Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mkuu, huyo alikua mgeni wa niia.Dah umetaja nala dodoma nikakumbuka almanusura yule mbwa atuulie kwenye harrier pale kwenye makutano ya barabara yenye traffic light maeneo ya uwanja wa jamhuri pale . Dah
Lakini pia kutokea Misigiri hadi Igunga njia inavishimo chokozi sana, na kutoka Igunga hadi Nyandekwa to Ziba kwasasa hapafai kabisa ile barabaraUkifika manyoni pitia tabora ndio shortcut achana na Singida
Misigiri shangazi alikuwa anatoa msosi mmoja hatari.. apumzike salama huko alipo aise.. yani apumzike anapo stahili.. ilikuwa bufeee moja la hatari...😅😅 makuku masakiLakini pia kutokea Misigiri hadi Igunga njia inavishimo chokozi sana, na kutoka Igunga hadi Nyandekwa to Ziba kwasasa hapafai kabisa ile barabara
Basi kuanzia leo anza kunisalimia kama uncle...🤨Misigiri shangazi alikuwa anatoa msosi mmoja hatari.. apumzike salama huko alipo aise.. yani apumzike anapo stahili.. ilikuwa bufeee moja la hatari...😅😅 makuku masaki
Aaah! Ankoo 🙂Basi kuanzia leo anza kunisalimia kama uncle...🤨
R.i.P Shangazi....😪
huyo mshenzi ni mwenyeji .Sema siku hiyo alikuwa maji dah. Nikikumbuka yaani. Tulikuwa tukusanywe kwa pamoja chini ya kichanja cha trailer iliyokuwa imebeba containerPole sana mkuu, huyo alikua mgeni wa niia.
Kiukweli pale panachanganya sana waendeshaji wengi
Nitaendelea kukupa udambwi udambwi kama utasema unataka kupitia Itigi, Tabora, Isikizya, Nzega to Mwanza..... ama utapitia Ikungi, Singida, Shelui, Ingunga, Nata, Nzega to Mwanza.umemaliza big bro🙏
Kata vipande ili upumnzike la sivyo tuanze kuandaa R.I.P mapemaaaKwamara ya kwanza mwisho wa mwez huu nimepanga ksafir umbali mrefu kwakutumia usafir binafsi Dar to Mwanza. Naomba muongozo kipi cha kuzingatia hasa ili kupunguza mazonge njiani hususani issue ya service ya chombo chenyew?
Hiyo gogo mapu inaonyesha pia pia bampusi, mashimo na bulaindi kona zilipo...😳Mimi kama namabio natumia sana Google map. Maeneo yote yenye slow traffic inaonesha hivyo ni rahisi kujua wapi wazee wapo.
Nitaendelea kukupa udambwi udambwi kama utasema unataka kupitia Itigi, Tabora, Isikizya, Nzega to Mwanza..... ama utapitia Ikungi, Singida, Shelui, Ingunga, Nata, Nzega to Mwanza.
Nitaendelea kukupa udambwi udambwi kama utasema unataka kupitia Itigi, Tabora, Isikizya, Nzega to Mwanza..... ama utapitia Ikungi, Singida, Shelui, Ingunga, Nata, Nzega to Mwanza.
Kama ni mara yako ya Kwanza kufanya safari ndefu jikaze kiume maana mziki wa kutoka DAR - MWANZA tunaweza wachache sanaaa..
Jitahidi uanze safari yako usiku kuanzia saa nne Hadi tano kama sio mzoefu wa usiku Toka DAR SAA 10 usiku uanze safari yako
Nakushauri upitie Tabora to Nzega kuliko Singida to NzegaNitanyoosha pale Tabora naona kama mbali hiv