PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
[emoji106]Binafsi nakibali siasa za kistarabu na amani.
Siasa za kilevi na kijuha za kiwatukana viongozi wa nchi na kuwadhalilisha watu sizitaki kabisa.
Nyalando Ni Mcha Mungu na atapata Kibali wakati wake ukifuka hakuna atakayeweza kumzuia.
2020 kuelekea 2025 Nayalandu atakua kwenye nafasi nzuri sana Kisiasa.
Angekua ni wale wavutabangi angeporomosha matusi na kejeli kwa viongozi wa serikali na kuishia kukamatwa na kuswekwa ndani kipuuuzi kabisa.
Chadema Bwana mko juu sana.14 Julai 2020
Mbeya , Tanzania
LAZARO NYALANDU 2020; Adhaminiwa Na Mamia Ya Watu Mbeya.
Source : EM TV Tanzania
Wajinga huko ugambani mkaririshwa kila kitu nanyi hamtaki hata kusumbua ubongo! amekuibia Twiga kwanini humpeleki MahakamaniArudishe twiga wetu, huyu atatumia pesa ya umma kwa akina Aunt Ezekiel kuwapeleka kula kuku majuu,hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji
Vipi waliopigwa risasi na watawalaBinafsi nakibali siasa za kistarabu na amani.
Siasa za kilevi na kijuha za kiwatukana viongozi wa nchi na kuwadhalilisha watu sizitaki kabisa.
Nyalando Ni Mcha Mungu na atapata Kibali wakati wake ukifuka hakuna atakayeweza kumzuia.
2020 kuelekea 2025 Nayalandu atakua kwenye nafasi nzuri sana Kisiasa.
Angekua ni wale wavutabangi angeporomosha matusi na kejeli kwa viongozi wa serikali na kuishia kukamatwa na kuswekwa ndani kipuuuzi kabisa.
Yaani nyie mkisikia mtu anahoji 1.5 t mnasema ametukana.Kabisa mkuu, Nyalandu tangu ameanza harakati zake za kutafuta wadhamini hamna polisi hata mmoja aliyemsumbua. Yupo mstaarabu sana. CDM wajifunze kitu katika hilo. Siasa za kudhalilishana sio muda wake huu.
Wakichomea matusi nao watachomekewa matusi kama ilivyo ada,utashangaa lissu anapanda jukwaani na kusema kuna watu wanajifanya wanapambana na ufisadi wkt wao vivuko walinunua vibovu na kuiingiza serikali hasara,nyumba za serikali walihonga kwa watu wao na hayo yataitwa ni matusi kwa viongozi,hahah
Ndio maana kila siku mnajihami kwamba hamtaki kampeni za matusi maana mnajua kinachokuja mbele yenu ni heavy duty.
mrudishe trioni 1.5 alizosema CAG majizi manyinyiArudishe twiga wetu, huyu atatumia pesa ya umma kwa akina Aunt Ezekiel kuwapeleka kula kuku majuu,hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji
Nani asiyetumia pesa ya umma,mtaje mmoja tuArudishe twiga wetu, huyu atatumia pesa ya umma kwa akina Aunt Ezekiel kuwapeleka kula kuku majuu,hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji
Huyo ni mwenzao watamkamata vipiKabisa mkuu, Nyalandu tangu ameanza harakati zake za kutafuta wadhamini hamna polisi hata mmoja aliyemsumbua. Yupo mstaarabu sana. CDM wajifunze kitu katika hilo. Siasa za kudhalilishana sio muda wake huu.
Tutajie hayo matusiBinafsi nakibali siasa za kistarabu na amani.
Siasa za kilevi na kijuha za kiwatukana viongozi wa nchi na kuwadhalilisha watu sizitaki kabisa.
Nyalando Ni Mcha Mungu na atapata Kibali wakati wake ukifuka hakuna atakayeweza kumzuia.
