Kuelekea Derby ya Simba na Young Africans, hebu tuangalie hii tofauti kati Kocha Robertinho na Gamondi

Kuelekea Derby ya Simba na Young Africans, hebu tuangalie hii tofauti kati Kocha Robertinho na Gamondi

Uchambuzi mzuri sana mkuu.
Nikuongezee kitu.

Silaha kubwa kuliko zoye ya kudefence (kujilinda) ni kushambulia.

Silaha kubwa ya pili ni kumiliki mpira.

Hakuna kocha asiyependa kuona timu yake inapiga pasi nyingi sana ianashambulia kwa kasi ,kumiliki mchezo na ku udominate possesion kwa asilimia 80 kwa 20.

Ni wachezaji wenye uwezo mbovu alionao ndio wanamfanya abadili mfumo na kuita Objective football
Wachezaji kama kibu, saido, kanute uwezo wao wa kupiga pass ni mdogo sana wanapoteza mpira kila mala
( Ila workrate yao ni kubwa zaidi uwanjani ndio wachezaji wagumu zsidi uwanjani na wapo kila sehemu.

Nadhani simba watafanya sajili Dirisha Dogo ili kiweza kurudi kwenye ubora wao
Wakipata kiungo kama Lwanga na no 10 wa kuchukua nafasi ya Saido watakuwa na timu nzuri zaidi.

Karibu
Umesema vizuri ila Kanoute umemuonea. Halafu Mwamba karudi poa sana. Aucho akiwa na Putin shughuli huijua.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Uchambuzi mzuri sana mkuu.
Nikuongezee kitu.

Silaha kubwa kuliko zoye ya kudefence (kujilinda) ni kushambulia.

Silaha kubwa ya pili ni kumiliki mpira.

Hakuna kocha asiyependa kuona timu yake inapiga pasi nyingi sana ianashambulia kwa kasi ,kumiliki mchezo na ku udominate possesion kwa asilimia 80 kwa 20.

Ni wachezaji wenye uwezo mbovu alionao ndio wanamfanya abadili mfumo na kuita Objective football
Wachezaji kama kibu, saido, kanute uwezo wao wa kupiga pass ni mdogo sana wanapoteza mpira kila mala
( Ila workrate yao ni kubwa zaidi uwanjani ndio wachezaji wagumu zsidi uwanjani na wapo kila sehemu.

Nadhani simba watafanya sajili Dirisha Dogo ili kiweza kurudi kwenye ubora wao
Wakipata kiungo kama Lwanga na no 10 wa kuchukua nafasi ya Saido watakuwa na timu nzuri zaidi.

Karibu
Huyo simba mwenye wachezaji wabovu na wasiojua kupiga pasi, ndio hao wanaoongoza kwa kupiga pasi nyingi katika ligi na ni wao pia waliocheza mechi chache zaidi lakini pia ni timu pekee haijapoteza mchezo ligi kuu na haina drooo. Usijudge kishabiki embu jaji mpira kwa haki
 
Mpira haupo hivyo mkuu.
Gamondi ndie anaiogopa zaidi simba ameenda zaidi ya mala tatu uwanjani kuisoma.

Gamondi ana Deni la kupoteza mchezo Muhimu wa ngao ya jamii uliopita na kumpa simba ubingwa pia amepoteza mchezo wa Ligi na Ihefu.

Robertinho ana Muda mrefu na simba.
Hajawahi kufungwa na Yanga tangu uganda.

Timu yake ina Avantage imecheza michezo mikubwa hapa karibuni ni zoezi zuri kuelekea Dabi
Kutoa sale na Alhly michezo miwili hiyo timu si ya kubeza.

Kiutaalam simba ni Favourate zaidi.
Michezo miwili ya kimataifa imefunga na kufungwa goli 6.Na kutoa sare michezo miwili na timu ya kawaida Power Dynamo,ni kweli siyo timu ya kubeza!.
 
Michezo miwili ya kimataifa imefunga na kufungwa goli 6.Na kutoa sare michezo miwili na timu ya kawaida Power Dynamo,ni kweli siyo timu ya kubeza!.
We jamaa Power dynamo ni timu ya kawaida kweli ebu tuwape heshima wapinzani
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Kwa mimi ninavyoona pira la robertinho ndo pira hasa
Najua kuna watu mnapenda pira la kukaa na possesion muda pira mapasi kibao muda wote ila muda unasogea mbinu mpya zinakuja

Mambo ya lwb,rwb,false nine, fox in the box hayakuwepo ila baadae yakawepo

Robertinho navyoona mimi distinct feature ya timu yake ni kupress anapenda wachezaji wapress kwanzia move ya kwanza ya mchezaji pinzani anapaoanza tu kupiga pasi basi utamuona namba 9 anaenda kumfata mchezaji pinzani na press inakua imeanza

