Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
hahahahaah,itakuwa swaumu inawasumbua hawaWauza Döner Kebab tayari wamekaa bao 2. Kuna uwezekano wakapigwa game zote 3 Hawa. Afadhari maana wakishinda hata mechi ya kirafiki tu kelele mtaani hakulaliki nyau Hawa. Leo kimya na bendera zao kama za waganga wa kienyeji