Elections 2015 Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa...


mkuu,
sio kwamba EL hafai bali ukweli ni kwamba mpaka sasa wanaccm wote wanaoutaka uraisi hawafai!
Wote waliojitokeza kuwania uraisi hawafai, wanaofaa hawajajitokeza
 
mkuu,
sio kwamba EL hafai bali ukweli ni kwamba mpaka sasa wanaccm wote wanaoutaka uraisi hawafai!
Wote waliojitokeza kuwania uraisi hawafai, wanaofaa hawajajitokeza

Sio kwamba wanaofaa hawajajitokeza bali hawajazaliwa na kama wamezaliwa basi walishakufa(mf,sokoine)
 
Tumekusikia ndugu kuwa wewe humtaki Lowassa. Tueleze wewe unadhani ni nani akipitishwa na CCM itapata ushindi wa kishindo.
 
Sio kwamba wanaofaa hawajajitokeza bali hawajazaliwa na kama wamezaliwa basi walishakufa(mf,sokoine)

mnaota ndoto moja kwa pamoja... Wakuu sio wote wanaojazana kwenye mikutano ya chadema watakipigia kura, wengine wanaenda tu kushaangaa ile ndege yenu ndogo
 


Hawa ndiyo wanakaopokezana vijiti.

Cc; Pasco,
 
Last edited by a moderator:
mkuu,
sio kwamba EL hafai bali ukweli ni kwamba mpaka sasa wanaccm wote wanaoutaka uraisi hawafai!
Wote waliojitokeza kuwania uraisi hawafai, wanaofaa hawajajitokeza

ccm ina kawaida ya kumpata mgombea urais ambaye anakubalika na watanzania wengi. tulieni maana Rais ajaye atakubalika na watu wengi ndani na nje ya ccm
 
Tanzania wanaopiga kura ni UWT. Ndio wenye maamuzi nani awe Rais, nchi ya ajabu sana hii.
 
Tumekusikia ndugu kuwa wewe
humtaki Lowassa. Tueleze wewe unadhani ni nani akipitishwa na CCM
itapata ushindi wa kishindo.

msianze kumjadili na kumshinikiza ili ataje anayemtaka. yeye ametahadhalisha tu hatari ya ccm kumsimamisha lowasa
 
Tanzania wanaopiga kura ni UWT. Ndio wenye maamuzi nani awe Rais, nchi ya ajabu sana hii.

una maana gani mkuu? yaani Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) pekee ndo wenye mamlaka ya kumteua Rais?
 
Tumekusikia ndugu kuwa wewe humtaki Lowassa. Tueleze wewe unadhani ni nani akipitishwa na CCM itapata ushindi wa kishindo.

Tata nadhani hujanisoma vizuri na kunielewa.
Hakuna mahali nimesema namtaka au simtaki Lowassa ila nimeonyesha uwezekano wa Lowassa kuwa mgombea Urais wa CCM 2015 na uwezekano wa CHADEMA kutushinda kirahisi.

Hoja yangu sio nani anatufaa wanaCCM ili kuwashinda CHADEMA bali nimetoa tahadhari tu kuwa Mgombea wetu wa urais mtarajiwa(Lowassa) ni dhaifu sana kuweza kupambana kisiasa dhidi ya nguvu na kasi ya sasa ya CHADEMA.

Njia bora kwa chama changu kwa sasa ili kupata mgombea bora ni kuruhusu 'siasa safi' zianze kufanyakazi ndani na nje ya CCM. Kwa njia hiyo labda huenda litawaibua watu wema na wazuri kutaka kugombea urais.
Huenda hata mimi au wewe tukawa tunafaa tu!!
 
Last edited by a moderator:
Nyie fanyeni yenu bhana,muwekeni Sisco,Six au Mende lkn sisi tunachojua ni kwamba 2015 hamna chenu ni kuwazombea tuu magerezani na ningewashauri mjenge magereza mapya kabisa maana haya yaliyopo hayatatosha...
 
mnaota ndoto moja kwa
pamoja... Wakuu sio wote wanaojazana kwenye mikutano ya chadema
watakipigia kura, wengine wanaenda tu kushaangaa ile ndege yenu
ndogo

ni heri mara mia wananchi wanaokuja na kujazana kwenye mikutano kuja kushangaa 'ndege' kuliko wananchi wanaosombwa na malori na kuahidiwa posho ili wahudhurie mikutano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…