2020 kuelekea 2025 Nayalandu atakua kwenye nafasi nzuri sana Kisiasa.
Angekua ni wale wavutabangi angeporomosha matusi na kejeli kwa viongozi wa serikali na kuishia kukamatwa na kuswekwa ndani kipuuuzi kabisa.
Umeshawahi kuwaambia Wabunge wa CCM ? Wakishindwa hoja za wabunge wa upinzani tu ni mwendo wa matusi tu na kusifia,unakuta Mbunge wa upinzani anaongelea changamoto za jimboni kwake,mbunge ccm anatoa taarifa na kuanza kumshambulia mbunge wa upinzani,hoooo CCM chini ya Dr John Pombe Magufuli imefanya mengi sana,leleeleeeee leeeleee fly over reli leleeee, hospital leleeeeeUnahabari hata Mbowe amewahi kufanya kazi benki kuu .
Mtei alikua emekua huko huko akiwa gavana wa fedha.
Siasa za kijuha za kutukanana zinaleta vurugu hasa kwenye nchi maskini kama Tanzania.
Kule marekani wazungu walikua wanawatukana na kuwafundisha watoto wao kuwa waafrika ni watu wa hovyo ,wasio na akili ,wahalifu, wasio na tofauti na wanyama.
Iliendelea hivyo na matokeo yake ni ghasia kubwa zilizoibuka mwaka huu .
Siasa za wahuni zilizokua zinafanywa na Mlevi Mbowe zikiachwa zitakuja kuleta madhara makubwa sana baadae mana watu watawaona viongozi wa nchi kama majambazi na matapeli wasio na maana na wakudhalilishwa tu huku vyombo vya dola navyo vikionekana kuwa si lolote si chochote eti kisa mtu hajatoka CCM au ametoka CCM .
Ni siasa za kipumbavu kabisa.
Nchi hii tumepata Uhuru bila kumwaga damu kwa sababu ya busara ya Wazee wa Pwani waliomkaribisha mwasisi toka bara . Watu wa bara walizoea kutumia mishale na mapanga kupora mifugo na kudai haki zao .Mwasisi akawakimbia na kujiunga na vyama vya watu wenye busara wa Pwani na wenye imani za amani kabla ya Shari.
Tujifunze kuwa na amani na watu wote ndipo tutakapowekwa ya mataifa kuyaongoza kwa haki.
Nyalando ni MTU aliyekua na bahati kubwa tangu akiwa anasoma Ilboru.
Alikua anasafiri sana nje ya nchi tangu akiwa mwanafunzi wa sekondari hivyo kwa vyovyote angekua na pesa tu. Nyarandu hawezi kuiba milele. Mungu amembariki na nakuhakikishia watawala wanawajua watu wema na waovu mana wao nao wanahofu ya Mungu.
Hutasikia Nyalandu akifungwa mana hajawahi kuiba , na hana Pesa ya umma anayoisaini popote kama walivyo wenyeviti wa vyama wezi kama Mlevi Mbowe.
Je walipomkamata Singida kwenye kikao cha ndani cha CDM alikuwa kafanya kitendo kisicho cha ustaarabu?Kabisa mkuu, Nyalandu tangu ameanza harakati zake za kutafuta wadhamini hamna polisi hata mmoja aliyemsumbua. Yupo mstaarabu sana. CDM wajifunze kitu katika hilo. Siasa za kudhalilishana sio muda wake huu.
Lisu ni boya tu, nadhani hata ukimuona uso wake ni wa kiboya sana.
Huwezi kuwa na staha kama kila dakika unamzungumzia mtu mmoja tu kwa kila sentensi.
Kila akiulizwa sawali lazima ataje magufuli,
Sasa huo ni ujinga na uoga tu.
Tanzania kuna mambo mengi ya kuzungumzia na sio magufuli.
