nenda bank ukajionee,sio siasa zenu za majitaka mnazoimbiwa majukwaani na twitter kila siku.Kwenye utawala huu au ujao?!!
Utawala huu mtu Unaweza kufanya uamuzi wa kiofisi kesho yake ukafukuzwa kazi au ukaambiwa nyumba yako ipo kwenye hifadhi ya chemchem hivyo Ni ya kubomoa au hata ukashtakiwa kwa uhujumu uchumi.
kwani wao UK si wamechanja mkuu!Mimi nafikiri wamefanya vyema maana serikali pamoja na mambo yote haikupaswa kupuuzia swala la chanjo.... tulipaswa kuweka msimamo juu ya chanjo wala sio jambo baya...
Hakuna mtu aliyekulazimisha kutumia chanjo yao, wao hawataki uende kwao kwani kuna shida.wao kama UK wanaamini chanjo yao,wajikite kuwapa raia wake,maisha ya wengine hayawahusu.
Unafikiri hatujui na hatuoni? Au kwa vile tumekaa kimya?nenda bank ukajionee,sio siasa zenu za majitaka mnazoimbiwa majukwaani na twitter kila siku.
Vyote vinatakiwa mzee...chanjo na takwimu..kwani wao UK si wamechanja mkuu!!!
hawaiamini chanjo ama??
unaona sasa bussness imegeukia kwenye chanjo,hawataki takwimu tena!!!!
Sasa hiyo variant yupo south africa na kwa watani zetu, lakini tumekuwa singled out among all southern African countries , hapa ndio tatizo lilipo.Issue siyo Coronavirus tena, ni variant ya Coronavirus.
Chukua tahadhari bila kushurutishwa. Uhai ni mali yako siyo mali ya serikali.Lakini hii sirikali yetu inachekesha sana, ni kweli maambukizi ya korona sio makubwa nchini...kuna ubaya gani wa kutoa data za hao wagonjwa?!.
Wewe umekatazwa kuvaa barakoa?Hahaa kwahiyo kazi yetu ni kusubiri wengine wagundue dawa, sisi tunafanya jitihada gani hata za kuzuia kusambaa kwa ugonjwa kwani hata barakoa tu rais haonyeshi mfano wa kuvaa au maombi yanatosha.
bahati mbaya wamekutana na watu wanaofikiri kabla ya kufata mkumbo.
cha kushangaza utakuta kati ya walii 10 wanaoshuka viwanja vya ndege 5 wanatoka UK,jiulize wanakujaje nchi hatari kwa afya zao??
nakumbuka hata US kipindi inatangaza raia wake warejee ubarozi ili iwarudishe nyumbani,hakutokea hata mtu mmoja maana nyumbani hali ilikuwa inatisha.
Siku zote huwa nasema chadema mnajidharau sana sijui kwanini,Kwa hiyo lumumba mnataka kushindana na UK? Mnafikiri hao Ni ACT? Siyo kila Vita Ni ya kupigana, nyingine unaziepuka hata kwa kutumia style ya mbuni...unafukia kichwa mchangani kiwiliwili nje unajifanya hujui.
Wee hao watu wapo wanaangalia namna gani ya kuhamishia makazi yao mwezini wewe hata matundu ya choo mashulen bado halafu eti uvimbishane nao msuli!!!!
Ngoja kwanza wapige pin afta pin akili zitakaa sawa tu.
Mungu ndio kila kitu"Tumeishinda corona kwa maombi na kujifukiza au nasema uongo ndugu zangu" π€£
Huyu mtu ni disaster
Mitano tena
Usije ukashangaa Mungu anakugeuzia kibao wewe mwenyewe usiye mwelewa Mungu.Imebaki tu kwa jiwe kuugua na kufa ndio utakuwa mwisho wa kudharau ugonjwa huu.
Mitano mingine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au nasema uongo ndugu zangu?
Ahahaaaa hasira haisadii Mkuu.Siku zote huwa nasema chadema mnajidharau sana sijui kwanini,
Hao wazungu ni Mungu? Si ni binadamu kama wewe? Sasa hii kuwatetemekea unayoonesha hapa wakija kwenye familia yako na kutaka wawale kigabo wote utakataa kweli?
Kumbe hata watu ambao hizi tanzia zinazopelekea nyuzi hizi nao wanaishi?
Ama kweli stajaabu ya Mussa!
Kama Wana Nia ya kututawala kupitia magonjwa kwani ugonjwa Ni korona tu? Ni ugonjwa upi ambao sisi tuna uwezo wa kuushughulikia bila wao kwa maana ya Kinga, dawa, tafiti nk? Taja hata mmoja tu ambao hatuwategemei wao.Rasmi nasimama na rais wangu, mabeberu hawafai na wanatumia corona kutaka kututawala.. Rais endelea na msimamo nakuunga mkono na katika maeneo nitakayokuwa naelezea jinsi ambavyo mabeberu hawafai.