Uchaguzi 2020 Kudhaminiwa: Nyalandu apokelewa kwa kishindo Mbeya

Arudishe twiga wetu, huyu atatumia pesa ya umma kwa akina Aunt Ezekiel kuwapeleka kula kuku majuu,hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji

Unachemka Twiga hawajachukuliwa Nyalandu akiwa waziri no kabla😂. Jiulize hao wasanii wanaovaa kijani nani anawalipa?
 
Hongera sana Nyalandu. Ila kama unapoteza pesa vile.!!.


Mgombea Urais yuwaja yuko Rondo.
 
Aiseee
 
Ila huko chama chakavu huwa hamuoni matuc,na kila cku mnasema hayo matusi bt hamtaji hayo matuc zaidi ya ukweli mchungu mnaopewa
Kabisa mkuu, Nyalandu tangu ameanza harakati zake za kutafuta wadhamini hamna polisi hata mmoja aliyemsumbua. Yupo mstaarabu sana. CDM wajifunze kitu katika hilo. Siasa za kudhalilishana sio muda wake huu.
 
Kila siku yeye na Mbowe. Hata kama uzi unawahusu wengine. Kama sasa swala la Nyalandu yeye hasira ni kwa Mbowe daahh !!
Achana nao mbwa hao walamba makalio kwa ajiri ya vyeo pale lumumba
 
Hiyo yote ni mbinu ya kumuangusha Lissu. Naona Mbowe analitumia hili Kapi kuhakikisha Lissu hapiti kura ya maoni
 
Ukwel mchungu huu, kwao ukweli umekuwa matusi nw
 
Unazungumzia siasa hata katiba ya nchi huijui ?
 
Unatoa hoja kwa matusi halafu hutaki wanasiasa wawatukane wanasiasa wa upande mwingine!!!?
 
Tanzania hakuna mwanasiasa anaeporomosha matusi tena ya nguoni kama mwenyekiti wa CCM!

Naamini unamsema huyo kuwa ni mlevi na juha!
 
Ni sahihi wanaccm kutumia bunduki na utekaji dhidi ya wapinzani wao ila ni kukosa ustaarabu kwa wapinzani kujibu mapigo kwa maneno tu ?

Nyie watetezi wa ccm vichwani mwenu mmejaza mavi tu.
 
Wewe mwenyewe sio mstaarabu.....penye rangi nyekundu pana kuhusu......mpizania angetumia neno hilo, ungesema anatukana
 
(Nasema alishambuliwa kwa mateke ..hii ni kauli ya RPC Dodoma)
Pili unaposema wezi kua CHADEMA ni wezi na bila kua na aibu kua viongozi wa ccm wengi wameshiriki kwenye wizi wa mali au pesa za umma unafanya kosa la kutosema ukweli alafu huku ukimtaja Mungu bure.
Kuuzwa kwa nyumba za NHC ,ESCROW, RICHMOND,KAGODA,LUGUMI,LUGOLA,MANUNUZI YA NDEGE,RAMBI RAMBI ZA TETEMEKO nk apo pote washiriki ni wanaccm kwa aslimia 100%
NAOGOPA SANA WATU WASIOTAKA KUSEMA UKWELI ILI WAONEKANE WEMA MBELE YA WAOVU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…