Kuelekea Dar Derby VPL Simba SC dhidi ya Yanga SC, One Touch Operation 3 Points

Kuelekea Dar Derby VPL Simba SC dhidi ya Yanga SC, One Touch Operation 3 Points

Kwanini nifurahi mkuu....kwani huyo tariq mwanandondo.....
Na karateka lamine Moro wana kiwango gani?....
Huyo Lamine Morogoro....sijui....si alikuja kwetu kuomba kibarua tukamnyima kwenu dhahabu....
Mkuu ntajie mchezaji wenu anayeweza kupata namba kwenye timu namba kumi na sita kwa ubora Afrika SIMBA SC
Na hivi hamnaga uvumilivu,mnaweza kumuwamba makofi huyo mwalimu kiazi wenu hapo kesho
 
Kesho unaweza ukaishia katikati kutangaza mpira humu. Au unaweza usitangaze kabisa
Kesho wapi tena...hujui kesho ni tarehe 5 saizi ni saa 00:14 inamaana ile tarehe nne iliyokua ikisubiriwa ndio leo

Nione kama kelele za chura zinaweza kumzuia simba kunywa maji
 
Kiukweli Huwaga Naburudika Sana Pale Tushabiki Tunatojiita Twananchi Tukianza Kuzimia Baada Ya Kutusuliwa Goli Na Mnyama! Yaan Mie Nafurahi Wazimie Hata Wote! Aaf Kwa Dhihaka Mashabiki Wa Mnyama Wanawazomea Huku Wanawaangalia Usoni! Nikitendo Kinacho Kera Hasa Kama Umefungwa Na Ulikua Namatumaini Yakushinda!
"SIMBA TAIFA KUBWA"
 
Mkuu kwahivyo nyie ndo mnajua eeh akina Molinga na Kalengo na Sadney ila akina Kagere, Chama na Miquissone ni wabaya ha ha ha

Tutaelewana tu, One Touch Operation 3 Points
Kwani nyie huwa mnajua wachezaji wazuri na wabaya? Si huwa mnaunda zengwe tu basi mnafukuza mchezaji?
 
Kiukweli Huwaga Naburudika Sana Pale Tushabiki Tunatojiita Twananchi Tukianza Kuzimia Baada Ya Kutusuliwa Goli Na Mnyama! Yaan Mie Nafurahi Wazimie Hata Wote! Aaf Kwa Dhihaka Mashabiki Wa Mnyama Wanawazomea Huku Wanawaangalia Usoni! Nikitendo Kinacho Kera Hasa Kama Umefungwa Na Ulikua Namatumaini Yakushinda!
"SIMBA TAIFA KUBWA"
Umetisha mkuu, embu ongeza Volume kidogo wasikie..[emoji23][emoji23]
 
Scars makovu sio tatuu za young mula, vitani silaha mbele tushawakalisha hawa vyura...
255758025420_status_f726d74f3f0447c4a2232adfcdad6b2c.jpeg
255758025420_status_0e25f99f52ad4654b209502a5fca5081.jpeg


It's Scars
 
Habari mbaya upande wa pili, sisi tunaongeza majeshi wao hawana hata dalili.....
255765582837_status_be043eaac3e94b7abe775988f55c21a5.jpeg
255765582837_status_a57b2d032b9648a391ee09a4d0ab49c5.jpeg
255765582837_status_08f595545ac342ebb41fb20f590643cc.jpeg


It's Scars
 
Back
Top Bottom