Sasa kwanini hatuchezi pira biriani?

wakati tunapress ili effective pressing ifanyike inabidi mchezaji mmoja akae na mtu wake kwa sababu kwa njia hiyo unalazimisha makosa ya wachezaji wakosee kwa kupiga pasi za haraka bila ya muda wa kufikiri inshort unalazimisha mpinzani akupe mpira

Kila mfumo duniani una cons zake na pros sake

Hasara ya mfumo anaotumia Robertinho ni kwamba wachezaji wakati wanapress wanabidi waue structure yao kumfata mchezaji mmoja mmoja ili kufanya effective pressing sasa mpira ukipatikana na wachezaji tulionao mbele kwa sasa ni wachache wanaweza kupiga pasi za kueleweka so jamaa (coach) naona akaona ni ku counter attack so anachofanya ni kuwahisha mpira mbele na macross kibao magoli ya vichwa kwa sana

Kwanini tunaruhusu magoli sana?

Kutokana na pressing inabidi watu wakae na wachezaji wao wanapomiliki mpira so kapombe itabidi akae na winga na tshabalala hivo hivo so kama hampo makini kuziba namba za wenzenu wakitoka kumfata mchezaji inaweza kuwa madhara makubwa na kwasababu mnapress kwanzia juu mabeki wanakua mbali na kipa wao hiyo inawapa urahisi sana watu wenye kasi na wajanja wa kuvunja offside kufika kwa kipa

Mfano mzuri angalia magoli ya al ahly lile la yule slim na la pili la kusawazisha kule kwao misri
Pia angalia takwimu za offside za mechi zote mbili za ahly
Ukija bongo angalia magoli ya mtibwa msimu huu

Huu mfumo watu warefu wengi wataenjoy ndo maana bocco mnamuona anamuweka sana lakini ndo hivo bocco ameshapungua kiwango
Infact huu mfumo chama hatoshine sana kwa sababu ipo tofauti na profile yake ili pengine ashine labda acheze na onana na miqquisone kwenye ile 3 na juu yao akae phiri maana anacheza kama false 9 na ndo kinachopendwa na watu aina ya chama channel za pass ziwe nyingi watu wacheze karibu karibu
Nikimaanisha pia baada ya kupata mpira itumike slow build up maana ndo ita allow possesion na kuachana na fast build up na counter attacks mipira mirefu😁😁😁
 
IHEFU ndiyo tatizo kubwa. Bila IHEFU, Yanga na SImba wangekutana kwa nguvu sawa na mchezo ungekuwa mzuri sana lakini IHEFU iliweka gundu kwenye dulu za Yanga kuliko inavyoweza kukukubaliwa na Yanga yenyewe, jambo linaloifanya SImba kuingia kwenye mtanange ikiwa na ubabe.

Muuaji wa Yanga ni Ihefu.
 
Kuelekea Mchezo wa Derby ya Kariakoo inayotegemewa kuchezwa jumapili Movembe 5, 2023

Hebu tuangalie Staili ya kucheza ya makocha hawa Miguel Gamondi wa Young Africans na Roberhno wa Simba

Tukianza na Kocha Gamondi Staili yake ya kucheza inamvutia shabiki yeyote ambaye anataka kutazama soka safi, amekuwa akiitengeneza timu yake kucheza mchezo wa kuvutia kwenye kila mechi, pasi nyingi, kosa kosa nyingi na zaidi mpira wa burudani, Hii ni staili bora ambayo mashabiki wanaipenda na amekuwa na uwezo wa kubadilika kwenye kila mchezo kwenye eneo la ushambuliaji, kiungo na hata mabeki kutokana na kikosi chake kuwa na watu wengi.

Siyo jambo la ajabu kucheza bila mshambuliaji kwenye mechi zake, siyo ajabu kumuona Mzize akianza na siyo ajabu kumuona akiwatumia mabeki watatu badala ya wanne kama ilivyokuwa kwenye mchezo dhidi ya Azam.

Kwa upande wa Kocha wa Simba Robertinho, amekuwa tofauti na Gamondi msimu huu timu yake haijacheza mechi hata moja ikivutia, lakini ni timu ambayo ni ngumu kupoteza mchezo kwenye dakika tisini pamoja na kwamba imekuwa ikiruhusu mabao mengi kwenye timu yake.

