- Thread starter
- #121
Unga wa dona??Mambo ya unga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unga wa dona??Mambo ya unga
😅😅😅TumepigwaWatanzania ni waelewa sana, kama hawapendi kitu wanakaa kimya!
Kwenye hotuba yake amesahau kuuambia Ulimwengu
"nimekuja kujitambulisha" bila kusahau jinsia yake!
Ziara zake zote ni hasara tu, kama nchi tumeliwa
Ahaaa🤣🤣🤣 nimetania tu Mkuu....Hahhaaaa usiogope.
Simoni alimkata mtu sikio.
HaahhahaApokelewe kwani ni Mgeni au hajui anapoenda?. Wazee wetu walimchangia Nyerere alipoenda kuhutubia huko mambele na Dunia ikatisika SASA huyu kubwa aliyofanya ni kupiga picha na Mange.
Hata wale wazee wa Darisalam hawajaenda kumpokea?
HahahahaaHahhaa Diaspora tunayohubiliwa kila siku ndio ile ya Mange kweli??
Yaani watu nao kwa kutaka kukuza mambo!!sasa kuna kitu gani cha ajabu kwenye ile hotuba hadi mtu anasema ni ya ki historia?na anatakiwa kupongezwa!!!na kupokelewaHahahahah yeye aje tu hapa ni kwao na yeye ni raia namba 1 hakuna asiyelifahamu hilo
wewe njaa inakuuma, ukipewa kitengo unasaliti watu watz tunawajua.Sote ni mashahidi tangu juzi kuna kakikundi ambako sidhani kama ni watanzania kweli au wachumia tumbo tu wanaolipwa kushibisha nafsi zao au la!
Tangu juzi tumeshuhudua kukurukakara za hapa na pale za kutaka kuaminisha watanzania wachache kuwa Rais Samia Suluhu alitoa hotuba ya kihistoria. Ile ni hotuba ya kawaida sana.
Kwanza niwajulishe tu walioona na kusoma hotuba ya Rais ni watanzania wachache tena wanasiasa ambao wana access ya Mitandao ya kijamii. Huko vijijini na mikoani wala hawama habari na kinachoendelea. Wengi ktk mikoa ya kanda ya ziwa na magharibi hiki ni kipindi cha kuandaa mashamba ya kilimo ktk msimu wa mvua ujao.
Hata hivyo kumekuwa na jitihada za kutaka kulikuza jambo hili kwa kile kilichoandaliwa kama mapokezi ya Rais kutoka Marekani.
Mbali na vijitangazo vidogo vidogo sijaona tukio lolote mahali popote likishangiliwa na watanzania. Sijaona Tv wala mtandao wa social media hata ule wa vijigazeti la chama.
Watanzania wamesusa. Wamesusa kwa sababu hawafurahishwi na kinachoendelea nchini
Matukio ya kubambikiza watu kesi za ugaidi yamewachukiza sana watanzania wapenda amani, haki na maendeleo. Watanzania wamekatishwa tamaa na namna nchi inavyoendeshwa kupitia Tozo na kodi lufufu.
Watanzania hawawezi kufurahia tukio la Mtu na kikundi cha watu wachache kwenda marekani huku wakiacha uvunjifu mkubwa wa haki za kikatiba kama uhuru wa vyombo vya habari, haki za kukusanyika na kufanya shughuli za kisiasa na uchumi.
Nimuombe Mama Rais Samia Suluhu hajachelewa. Arekebishe mienendo yake ya utawala. Ajikite kulinda haki za wananchi makundi yote wakulima, wafugaji, wafanyabiashara, watumishi wa umma na wanasiasa.
Akifanya hivyo hatahitaji nguvu kubwa kusherehesha watanzania. Wakiwa na Furaha watampokea mgeni bila kutumwa.
Si Whatsapp, twitter, facebook, youtube wala instagram huoni shamra shamra. Wikendi imepoa sana kama hakuna kitu.
Eti mvuto. Au mpaka awe na chura ndo uamini ana mvuto...Maza hana mvuto.
..Maza hana hoja.
..Maza hana rekodi ya utendaji.
Hahaha watz wenyewe wakutetea wako wapi?wewe njaa inakuuma, ukipewa kitengo unasaliti watu watz tunawajua.
Zaidi ya Kubebwa tu na mfumo dhalimu...Maza hana mvuto.
