Kudorora mapokezi ya Rais Samia kutoka Marekani Tatizo limeanzia hapa...

Watanzania ni waelewa sana, kama hawapendi kitu wanakaa kimya!
Kwenye hotuba yake amesahau kuuambia Ulimwengu
"nimekuja kujitambulisha" bila kusahau jinsia yake!
Ziara zake zote ni hasara tu, kama nchi tumeliwa
😅😅😅Tumepigwa
 
wewe njaa inakuuma, ukipewa kitengo unasaliti watu watz tunawajua.
 
Hii kesi ya mtuhumiwa wa ugaidi iendelee kwa kasi na wanasesere na wajivuni hawa mawakili wa mbowe wapuuzwe. Wanajaribu muukoa gaidi on technicalities. Huu ulissu usiwe na nafasi. Lazima kesi iamuliwe kwa ushahidi wa kesi yenyewe.. tusije acha magaidi wapate kichwa na kufikia hali ya kule kivu congo na mozambique.
 
Hamza Gaidi wa Vitendo alikuwa kada na mfadhili wa CCM. Unasemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…