Robertinho amekuwa akibadili kikosi chake kila kila kinachopata bao au kinaporuhusu bao kwenye mchezo wowote, ni kocha ambaye analinda alichonacho, huku Gamondi akiendelea kutafuta kitu kipya hata baada ya kupata, akifunga bao moja anatafuta la pili, Robertinho akifunga moja analilinda hilohilo.
F-Bf5tZW0AA56Ab.jpg
 
If you possess the ball on your half field of the pitch you're crazy possession starts from your opponent half –jahan cruyff–

Kule tanga robertinyo aliwaacha mmiliki mpira na hakuna mlichofanya.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
dakika 90 sio nyingi tuwe wapole ila nakuambia yanga anashinda.
Yanga hana timu hata ya kutoa sare na simba hii ya Robertinho
Simba hii kufungwa sio sasa na nyinyi mnajua kilichobaki ni kujifariji tu ila ukweli mnaujua
 
Kuelekea Mchezo wa Derby ya Kariakoo inayotegemewa kuchezwa jumapili Movembe 5, 2023

Hebu tuangalie Staili ya kucheza ya makocha hawa Miguel Gamondi wa Young Africans na Roberhno wa Simba

Tukianza na Kocha Gamondi Staili yake ya kucheza inamvutia shabiki yeyote ambaye anataka kutazama soka safi, amekuwa akiitengeneza timu yake kucheza mchezo wa kuvutia kwenye kila mechi, pasi nyingi, kosa kosa nyingi na zaidi mpira wa burudani, Hii ni staili bora ambayo mashabiki wanaipenda na amekuwa na uwezo wa kubadilika kwenye kila mchezo kwenye eneo la ushambuliaji, kiungo na hata mabeki kutokana na kikosi chake kuwa na watu wengi.

Siyo jambo la ajabu kucheza bila mshambuliaji kwenye mechi zake, siyo ajabu kumuona Mzize akianza na siyo ajabu kumuona akiwatumia mabeki watatu badala ya wanne kama ilivyokuwa kwenye mchezo dhidi ya Azam.

Kwa upande wa Kocha wa Simba Robertinho, amekuwa tofauti na Gamondi msimu huu timu yake haijacheza mechi hata moja ikivutia, lakini ni timu ambayo ni ngumu kupoteza mchezo kwenye dakika tisini pamoja na kwamba imekuwa ikiruhusu mabao mengi kwenye timu yake.

Robertinho amekuwa akibadili kikosi chake kila kila kinachopata bao au kinaporuhusu bao kwenye mchezo wowote, ni kocha ambaye analinda alichonacho, huku Gamondi akiendelea kutafuta kitu kipya hata baada ya kupata, akifunga bao moja anatafuta la pili, Robertinho akifunga moja analilinda hilohilo.
Wananchi subirini kipigo!! Ukweli ni kwamba ukipokea kipigo hutakumbuka kuwa ulicheza mpira wa kuvutia!! kitakachotokea ni kununa!! Kumbukeni mgeni rasmi ni Kibu!!
 
Huyo simba mwenye wachezaji wabovu na wasiojua kupiga pasi, ndio hao wanaoongoza kwa kupiga pasi nyingi katika ligi na ni wao pia waliocheza mechi chache zaidi lakini pia ni timu pekee haijapoteza mchezo ligi kuu na haina drooo. Usijudge kishabiki embu jaji mpira kwa haki
Mkuu apo kwenye kupiga pas nyingi mbona unatudanganya takwim za wap izo mkuu [emoji38][emoji38] mpira n mchezo wa waz bana wote tunaangalia
 
Wananchi subirini kipigo!! Ukweli ni kwamba ukipokea kipigo hutakumbuka kuwa ulicheza mpira wa kuvutia!! kitakachotokea ni kununa!! Kumbukeni mgeni rasmi ni Kibu!!
Iyo mgen rasmi n kibu maana yake ni Kibu dei au [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa kuongezea Simba ndiyo iliyomiliki mpira zaidi
Huyo simba mwenye wachezaji wabovu na wasiojua kupiga pasi, ndio hao wanaoongoza kwa kupiga pasi nyingi katika ligi na ni wao pia waliocheza mechi chache zaidi lakini pia ni timu pekee haijapoteza mchezo ligi kuu na haina drooo. Usijudge kishabiki embu jaji mpira kwa haki
ya Al Ahly katika mechi zote mbili!! Ndyo ya kutishiwa nyau na vibonde wa Ihefu?
 
If you possess the ball on your half field of the pitch you're crazy possession starts from your opponent half –jahan cruyff–

Kule tanga robertinyo aliwaacha mmiliki mpira na hakuna mlichofanya.
Nyie mlifanya nn zaidi ya kipa wenu kudaka penati za mba mba mba, mpira hata haujapigwa mtu kashatoka kwenye mstari [emoji1]
 
Nyie mlifanya nn zaidi ya kipa wenu kudaka penati za mba mba mba, mpira hata haujapigwa mtu kashatoka kwenye mstari [emoji1]
Sawa siku ile ya kibu Denis robertinyo aliwakosa goal kama 10 pale taifa clear chances kabisa.
 
Back
Top Bottom