Kudrive umbali mrefu


Hapa umesomeka
 
We andaa pesa tu ya kulipa faini au kuhonga huko barabarani. Wale jamaa hawakwepeki.

Kisha kuwa makini sana na mabasi, hao watu Wana fujo sana kwa magari madogo.
Piga hata ka-redbull kukukeep alert.
 
Mimi route yangu ndefu kusafiri na private car ni Dar - Songea - Mbinga ila nilivunja safari katikati nikalala Tunduru (nilipita njia ya Lindi). It was the best experience ever!
 
Kibaigwa hadi chamwino kuna sehemu inaitwa Manchali, kuna rasta zinazoweza kuharibu gari!!.

Mtumba mpaka Ihumwa kuna upanuzi wa barabara, ujenzi huo umefanya njia iwe nyembamba sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…