Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Daah, Lalana leo kaanzia nje? then Sterling kaanza, Mbele kamtupa Kane.! Hivi Hogson kafunga ndoa na Kane?

BACK TANGANYIKA
 
1190240c84ac
 
Haki ya mama,

Hawa Iceland siyo wazuri I swear..!! Na sasa natangaza wazi, England kaa chonjo Mlango wa kutokea ushafunguliwa..!!

BACK TANGANYIKA
 
Sturidge Bitozi saana anatakiwa pasi haraka na speed sio kuremba.
 
Back
Top Bottom