni sawa sana sio
Acha Lissu aje awanyooshe jukwaani.
Nisipomtaja Mbowe nitakua sawa na Mchungaji wa kilokole asiyemkemea pepo mchafu na kumpinga kwa Jina la YesuKila siku yeye na Mbowe. Hata kama uzi unawahusu wengine. Kama sasa swala la Nyalandu yeye hasira ni kwa Mbowe daahh !!
Umeniona wapi nateseka? Hebu nieleze.Naona unateseka...
Uchaguzi ujao wa CDM ugombee uenyekiti . Ni swala simple tu. Juzi nilikuambia aliyegombea na Mbowe uenyekiti leo mwenyekiti wa Ccm anaagiza asipingwe jimboni. Unaweza kuona logic ya kuwa na mtu mwenye msimamo na si huyu ambaye leo angekuwa amekiealimisha chama kwa wapinzani wao.Nisipomtaja Mbowe nitakua sawa na Mchungaji wa kilokole asiyemkemea pepo mchafu na kumpinga kwa Jina la Yesu
Dikteta Mbowe toka kwenye kiti kwa Jina la Yesu.
Arudishe twiga wetu, huyu atatumia pesa ya umma kwa akina Aunt Ezekiel kuwapeleka kula kuku majuu,hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji
Hata Mbowe angeweza kupita bila kupingwa kama angeonyesha ukomavu wa Kisiasa.Uchaguzi ujao wa CDM ugombee uenyekiti . Ni swala simple tu. Juzi nilikuambia aliyegombea na Mbowe uenyekiti leo mwenyekiti wa Ccm anaagiza asipingwe jimboni. Unaweza kuona logic ya kuwa na mtu mwenye msimamo na si huyu ambaye leo angekuwa amekiealimisha chama kwa wapinzani wao.
Kishindo kiko wapi, picha tafadhali
Tulia dawa inapenyaUmeniona wapi nateseka? Hebu nieleze.