Uchaguzi 2020 Kudhaminiwa: Nyalandu apokelewa kwa kishindo Mbeya

Uchaguzi 2020 Kudhaminiwa: Nyalandu apokelewa kwa kishindo Mbeya

Hua wanachomekeaga tu na sio kufanya agenda.
Na Mara nyingine unakuta wanatania tu sio kutokwa na povu huku ukimaanisha kabisa kama anavyofanyaga yule Mlevi.

Mfano tu Mh. majaliwa lini ulimsikia akitukana mtu,au Samia Suluhu, au Jafo au Agrei Mwanry RC Mstaafu.

Hata Mh.Rais hua anachomekeaga tu kwa utani na ndio maana Mtu kama Professor Jay hutasikia akikamatwa mana anamuheshimu mkuu wa nchi hata akichomekewa anacheka yanaisha sio kususa ,kuleta dharau, kukejeli ,kutunisha misuli ni siasa za kilevi na kimalaya Malaya za Mabeberu na mawakala wao wanaocopy na kupeste.
Hatuzitaki na tutahakikisha walevi na Malaya Malaya wote wanakosa Ubunge kwa namna yoyote.
Mimi mawazo yangu pia hao wapinzani nao uwa wanachomekea chomekea tu basi...Ila wakichomekea panapo ukweli basi povu linatujaa wanaccm!
 
Unahabari hata Mbowe amewahi kufanya kazi benki kuu .
Mtei alikua emekua huko huko akiwa gavana wa fedha.

Siasa za kijuha za kutukanana zinaleta vurugu hasa kwenye nchi maskini kama Tanzania.

Kule marekani wazungu walikua wanawatukana na kuwafundisha watoto wao kuwa waafrika ni watu wa hovyo ,wasio na akili ,wahalifu, wasio na tofauti na wanyama.
Iliendelea hivyo na matokeo yake ni ghasia kubwa zilizoibuka mwaka huu .
Siasa za wahuni zilizokua zinafanywa na Mlevi Mbowe zikiachwa zitakuja kuleta madhara makubwa sana baadae mana watu watawaona viongozi wa nchi kama majambazi na matapeli wasio na maana na wakudhalilishwa tu huku vyombo vya dola navyo vikionekana kuwa si lolote si chochote eti kisa mtu hajatoka CCM au ametoka CCM .
Ni siasa za kipumbavu kabisa.

Nchi hii tumepata Uhuru bila kumwaga damu kwa sababu ya busara ya Wazee wa Pwani waliomkaribisha mwasisi toka bara . Watu wa bara walizoea kutumia mishale na mapanga kupora mifugo na kudai haki zao .Mwasisi akawakimbia na kujiunga na vyama vya watu wenye busara wa Pwani na wenye imani za amani kabla ya Shari.
Tujifunze kuwa na amani na watu wote ndipo tutakapowekwa ya mataifa kuyaongoza kwa haki.

Nyalando ni MTU aliyekua na bahati kubwa tangu akiwa anasoma Ilboru.
Alikua anasafiri sana nje ya nchi tangu akiwa mwanafunzi wa sekondari hivyo kwa vyovyote angekua na pesa tu. Nyarandu hawezi kuiba milele. Mungu amembariki na nakuhakikishia watawala wanawajua watu wema na waovu mana wao nao wanahofu ya Mungu.
Hutasikia Nyalandu akifungwa mana hajawahi kuiba , na hana Pesa ya umma anayoisaini popote kama walivyo wenyeviti wa vyama wezi kama Mlevi Mbowe.
Post yako inaweza kuleta machafuko nchini.unaogopa upinzani kwa lipi??mbowe amekulia mke??siasa sio ugomvi,waache watu wafanye siasa,ili mradi hawavunji sheria
 
Post yako inaweza kuleta machafuko nchini.unaogopa upinzani kwa lipi??mbowe amekulia mke??siasa sio ugomvi,waache watu wafanye siasa,ili mradi hawavunji sheria
Naogopa upinzani wa Chadema ya Mbowe iliyojaa Ukabila ,udikteta,uhuni, wizi wa ruzuku, fukuza fukuza ya wanachama, uzushi, kuwakashifu viongozi walioiletea heshima kubwa Taifa letu (kama Mh. Rais Magufuli aliyeipaisha nchi yetu ki Uchumi).
Sasa wanachafuana wenyewe kisa Nyarandu kawazidi mbinu za kutangaza nia.

Mpitisheni Mbowe awe mgombea wa Chadema akutane na Chuma cha pua kwenye uchaguzi mkuu muine kama hatapata kura mbili ya kwake na ya kwako.
 
Bora hata mavi hawa wamejaza makimba
Ni sahihi wanaccm kutumia bunduki na utekaji dhidi ya wapinzani wao ila ni kukosa ustaarabu kwa wapinzani kujibu mapigo kwa maneno tu ?

Nyie watetezi wa ccm vichwani mwenu mmejaza mavi tu.
 
Kwel ujinga na ushamba ni mzigo mzto
Naogopa upinzani wa Chadema ya Mbowe iliyojaa Ukabila ,udikteta,uhuni, wizi wa ruzuku, fukuza fukuza ya wanachama, uzushi, kuwakashifu viongozi walioiletea heshima kubwa Taifa letu (kama Mh. Rais Magufuli aliyeipaisha nchi yetu ki Uchumi).
Sasa wanachafuana wenyewe kisa Nyarandu kawazidi mbinu za kutangaza nia.

Mpitisheni Mbowe awe mgombea wa Chadema akutane na Chuma cha pua kwenye uchaguzi mkuu muine kama hatapata kura mbili ya kwake na ya kwako.
 
Mgombea ni Lissu, The Greatest
Naogopa upinzani wa Chadema ya Mbowe iliyojaa Ukabila ,udikteta,uhuni, wizi wa ruzuku, fukuza fukuza ya wanachama, uzushi, kuwakashifu viongozi walioiletea heshima kubwa Taifa letu (kama Mh. Rais Magufuli aliyeipaisha nchi yetu ki Uchumi).
Sasa wanachafuana wenyewe kisa Nyarandu kawazidi mbinu za kutangaza nia.

Mpitisheni Mbowe awe mgombea wa Chadema akutane na Chuma cha pua kwenye uchaguzi mkuu muine kama hatapata kura mbili ya kwake na ya kwako.
 
Back
Top Bottom