..Maza hana hoja.
..Maza hana rekodi ya utendaji.
😅😅😅historicalYaani watu nao kwa kutaka kukuza mambo!!sasa kuna kitu gani cha ajabu kwenye ile hotuba hadi mtu anasema ni ya ki historia?na anatakiwa kupongezwa!!!na kupokelewa
Zaidi ya Kubebwa tu na mfumo dhalimu.
kweli..hata Znz hakuonekana anafaa, vinginevyo CCM wangemteua kumrithi Dr.Shein.
Hii kesi ya mtuhumiwa wa ugaidi iendelee kwa kasi na wanasesere na wajivuni hawa mawakili wa mbowe wapuuzwe. Wanajaribu muukoa gaidi on technicalities. Huu ulissu usiwe na nafasi. Lazima kesi iamuliwe kwa ushahidi wa kesi yenyewe.. tusije acha magaidi wapate kichwa na kufikia hali ya kule kivu congo na mozambique.Sote ni mashahidi tangu juzi kuna kakikundi ambako sidhani kama ni watanzania kweli au wachumia tumbo tu wanaolipwa kushibisha nafsi zao au la!
Tangu juzi tumeshuhudua kukurukakara za hapa na pale za kutaka kuaminisha watanzania wachache kuwa Rais Samia Suluhu alitoa hotuba ya kihistoria. Ile ni hotuba ya kawaida sana.
Kwanza niwajulishe tu walioona na kusoma hotuba ya Rais ni watanzania wachache tena wanasiasa ambao wana access ya Mitandao ya kijamii. Huko vijijini na mikoani wala hawama habari na kinachoendelea. Wengi ktk mikoa ya kanda ya ziwa na magharibi hiki ni kipindi cha kuandaa mashamba ya kilimo ktk msimu wa mvua ujao.
Hata hivyo kumekuwa na jitihada za kutaka kulikuza jambo hili kwa kile kilichoandaliwa kama mapokezi ya Rais kutoka Marekani.
Mbali na vijitangazo vidogo vidogo sijaona tukio lolote mahali popote likishangiliwa na watanzania. Sijaona Tv wala mtandao wa social media hata ule wa vijigazeti la chama.
Watanzania wamesusa. Wamesusa kwa sababu hawafurahishwi na kinachoendelea nchini
Matukio ya kubambikiza watu kesi za ugaidi yamewachukiza sana watanzania wapenda amani, haki na maendeleo. Watanzania wamekatishwa tamaa na namna nchi inavyoendeshwa kupitia Tozo na kodi lufufu.
Watanzania hawawezi kufurahia tukio la Mtu na kikundi cha watu wachache kwenda marekani huku wakiacha uvunjifu mkubwa wa haki za kikatiba kama uhuru wa vyombo vya habari, haki za kukusanyika na kufanya shughuli za kisiasa na uchumi.
Nimuombe Mama Rais Samia Suluhu hajachelewa. Arekebishe mienendo yake ya utawala. Ajikite kulinda haki za wananchi makundi yote wakulima, wafugaji, wafanyabiashara, watumishi wa umma na wanasiasa.
Akifanya hivyo hatahitaji nguvu kubwa kusherehesha watanzania. Wakiwa na Furaha watampokea mgeni bila kutumwa.
Si Whatsapp, twitter, facebook, youtube wala instagram huoni shamra shamra. Wikendi imepoa sana kama hakuna kitu.
Hamza Gaidi wa Vitendo alikuwa kada na mfadhili wa CCM. Unasemaje?Hii kesi ya mtuhumiwa wa ugaidi iendelee kwa kasi na wanasesere na wajivuni hawa mawakili wa mbowe wapuuzwe. Wanajaribu muukoa gaidi on technicalities. Huu ulissu usiwe na nafasi. Lazima kesi iamuliwe kwa ushahidi wa kesi yenyewe.. tusije acha magaidi wapate kichwa na kufikia hali ya kule kivu congo na mozambique.
Poleni. Habari ndio hiyoHatukupata habari simu bando ilikata kifurushi bei juu
Africa ipi?Hizo ni story tu za kumchafua shujaa wa Africa
Ccm ni ile ile hamna kipyaKwani ccm wana kazi nyingine zaidi ua hizo??
Juzi tu kuapisha Rais wa Zambia Kamati kuu ya ccm yote imebebwa🥰😅