Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia na subiri wakati ufike.Vichezaji gani vya kufanya horror show? Hivi vya kurukaruka tu cjui vikina kashata,cjui kanda bongomani?
Mkuu tuonee huruma sisi Vyura tufungeni angalau 5 tu zitatutosha.Hua nachugiaga simba akimfunga gongowazi goal moja naumia kwel, vyura inabdi wafe hata goal,7
Kwa kikosi hiki yeboyebo aka mbute mbute aka gongowazi wameshakufa mapema sanaaMungu ibariki simba Sports Club mnyama mkali kabisa msituni View attachment 1312208
Sent using Jamii Forums mobile app
Hi mechi wenye maamuzi nayo ni hawa wash ezi wa sports pesa na M pesa.Hello Hello!
Kuelekea Ligi Kuu Tanzania Vodacom Premier League VPL Jumamosi January 4, 2020 utapigwa mchezo wa watani wa jadi (Dar Derby), ambapo mabingwa wa nchi Simba SC mnyama mkali, wanawakaribisha Yanga SC kwenye Uwanja wa Taifa.
Mchezo ambao unatarajiwa kuwa mkali na wa kusisimua kwa muda wote hasa ukizingatia ni mchezo wa kwanza kwa watani wa jadi kukutana kwa msimu huu wa Vodacom Premier League VPL 2019/2020.
Simba SC, inaongoza ligi kwa alama 34, dhidi ya Yanga SC yenye alama 24 wanataka kuwahakikishia Wanasimba na Wadau wa soka kwamba hawaongozi ligi kwa bahati mbaya bali kutokana na uwezo wa kikosi chao ambacho kimesheheni nyota wengi wenye uwezo mkubwa wa kupata ushindi pamoja na kutoa burudani uwanjani.
Yanga SC, kutaka ushindi mchezo huu, wana kikosi cha kawaida sana pia wana shida nyingi ndani na nje ingawa kwa sasa wanajitahidi kupunguza shida hizo, lakini kila mmoja anajua kwamba kuna matatizo ya wachezaji kudai mishahara pamoja wengine kuvunja mikataba yao.
Watu wanaofuatilia kandanda wanajua kwamba kwa sasa ukitaja timu bora hapa nchini Tanzania ni Simba SC, yenye uwazo mkubwa wa kiuchumi hivyo basi kupelekea kuwasajili wachezaji mahiri wenye kuamua matokeo ya ushindi uwanjani.
Wanasimba jongea hiyo January 4 2020 kushuhudia kandanda safi lililothibitishwa na shirikisho la soka Afrika CAF kutoka kwa Simba SC, One Touch Operation 3 Points, Kulitaka Mwana, Kulipewa Mwana
SimbaNguvuMoja Next LevelView attachment 1310739View attachment 1310740View attachment 1310742
Ukiupata niite pleaseUzi wa hii mechi live ndo upi? Msaada
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka sanaMkuu hii mechi inapresha,we fatilia tu humu utapata update. Hakuna anayetaka kuzimia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unasemaaaa