Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Nilisema bora wangetoka kwenye makundi, sasa wanatoka kwa aibu na kitimu kisichojulikana kabisa
 
Hawa Iceland wangekuwa na skills za Poland wangekuwa wameshagonga 3-1
 
Hiki kitoto cha Manchester United kinataka nini? Kula muwa wa baridi
 
Refa Mkristo,kapiga alama ya Msalaba,amina,amina,kamaliza salama
 
hahahahaha domo kuuuuuuuubwaaaaaaaaaaaaaaaaa afadhali hata Spain wametolewa na wanaojua mpira..
 
Back
Top Bottom