Uchaguzi 2020 Kudhaminiwa: Nyalandu apokelewa kwa kishindo Mbeya

Uchaguzi 2020 Kudhaminiwa: Nyalandu apokelewa kwa kishindo Mbeya

Kwa hio Magufuli ni mungu asitajwe sio?

Ni uoga tu huo, Lisu atamke wazi anamuogopa magufuri,
Nadhani kila anapokuwa amekaa au amelala anamuona mwamba Magufuli kamzunguka na kumuweka kati anampumulia kama beberu.
Sasa anabaki kubwatuka kama mbwa koko kamuona simba.
 
Nyalandu,Membe wote hao hawana siasa za amsha amsha wanaleta huko upinzani siasa zao za kufundishana nidhamu za uoga tu maana wanajua wakifungua mdomo wao tu makaburi yao yatafukuliwa bila shida.

Na Nyalandu mwenyewe anaelewa vzr hawezi kusimamishwa kugombea urais kupitia Chadema sanasana yuko pale aonekane amepambana ashindwe then Chadema wamfanye ni mgombea Mwenza huku Lissu akipeperusha bendera maana Ccm wanachokitaka ni kua na insider ambae atakua anawapa taarifa zote muhimu za mipango&stragies za Chadema ambae atakua ni huyo huyo Nyalandu.
Na wewe Ni mchambuzi waSiasa bila Shaka!
 
Ni uoga tu huo, Lisu atamke wazi anamuogopa magufuri,
Nadhani kila anapokuwa amekaa au amelala anamuona mwamba Magufuli kamzunguka na kumuweka kati anampumulia kama beberu.
Sasa anabaki kubwatuka kama mbwa koko kamuona simba.
Kwahyo nyie anawapumulia kisogoni kwa kadiri ya uwezo wake sio?
 
Kwahyo nyie anawapumulia kisogoni kwa kadiri ya uwezo wake sio?

Ukishawekwa kati wewe ndo unapumuliwa,
Kwa hiyo Lisu haoni kitu kingine bali kila akigeuka anamuona beberu wake mwamba Magufuli.
Atapata tabu saaana.
 
Vipi waliopigwa risasi na watawala
Hiyo ni hazina isubiri 2025.
Baada ya nchi kunyooshwa na kuwa na katiba Mpya itahitaji Rais mwenye kuijua vizuri sheria ya kitaifa na kimataifa. Huyo atakua ni Tundu Lisu ila kwa sana asubiri kwanza na asimtukane mtu mzima sio mila za kiafrika.
 
Umeshawahi kuwaambia Wabunge wa CCM ? Wakishindwa hoja za wabunge wa upinzani tu ni mwendo wa matusi tu na kusifia,unakuta Mbunge wa upinzani anaongelea changamoto za jimboni kwake,mbunge ccm anatoa taarifa na kuanza kumshambulia mbunge wa upinzani,hoooo CCM chini ya Dr John Pombe Magufuli imefanya mengi sana,leleeleeeee leeeleee fly over reli leleeee, hospital leleeeee
CCM sio chama cha Kidemokrasia.
Chadema kuiga Mbinu za CCM ni ujinga wa matokeo ya kuongozwa na Mlevi, dikteta na Mhuni.
 
Kikubwa nchi yetu iwe na amani......na ndio TUNU yetu.....tuitunze...binadamu tu wadhaifu mno......
 
😀😀😀
Ulichoandika umejitahidi.. naona udongo kizaidi..
Nakusubiri nikusome umekutulia.. sasa hivi ni midundo fasta.. tafadhali fanta mazoezi piana piga.. mulo muzuri kwa afya
wewe si mtanzania sijui uko humu JF kwa jukumu lipi! nimetumia akili zote sijaambulia points za ulichoandika sijaelewa unaongea lugha gani unasema nini na unamwambia nani nini!!
 
Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787]. Ninachoweza kusema , Mbowe alikufanya kitu mbaya !! Si kwa chuki hiyo.

Nimechunguza posts za kwa wiki nzima. Daahh Mbowe anakutia hasira [emoji40]
Namchukia kwa matendo yake ya hovyo halafu anang"ang"ania uongozi wa chama kilichojengewa sifa na Dr. Slaa aliyesema tumeanza na Mungu na tutamaliza na Mungu.
Chama kilichoungwa mkono na viongozi wa dini mpaka wakakamatwa na kuwekwa gerezani.
Sasa anakwapua pesa za ruzuku na hataki kuulizwa na wanaouliza wanafukuzwa .
Lazima tumpe za USO mitandaoni na akienda bungeni anakutana na moto wa gesi Ndugai ,mitaani nje ya bunge anakutana na chuma cha pua.
Kwenye nyumba za ibada anakutana na Sunami inazolea mbali na Mlevi wake.

Ananipandisha hasira kali sana huyo Mtu aliyejawa na ukabila na unyanyasaji wa kingono.
Huyu muhuni ,Mzinzi,mla unga na laghai mkubwa Mbowe alianza na Mungu na Sasa anamaliza na Shetani (mwenzake).
 
Lkn nyie siasa za kuita wapinzani mara wao ni Corona,Sijui Konyagi zimefanya nini mnaona ni sawa sana sio

Acha Lissu aje awanyooshe jukwaani.
Kiukweli Lissu hafiki ktk uchaguzi huu, maana sijasikia kama amepata 'security assurance' ambayo ilimchelewesha kuja toka mwanzo!
 
Kila siku yeye na Mbowe. Hata kama uzi unawahusu wengine. Kama sasa swala la Nyalandu yeye hasira ni kwa Mbowe daahh !!
Nisipomtaja Mbowe nitakua sawa na Mchungaji wa kilokole asiyemkemea pepo mchafu na kumpinga kwa Jina la Yesu
Dikteta Mbowe toka kwenye kiti kwa Jina la Yesu.
 
Nisipomtaja Mbowe nitakua sawa na Mchungaji wa kilokole asiyemkemea pepo mchafu na kumpinga kwa Jina la Yesu
Dikteta Mbowe toka kwenye kiti kwa Jina la Yesu.
Uchaguzi ujao wa CDM ugombee uenyekiti . Ni swala simple tu. Juzi nilikuambia aliyegombea na Mbowe uenyekiti leo mwenyekiti wa Ccm anaagiza asipingwe jimboni. Unaweza kuona logic ya kuwa na mtu mwenye msimamo na si huyu ambaye leo angekuwa amekiealimisha chama kwa wapinzani wao.
 
Arudishe twiga wetu, huyu atatumia pesa ya umma kwa akina Aunt Ezekiel kuwapeleka kula kuku majuu,hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji

Kabla yake uanze na aliekuwa Rais wakati huo na pm wake na igp na cdf

Ukiwamaliza Hao ndio uje kuleta lawama kwake
 
Uchaguzi ujao wa CDM ugombee uenyekiti . Ni swala simple tu. Juzi nilikuambia aliyegombea na Mbowe uenyekiti leo mwenyekiti wa Ccm anaagiza asipingwe jimboni. Unaweza kuona logic ya kuwa na mtu mwenye msimamo na si huyu ambaye leo angekuwa amekiealimisha chama kwa wapinzani wao.
Hata Mbowe angeweza kupita bila kupingwa kama angeonyesha ukomavu wa Kisiasa.
Waliopita bila kupingwa sio kwamba wanaipenda CCM Bali wameamua kuepuka siasa za Chuki za Mbowe.
Huwezi kukaa na dikteta asiye na nguvu halafu ukakubali kubanwa.
 
Back
Top Bottom