Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Sekenke ni mchumba tu, kuna ukorofi wa barabara na tochi za kutoshea kuongeza mafuta ya nusu safari ukiwa unarudi DarAu nipite tabora niikwepe ile sekenke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sekenke ni mchumba tu, kuna ukorofi wa barabara na tochi za kutoshea kuongeza mafuta ya nusu safari ukiwa unarudi DarAu nipite tabora niikwepe ile sekenke
Mwanza hapo tu.. piga gia mzee
Amka saa 10 uanze safari saa 2 unywe chai Dodoma. Saa 10 ule msosi wa mchana Mwanza.
Dar to Mwanza, zaid kidogo ya km 1000.. kama ni mara yako ya kwanza naomba fanya yafuatayo.. ukiacha usalama wa chombo.
1. Pata usingizi wa kutosha kabla ya safari
2. Vunja safari katikati... ni vizuri ukalala Singida
3. Usikubali kwa namna yeyote kushawishiwa kuendesha gari usiku ukiwa umechoka
4. Usikubali ku overtake bila tahadahari ya kutosha.
5. Nenda taratibu, max 100km/hr..
6.Beba carton ya maji makubwa na uyanywe taratibu.
7. Macho kwenye sahani ... angalia taa zote za tahadhari, usikubal hata moja iwake, na ikiwaka paki pembeni kwenye usalama tafuta fundi.
8. Fuata alama za barabarani...
9. Usiendeshe kwa hofu ya maaskari barabarani, wapo kwa usalama wako
10.Mwisho na sio kwa umuhimu, Sali kabla ya safari, Mungu akutangulie.
Mie nikiondoka Dar saa 9 usiku.. Mpk kufika saa 7 mchana nakula msosi MwanzaHapana hii noma
Mie nikiondoka Dar saa 9 usiku.. Mpk kufika saa 7 mchana nakula msosi Mwanza
Huyo dereva mtoto anaweza pishana na Malory ya cement na mafuta mkuu?Max 100 km/h kama atalala singida inatosha Ila kama anataka kutoboa bila Kulala hiyo speed ni ndogo Sana na inachosha..
Safari ndefu kama hiyo huwa nagonga 130 - 170
Blind corner inaonesha ndiyo. Bumps na other road sign unatakiwa kuzizingatia.Hiyo gogo mapu inaonyesha pia pia bampusi, mashimo na bulaindi kona zilipo...😳
Rest in peace mkuu!Safari ndefu kama hiyo huwa nagonga 130 - 170
Hii ndiyo safari sasaGari ikiwa nzima unaingia unawasha nankwenda mi huwa sifanyi maandalizi yoyote huwa nakagua tu km zilizobakia kabla ya service na huwa naenda maramoja kila baada ya miezi3. Gari yangu passo pasua, safari huwa naanza saa 12 jion na saa 5 asubuhi huwa nipo dar
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Shangazi amefariki?Misigiri shangazi alikuwa anatoa msosi mmoja hatari.. apumzike salama huko alipo aise.. yani apumzike anapo stahili.. ilikuwa bufeee moja la hatari...[emoji28][emoji28] makuku masaki
Gari yako ni aina gani mkuu?Mie nikiondoka Dar saa 9 usiku.. Mpk kufika saa 7 mchana nakula msosi Mwanza
Ha ha ha inategemea unatumia chuma gani.Mie nikiondoka Dar saa 9 usiku.. Mpk kufika saa 7 mchana nakula msosi Mwanza
Altezza 3sGte... zile Qualitat Version (Limited Edition)Gari yako ni aina gani mkuu?
Kibaigwa hadi chamwino kuna sehemu inaitwa Manchali, kuna rasta zinazoweza kuharibu gari!!.1. Hakikisha unafanya service ya engine.
2. Hakikisha unakua na spare tyre.
3. Hakikisha unakua na wheels spaner, Jeki, Pembe tatu, fire extinguisher.
4. Hakikisha gari ina bima na kadi ya ukaguzi.
5. Kutoka Dar to Morogoro jitahidi kua makini sana kwasababu kidogo lami imejisokota na kuna tochi nyingi pia kua makini na magari makubwa yanayo paki karibu na barabara hasa kuanzia Chalinze, Gairo na Dumila.
6. Ukisigea Pandambili to Kibaigwa pale tembea mwendo wa haja wala usiwe na shaka.
7. Kutoka Kibaigwa hadi Chamwino barabara ipo vizuri ila kua makini pale Mtanana karibu na Nako hua kuna Trafic wanaweka kizuizi cha kizushi nabhawaeleweki wale, lakini barabara ipo njema hadi unaingia Dodoma.
Njia ya itigi ni ndefu zaidi ya kunyoosha singida mkuu!!Ukifika manyoni pitia tabora ndio shortcut achana na Singida
kwa gari ghani unafika 170Max 100 km/h kama atalala singida inatosha Ila kama anataka kutoboa bila Kulala hiyo speed ni ndogo Sana na inachosha..
Safari ndefu kama hiyo huwa nagonga 130 - 170
Toyota Rumion kiongozi.....kwa gari ghani unafika 170
Soma hii thread zaidi ya mara moja | Tahadhari kali kwa nyote mlio na magari binafsi; chunga sana na waambie wengine! | Utajifunza mambo mengi sana.Kwamara ya kwanza mwisho wa mwez huu nimepanga ksafir umbali mrefu kwakutumia usafir binafsi Dar to Mwanza.