bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
as i said #england ni timu ya magazeti wanapambwa sana na vyombo vyao vya habari huez mwacha mtu kama #drinkwater kwanza jamaa ndo anahitaji kutoka angepga mpira wa nguvu sana then hawa jamaa wanaitaji #kocha toka nje aje awape mbinu mpya tatzo wakiwafunga #sanmarino 7 vyombo vya habari vinawapamba balaa akitoka michuano mikubwa akikutana na #wakali nothing...