Nyie mbwa ndio maana tunasema nchi imewashinda tumewakabidhi raslimali zote alafu mnakuja kulalami badala ya kuchukua hatu.......mafala sn nyieArudishe twiga wetu, huyu atatumia pesa ya umma kwa akina Aunt Ezekiel kuwapeleka kula kuku majuu,hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji
Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787]. Ninachoweza kusema , Mbowe alikufanya kitu mbaya !! Si kwa chuki hiyo.Unahabari hata Mbowe amewahi kufanya kazi benki kuu .
Mtei alikua emekua huko huko akiwa gavana wa fedha.
Siasa za kijuha za kutukanana zinaleta vurugu hasa kwenye nchi maskini kama Tanzania.
Kule marekani wazungu walikua wanawatukana na kuwafundisha watoto wao kuwa waafrika ni watu wa hovyo ,wasio na akili ,wahalifu, wasio na tofauti na wanyama.
Iliendelea hivyo na matokeo yake ni ghasia kubwa zilizoibuka mwaka huu .
Siasa za wahuni zilizokua zinafanywa na Mlevi Mbowe zikiachwa zitakuja kuleta madhara makubwa sana baadae mana watu watawaona viongozi wa nchi kama majambazi na matapeli wasio na maana na wakudhalilishwa tu huku vyombo vya dola navyo vikionekana kuwa si lolote si chochote eti kisa mtu hajatoka CCM au ametoka CCM .
Ni siasa za kipumbavu kabisa.
Nchi hii tumepata Uhuru bila kumwaga damu kwa sababu ya busara ya Wazee wa Pwani waliomkaribisha mwasisi toka bara . Watu wa bara walizoea kutumia mishale na mapanga kupora mifugo na kudai haki zao .Mwasisi akawakimbia na kujiunga na vyama vya watu wenye busara wa Pwani na wenye imani za amani kabla ya Shari.
Tujifunze kuwa na amani na watu wote ndipo tutakapowekwa ya mataifa kuyaongoza kwa haki.
Nyalando ni MTU aliyekua na bahati kubwa tangu akiwa anasoma Ilboru.
Alikua anasafiri sana nje ya nchi tangu akiwa mwanafunzi wa sekondari hivyo kwa vyovyote angekua na pesa tu. Nyarandu hawezi kuiba milele. Mungu amembariki na nakuhakikishia watawala wanawajua watu wema na waovu mana wao nao wanahofu ya Mungu.
Hutasikia Nyalandu akifungwa mana hajawahi kuiba , na hana Pesa ya umma anayoisaini popote kama walivyo wenyeviti wa vyama wezi kama Mlevi Mbowe.
Nenda na baba ako mkamdai si uyo unamuonaArudishe twiga wetu, huyu atatumia pesa ya umma kwa akina Aunt Ezekiel kuwapeleka kula kuku majuu,hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji
Itakua huyu 1000 digits alimpa Mbowe 'kila kitu' ndo maana roho inamuuma sana!Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787]. Ninachoweza kusema , Mbowe alikufanya kitu mbaya !! Si kwa chuki hiyo.
Nimechunguza posts za kwa wiki nzima. Daahh Mbowe anakutia hasira [emoji40]
Kila siku yeye na Mbowe. Hata kama uzi unawahusu wengine. Kama sasa swala la Nyalandu yeye hasira ni kwa Mbowe daahh !!Itakua huyu 1000 digits alimpa Mbowe 'kila kitu' ndo maana roho inamuuma sana!
Siasa sio chukiArudishe twiga wetu, huyu atatumia pesa ya umma kwa akina Aunt Ezekiel kuwapeleka kula kuku majuu,hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji
Alitumaini uzuri wake akafanya ukahaba... kwa wazuri na sura mbaya akafunua marinda sasa anatapa tapa!!Kila siku yeye na Mbowe. Hata kama uzi unawahusu wengine. Kama sasa swala la Nyalandu yeye hasira ni kwa Mbowe daahh !!