Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Ufaransa akimaliza nafasi ya kwanza na Spain nae akimaliz nafas y kwanza.. lazma watakutana katika robo fainali.. kwaiyo tujiandae kuona mbabe mmoja akingoka hapo, na mimi naamini atakayeshinda hapo ndo atakuwa Bingwa.
 
Sista ee hapo hakuna timu ngumu, portugal kapewa vibonde lkn kashindwa kutamba pamoja na jamaa yao kuwemo😛


tena mmoja ya wanaume wabakaji kwenye mashindano haya wangepangwa humo hakika wageondoka na point 9 zote
 
Mechi na Slovakia kama nilivyo tarajia isipokuwa bado kambakiza kipa Hart!Toa kipa huyu weka Forster

Mabeki wote wa pembani wa England ni mzigo,hawaendi mbele na move na hata wakienda end product yao sio nzuri!Kesho wanaanza Clyne na Betrand

Dele Ali na Rooney hawana kasi,hata kama inafanywa counter attack wao wapo nyuma!Kesho wanaanza Henderson,Dier na Lallana

Mbele Vardy na Dan wanaanza ambao SORRY Kane na Sterling watupishe tu
 
Mechi na Slovakia kama nilivyo tarajia isipokuwa bado kambakiza kipa Hart!Toa kipa huyu weka Forster

Mabeki wote wa pembani wa England ni mzigo,hawaendi mbele na move na hata wakienda end product yao sio nzuri!Kesho wanaanza Clyne na Betrand

Dele Ali na Rooney hawana kasi,hata kama inafanywa counter attack wao wapo nyuma!Kesho wanaanza Henderson,Dier na Lallana

Mbele Vardy na Dan wanaanza ambao SORRY Kane na Sterling watupishe tu


Knock out stage jamaa watakuwa na kazi kubwa sana ya ku-prove kwa mashabiki wao kwamba timu Yao Ni nzuri. Hatua hile hakuna kufanya mistake hats moja.
 
#Leooo....England points 4...#Wales 3 #Slovakia 3 Russia 1...England vs Slovakia..Wales vs #Russia..mtoto wa #malkia hatihati kama namuona #hamsiki katupia cha kwanza na kule #Bale katupia cha pili naona #Rooney kashika tiketi yake ya #British airways pale airport...daa game za leo #tamuuu
 
#Leooo....England points 4...#Wales 3 #Slovakia 3 Russia 1...England vs Slovakia..Wales vs #Russia..mtoto wa #malkia hatihati kama namuona #hamsiki katupia cha kwanza na kule #Bale katupia cha pili naona #Rooney kashika tiketi yake ya #British airways pale airport...daa game za leo #tamuuu
Englatera HAWEZI fungwa na Slovakia ktk decisive game kama hii!
Russia anamfunga Wales easy tu
Wales ataenda kama best looser
 
Knock out stage jamaa watakuwa na kazi kubwa sana ya ku-prove kwa mashabiki wao kwamba timu Yao Ni nzuri. Hatua hile hakuna kufanya mistake hats moja.
England wazuri sana tatizo ni kocha HAJUI kazi yake!!
Kipa Hart ni bomu kwa muda mrefu sana
Mido Dele,Dier na Rooney huwezi wapanga wote watatu pamoja sababu wote style yao ya uchezaji inafanana!Ama Barkley au Wilshare anahitaji pale acheze
Sorry Kane needs a time to improve
 
Kwa uingereza ile huwezi kumweka benchi nahodha labda hao wengine...
 
Kwa leo inasemekana kutakua na six changes kwenye timu yetu ya England full backs wote wanapumzishwa ataanza clyne na Bertrand then Henderson atachukua nafasi ya Wayne rooney huku sturridge na vardy wakiwa replace Raheem na kane
Dier atakamata dimba kama kawaida huku wilshere akichukua nafasi ya dele Ali source BBC
 
Back
Top Bottom